Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Point ya kukimbiwa ni ipi?Mbona unamkomalia olunga.. nimeshasema simjui.. wewe unaemjua ndie uniambia olunga alicheza miezi chini ya sita kama samatta na nonda au mwaka ligi ya bongo,
Pili acha ujanja ,, usikimbie point nimekuwekea link ya ranking za caf usijifanye hujaiona? Kanitafutie timu ya msuva
Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
Point ya kukimbiwa ni ipi?
Leta nafasi ya timu ya msuva, sina mda wa kuanza kutafuta maana najua ni timu nzuri.
Olunga nani kakwambia amecheza Tanzania?
Rudi nyuma kasome vizuri utanielewa.
Sio kazi yangu kukufundisha aseeee.Mbona olunga unamtaja juu juu tu... hutaki kumuelezea deep
Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
Mkuu kameze pain killers naona mimba ya chama inakusumbua.Mbona unazunguka.. afcon ina qualifications zake na hata world cup ina qualifications zake..
Siku hizi kuna google.. nenda katafute starting line up ya mechi ya ushindani ya timu ya taifa zambia iwe ku qualify mashindano makubwa yeyote ama wapo mashindanoni ukatafute jina la chama..
Highlights hazioneshi mchezaji ameingia dakika ya ngapi..
Narudia tena chama mpuuzi tu ndio maana anacheza simba miaka kibao...ameshindwa kucheza hata vigogo vya africa.
Nimekupa mfano wa nonda shaban alicheza yanga miezi sita.. na nikakupa mfano wa samatta nae simba miezi sita.. huo ni mfano tosha wa wachezaji bora huwa hawachezi ligi ya tanzania zaidi ya miezi sita...
Chama hamfikii hata thomas ulimwengu kwa mpira mkubwa... ushahidi ni CV zao tuzilinganishe.
Chama ni kama nchimbi tu ndio maana anacheza simba. Mshahara haufiki hata milioni 20
Angekuwa anajua mpira angenunuliwa na ma mamelodi ama vigogo vya africa.. maana bajeti ya simba kwa mwaka ni bilioni 3 tu kwa maneno ya tajiri wenu mo dewji.. huku jackson muleka tu kauzwa usd milion 4 almost bilioni 10..
Nikakupa mfano wa transfer ya ben malango from tp mazembe kwenda raja casablanca.. halafu wewe mpuuzi unamuongelea chama..
Chama ni kama nchimbi tu au mkude.. ndio maana anacheza simba timu maskini inafungwa 5 kila mara... kufika robo kwao sherehe . Huku hao vigogo wanafika kila mwaka ..
Sio kazi yangu kukufundisha aseeee.
Ungekuwa mtu wa mpira ungemjua.
Ok kiufupi kacheza ligi ya Kenya ambayo ni dhaifu kuliko yetu saiv yupo Spain....
Kutoka hapo unapata picha gani?
Mda mwingine kucheza nje ni bahati...
Wakati mwingine ni Aina ya wakala uliyenaye....
Kwahiyo Calinhos, Sarpong, Mukoko ni mavi tu ndo maana wanacheza VPL?Ndio hajui.. ndio maana hata timu ya taifa zambia huwa haanzi.. anatokea benchi.
Mchezaji mzuri hawezi kucheza simba zaidi ya miezi sita.. ukiona mchezaji yupo simba zaidi ya miezi sita ujue ni makapi tu kwa level za africa wala ulaya
Acha mambo ya imaginations.. timu kubwa Africa zikikutaka lazima zikupate tu.. uliza ben malango transfer kutoka tp mazembe kwenda raja casablanca ilikuaje.. watu wanamlipa mchezaji mshahara kama ulaya halafu useme zikutake ukatae
Wewe unabishana bora mradi mkuu....Ligi ya kenya siijui ila inaonesha ina mwanga kuliko yetu maana victor wanyama, dennis oliech wameicheza hiyo ligi... siwezi kuiongelea ligi ya kenya sana.. naongelea ligi ya Tanzania sababu naijua.. ukiona mchezaji anacheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita.. ujue mpira haujui... wanaojua mpira kina samatta na nonda walicheza sio zaidi ya miezi sita
Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
Samatta Simba walilazimisha kumuuza kama Simba wangekuwa na pesa asingeondoka mapema, Nonda alikimbia njaa lakini Chama amekuja kipindi Simba ipo vizuri ndio maana amekaa muda mrefu nyinyi gongowazi udenda utaendelea kuwatokaSimba samatta alicheza miezi mingapi na chama amecheza simba miaka mingapi..
Hata nonda shabani alicheza yanga.. ila haikuzidi miezi sita sababu anajua akaonekana fasta na timu kubwa aftica..
