Ngekemkeni Mitomingi
Member
- Jan 16, 2014
- 24
- 0
Ila 2siige tabia zao za kupenda kufanya biashara kwa madawa(wengi washawatoa wazaz na ndugu zao sadaka) na pia rushwa washkapo nyadhifa kwenye makampuni na serikalini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau..generally ni wazinzi wezi na walevi kipita maelezo
Chagga kwa kikurya ni bange...nyie chagga ama chaga...msijifanye wa wazungu eti chagga... wakati chaga za vitanda tunawalala tu..na hamtokaa mshoke dola...poleni...ibemi tu ndo kazi mlobakiwa nayo na udijei
Chagga kwa kikurya ni bange...nyie chagga ama chaga...msijifanye wa wazungu eti chagga... wakati chaga za vitanda tunawalala tu..na hamtokaa mshoke dola...poleni...ibemi tu ndo kazi mlobakiwa nayo na udijei
Nadhani tunapaswa kuiga kila zuri na kuacha kila baya bila kujali ni la nani.
una chokiandka hata huelewi the term Chagga as a reference to the region of Kilimanjaro and the people living on its slope linguists have yet to trace an exat origin for the term but some speculate that it might be the term used by the speakers of the zone Bantu languages which includes swahili to describe the mountains inhabitants. Kama hujui kitu si lazma u comment toka lini Mwafrica akawa mzungu hzo ni inferiority complex yako towards Wachaga and will not change anything about Chaga
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
Usinitishe mimi nimekaa Arusha mwaka 21 huu nafahamu dili zote za wachaga hawana kitu zaidi ya ujambazi na njia haramu za kupata pesa
Mimi ni Mchaga, niliambiwa na dingi kuwa popote niendapo ni jenge, nilime na nikipata mashamba ninunuea kuwa hana kitu cha kunipa. Kwa hasira niliona kaninyima haki yangu ya urithi kumbe alinifungua akili ya kujitegemea. Nilifanya mapinduzi kwa nguvu zote. Ka-shamba ka dingi kwa sasa nakaona kama bustani ya nyanya. Ndugu yangu, kutafuniwa kila kitu ni utumwa. Uchawi ni Mungu tu, mwamini yeye utafanikiwa. Kule Moshi kuna mademu wana akili utadhani wamechanjiwa pesa.
Ni ajabu na ni upeo mdogo sana mtu kujisifia kabila lako. Huna mchango wowote kuwa kabila ulilomo. Bali ulivyo kimatendo, kimali, kiupeo, n.k. ndio unavyoweza kujitanabaisha navyo. Mambo kama haya yanasabisha watu wengi wanaishi katika ufukara kwa imani kabila lao ndio walivyo...
Hii ni sawa na wale wengine wanaosema wabongo IQ ndogo, wabongo wavivu, wabongo blah blah blah... Stereotyping ni mbaya sana na maeneo mengine, imesababisha mauaji ya kimbari kisa tu, wa mbari fulani wanadhani wana haki zaidi ya wengine. Eti wahehe wanjinyongaga! Ina maana kabla ya Mkwawa hilo kabila halikuwepo?
Let us absolve ourselves of such low levels of thinking!!