Tuige hii desturi ya wachaga

Tuige hii desturi ya wachaga

Ila 2siige tabia zao za kupenda kufanya biashara kwa madawa(wengi washawatoa wazaz na ndugu zao sadaka) na pia rushwa washkapo nyadhifa kwenye makampuni na serikalini
 
Umesahau..generally ni wazinzi wezi na walevi kipita maelezo

We jua kali ulevi , uzinzi ni hulka ya mtu na niambie kabila lisilo fanya hayo mambo sasa si bora sie wa serengeti, klmnjr, na henken na wine wale wa ulanzi, komoni kidangachee, viroba utawaweka fungu lipi.
 
Chagga kwa kikurya ni bange...nyie chagga ama chaga...msijifanye wa wazungu eti chagga... wakati chaga za vitanda tunawalala tu..na hamtokaa mshoke dola...poleni...ibemi tu ndo kazi mlobakiwa nayo na udijei

Ndo mwisho wako wa kufikiri au umeenda kuchaj?
 
Katika kila kabila kuna watu wa aina kwa aina. Nakusudia wezi, wasomi na kadhalika. Licha ya kuwa kuna watu wanaowatuhumu wachaga kwamba, ni matapeli na walaghai, lakini si uadilifu kuacha kutaja pia sifa zao nzuri kama za akili ya kutafuta maisha, bidii ya biashara na mengineyo mazuri. maneno kama wachaga wezi, wapare wabahili, wahaya malaya na maneno mengine mfano wa hayo nadhani ni mambo ya kizamani na yaliyopitwa na wakati. Kwani kizazi cha miaka 50 iliyopita sio kizazi cha leo.
 
Chagga kwa kikurya ni bange...nyie chagga ama chaga...msijifanye wa wazungu eti chagga... wakati chaga za vitanda tunawalala tu..na hamtokaa mshoke dola...poleni...ibemi tu ndo kazi mlobakiwa nayo na udijei

una chokiandka hata huelewi the term Chagga as a reference to the region of Kilimanjaro and the people living on its slope linguists have yet to trace an exat origin for the term but some speculate that it might be the term used by the speakers of the zone Bantu languages which includes swahili to describe the mountains inhabitants. Kama hujui kitu si lazma u comment toka lini Mwafrica akawa mzungu hzo ni inferiority complex yako towards Wachaga and will not change anything about Chaga
 
una chokiandka hata huelewi the term Chagga as a reference to the region of Kilimanjaro and the people living on its slope linguists have yet to trace an exat origin for the term but some speculate that it might be the term used by the speakers of the zone Bantu languages which includes swahili to describe the mountains inhabitants. Kama hujui kitu si lazma u comment toka lini Mwafrica akawa mzungu hzo ni inferiority complex yako towards Wachaga and will not change anything about Chaga

Kweli kabisa. Baadhi ya watu hudhani wachagga ni homogenious group ila sivyo. Chanzo cha koo nyingi hata kama zinaongea lugha moja ni tofauti sana. Kuna baadhi ya wachagga ambao waliomba ukoo ila ni watu wa makabila tofauti ya ndani na nje ya nchi. Na wengine walipewa koo za kichagga na kina Mangi kama shukrani kwa kusaidia ushindi vitani, ufuaji wa vyuma, mambo ya sheria, n.k. Baadhi walikua assimilated enzi hizo wachaga wakivamia maeneo kuzunguka mlima kili (Waongamo hawapo tena as a tribe).

Kutokana na asili zao kuwa tofauti tofauti, nadhani ndo imepelekea kutoaminiana isipokua kwa walio karibu karibu ikiwamo kuoana wao kwa wao! Mawazo yangu tu haya lakini.
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.

Acha WIVU WA KIKE!
 
Sifa gani za wizi na ujambazi au unataka nikutajie wachaga kumi wenye madaraka na wanaojifanya matajiri lakini ni wezi.

Fungua uzi mpya uwataje--uzi huu haukuwa na malengo hayo. Acha kujitoa akili mtoto wa kike!
 
Usinitishe mimi nimekaa Arusha mwaka 21 huu nafahamu dili zote za wachaga hawana kitu zaidi ya ujambazi na njia haramu za kupata pesa

Wewe mjinga nenda ukalale usijesababisha nikafungiwa bure na admins--nimtoka kufunguliwa juzi tu. Usitafute sifa za kijinga $#%$^%&^ mkubwa! Unasubiri nini huo ushahidi usiupeleke mahakamani? A twit (from Lumumba) at work!
 
Mimi ni Mchaga, niliambiwa na dingi kuwa popote niendapo ni jenge, nilime na nikipata mashamba ninunuea kuwa hana kitu cha kunipa. Kwa hasira niliona kaninyima haki yangu ya urithi kumbe alinifungua akili ya kujitegemea. Nilifanya mapinduzi kwa nguvu zote. Ka-shamba ka dingi kwa sasa nakaona kama bustani ya nyanya. Ndugu yangu, kutafuniwa kila kitu ni utumwa. Uchawi ni Mungu tu, mwamini yeye utafanikiwa. Kule Moshi kuna mademu wana akili utadhani wamechanjiwa pesa.

Asante sana mkuu ngaranumbe
 
Last edited by a moderator:
cwacfu wachaga ila ni watu wenye IQ tofauti kidogo kwanza ndugu akija mjini akifanikiwa atawaleta ndugu kuja walahuu kukaa tuu dukani wajifunze mjinwaishije tofauti na kabila moja mtu akija mjini akifanikiwa bac anataka akirud bush wamwabudu yeye tuuuuu
 
Ni ajabu na ni upeo mdogo sana mtu kujisifia kabila lako. Huna mchango wowote kuwa kabila ulilomo. Bali ulivyo kimatendo, kimali, kiupeo, n.k. ndio unavyoweza kujitanabaisha navyo. Mambo kama haya yanasabisha watu wengi wanaishi katika ufukara kwa imani kabila lao ndio walivyo...

Hii ni sawa na wale wengine wanaosema wabongo IQ ndogo, wabongo wavivu, wabongo blah blah blah... Stereotyping ni mbaya sana na maeneo mengine, imesababisha mauaji ya kimbari kisa tu, wa mbari fulani wanadhani wana haki zaidi ya wengine. Eti wahehe wanjinyongaga! Ina maana kabla ya Mkwawa hilo kabila halikuwepo?

Let us absolve ourselves of such low levels of thinking!!

Mkuu, rudia tena kusoma uzi huu--inaonekana bado hujapata MAUDHUI yake vizuri.
 
Back
Top Bottom