Hiyo ndio tofauti ya anaejua huwa ligi ya bongo amalizi mwaka huku asiyejua anakaa miaka kibao
Hawa ndio walishangilia walipodanganywa Chama kasaini kwao na ikitokea ikawa hivyo watamlamba miguu injinia waoKama unataka hoja ntakupa, matusi hayo Mimi Sina( kuniita mtu wa vijiweni na kubeti ni kunitusi).
Chama hana Uwezo wa kuondoka sasa hata afanyaje( Ana mkataba na simba).
Kuhusu Signing fee hii ipo duniani kote (kwa free Agents) na sio Simba tu.
Utamshawishi vipi mchezaji aje kwako na Sio timu nyingine bila Signing fee?
Naona mkuu kinachokusumbua ni roho ya kwanini chama tupo Simba na sio upande wako.
Unatuharibia Uzi wetu....Ligi ya kenya siijui ila inaonesha ina mwanga kuliko yetu maana victor wanyama, dennis oliech wameicheza hiyo ligi... siwezi kuiongelea ligi ya kenya sana.. naongelea ligi ya Tanzania sababu naijua.. ukiona mchezaji anacheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita.. ujue mpira haujui... wanaojua mpira kina samatta na nonda walicheza sio zaidi ya miezi sita
Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
We nyani kweli yaani Nchimbi ndio umlinganishe na Chama we inaelekea uko kwenye mipasho ya taarabu siyo mpiraMbona unazunguka.. afcon ina qualifications zake na hata world cup ina qualifications zake..
Siku hizi kuna google.. nenda katafute starting line up ya mechi ya ushindani ya timu ya taifa zambia iwe ku qualify mashindano makubwa yeyote ama wapo mashindanoni ukatafute jina la chama..
Highlights hazioneshi mchezaji ameingia dakika ya ngapi..
Narudia tena chama mpuuzi tu ndio maana anacheza simba miaka kibao...ameshindwa kucheza hata vigogo vya africa.
Nimekupa mfano wa nonda shaban alicheza yanga miezi sita.. na nikakupa mfano wa samatta nae simba miezi sita.. huo ni mfano tosha wa wachezaji bora huwa hawachezi ligi ya tanzania zaidi ya miezi sita...
Chama hamfikii hata thomas ulimwengu kwa mpira mkubwa... ushahidi ni CV zao tuzilinganishe.
Chama ni kama nchimbi tu ndio maana anacheza simba. Mshahara haufiki hata milioni 20
Angekuwa anajua mpira angenunuliwa na ma mamelodi ama vigogo vya africa.. maana bajeti ya simba kwa mwaka ni bilioni 3 tu kwa maneno ya tajiri wenu mo dewji.. huku jackson muleka tu kauzwa usd milion 4 almost bilioni 10..
Nikakupa mfano wa transfer ya ben malango from tp mazembe kwenda raja casablanca.. halafu wewe mpuuzi unamuongelea chama..
Chama ni kama nchimbi tu au mkude.. ndio maana anacheza simba timu maskini inafungwa 5 kila mara... kufika robo kwao sherehe . Huku hao vigogo wanafika kila mwaka ..
Hiyo assist leo asubuhi nmetoka kulipia mahali, kodi ya nyumba, mkopo wa HESLB, Madeni yote ya toka mwaka 2015 na nmebakiza chenji ya mil 25 nataka ninunue crown athletes mpya nilingie mujini.
[emoji1][emoji1][emoji1]
Yaani wewe acheni kukariri, hao TP mazembe walikua wanamtaka Ajibu, unataka kusema Ajibu ni bora kuliko chama, au Singano alivyokua ameenda Tp Mazembe ni bora kuliko Chama.Simba samatta alicheza miezi mingapi na chama amecheza simba miaka mingapi..
Hata nonda shabani alicheza yanga.. ila haikuzidi miezi sita sababu anajua akaonekana fasta na timu kubwa aftica..
Hiyo ndio tofauti ya anaejua huwa ligi ya bongo amalizi mwaka huku asiyejua anakaa miaka kibao
Hivi Tff kumfungia Luc walikosea. Maana alisema sahihi kua mashabiki wa Utopolo fc wanaropoka tu ka manyani au mbwa. We Utopolo unasema chama hachezi timu ya Taifa la Zambia[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Weka ushahidi wa chama ametakiwa na timu kubwa africa akakataa.. weka ushahidi wa kikosi cha zambia game za afcon ama qualification ya afcon.. weka starting line up ya zambia ya afcon tumtafute cleutas chama... chama aneanza zambia ni mdogo wake .. ila chama wa simba anatokea benchi.. labda mechi za mabonanza za kirafiki ndio anapangwa wasipoitwa wachezaji wa timu kubwa africa na ulaya