Jjmwaipopo
Senior Member
- Jan 11, 2020
- 189
- 122
kunywa sumu ufe !Bodaboda FC au Mbumbumbu ni tatizo yaani Chama kutoa ile pasi tena kwa timu kama biashara unajisifu
mtibwa ndio takataka ganiIla huyu jamaa Mtibwa walimfanyia kitu mbaya
.Ligi ya kenya siijui ila inaonesha ina mwanga kuliko yetu maana victor wanyama, dennis oliech wameicheza hiyo ligi... siwezi kuiongelea ligi ya kenya sana.. naongelea ligi ya Tanzania sababu naijua.. ukiona mchezaji anacheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita.. ujue mpira haujui... wanaojua mpira kina samatta na nonda walicheza sio zaidi ya miezi sita
Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
Acha ubishi, mpira umebadilika. Mchezaji kutouzwa timu kubwa kunaweza kusababishwa na mambo mengi. Ikiwemo mkataba, umri, mipango ya timu anayochezea. Simba Wana miaka minne Sasa hawana sera ya kuuza wachezaji sio kwamba ofa hazipo. Na sio kila ofa inayofika kwa klabu lazima itangazwe.
Usifananishe Simba na Yanga miaka ya nonda shabani na Sasa. Sasa hivi Kuna watu Wana elimu ya mpira. Unaweza kuuza mchezaji bilioni afu ikasababisha hasara ya zaidi ya bilioni. Timu inakua mbovu, mauzo ya jezi yanashuka, watu kuingia uwanjani wanapungua.
Ukumbuke kupata wachezaji kiwango cha chama kwa investment yetu hapa bongo sio rahisi ukimuuza unaweza kuyumba hata miaka mitano. Angalia Yanga mwaka Jana kasajili wageni wangapi na December katimua wangapi, January kasajili wangapi afu June katimua wangapi. Unadhan mateso wanayopata wakimpata mchezaji mzuri watamuuza kirahisi? Simba na Yanga hawategemei faida ya kuuza wachezaji. Wanategemea mapato ya uwanjani na mauzo ya jezi na hela za wadhamini.
Zipo timu nyingine Africa zina kipaumbele Cha kuuza wanategemea faida ya kuuza ila sio Simba na Yanga. As Vita unaowatajataja wanakupa mukoko wao wanamchukua tshishimbi, mwaka Jana walimchukua zana coulibary. Kwako wewe zana na tshishimbi ni zaidi ya chama?.
wewe Utopolo na biashara wote mlidungwa goli 4,sasa unamwonaje mzwenzio timu mbovuBodaboda FC au Mbumbumbu ni tatizo yaani Chama kutoa ile pasi tena kwa timu kama biashara unajisifu
akili teleAcha ubishi, mpira umebadilika. Mchezaji kutouzwa timu kubwa kunaweza kusababishwa na mambo mengi. Ikiwemo mkataba, umri, mipango ya timu anayochezea. Simba Wana miaka minne Sasa hawana sera ya kuuza wachezaji sio kwamba ofa hazipo. Na sio kila ofa inayofika kwa klabu lazima itangazwe.
Usifananishe Simba na Yanga miaka ya nonda shabani na Sasa. Sasa hivi Kuna watu Wana elimu ya mpira. Unaweza kuuza mchezaji bilioni afu ikasababisha hasara ya zaidi ya bilioni. Timu inakua mbovu, mauzo ya jezi yanashuka, watu kuingia uwanjani wanapungua.
Ukumbuke kupata wachezaji kiwango cha chama kwa investment yetu hapa bongo sio rahisi ukimuuza unaweza kuyumba hata miaka mitano. Angalia Yanga mwaka Jana kasajili wageni wangapi na December katimua wangapi, January kasajili wangapi afu June katimua wangapi. Unadhan mateso wanayopata wakimpata mchezaji mzuri watamuuza kirahisi? Simba na Yanga hawategemei faida ya kuuza wachezaji. Wanategemea mapato ya uwanjani na mauzo ya jezi na hela za wadhamini.
Zipo timu nyingine Africa zina kipaumbele Cha kuuza wanategemea faida ya kuuza ila sio Simba na Yanga. As Vita unaowatajataja wanakupa mukoko wao wanamchukua tshishimbi, mwaka Jana walimchukua zana coulibary. Kwako wewe zana na tshishimbi ni zaidi ya chama?.
Ninyi Mbumbumbu watu wa ajabu sana mnasifia hata kitu cha kawaida mtu anasema hajawahi kuona pasi kama ile duniani kumbe dunia yake ni Daresalaam mtu anayejua mpira atabaki simba si wangemchukua nje huko
We pale Deportivo de La Utopolo nani anapiga kama ile?Ninyi Mbumbumbu watu wa ajabu sana mnasifia hata kitu cha kawaida mtu anasema hajawahi kuona pasi kama ile duniani kumbe dunia yake ni Daresalaam mtu anayejua mpira atabaki simba si wangemchukua nje huko
Muulize METACHA MNATA anamjua Chama vizuriBodaboda FC au Mbumbumbu ni tatizo yaani Chama kutoa ile pasi tena kwa timu kama biashara unajisifu
Ngoja nisubiri jibu lake...(---)wewe Utopolo na biashara wote mlidungwa goli 4,sasa unamwonaje mzwenzio timu mbovu
Muulize HARUNA NIYONZIMA ndio anajua Vibe la Simba kipindi Chama anaivusha timu kwenda MAKUNDI na Q.FINAL.Tuambie ni timu gani zimemtaka Chama na simba wakakataa yule ni mchezaji wa kawaida na ndio maana hata mechi za Ihefu na Mtibwa alitiwa mfukoni ila mnampamba mno kuzidi kipimo hatuna jina lingine zaidi ya MBUMBUMBU
Wapi nimewataja As vita? Tatizo lenu mnalazimisha mambo... katafute nilipoitaja As Vita hata mara moja kwenye post zangu kisha unioneshe
Kisha isome hii "Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita...
Mkuu, hoja yako ya mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania kwa zaidi ya miezi sita naipinga kama ifuatavyo;-
1. Samatta (uliyemtaja kwenye mfano wako mwenyewe) amecheza ligi ya Tanzania kwa zaidi ya hiyo miezi sita. Alisajiliwa na Simba toka African Lyon ambayo ilikua inacheza LIGI YA TANZANIA.
2. Hoja yako hapo juu, inamfanya YIKPE kuwa mchezaji bora na mzuri kuliko Chama, kuliko Niyonzima, kuliko Lunyamila na wengine wengi...
Huenda tu una tatizo binafsi na Chama au timu anayoichezea, kitu ambacho sisi tunapaswa kukiheshimu (tofauti zenu).
Ila kwa muono wa kimpira, Clatous is someone.
Uzi wenu nawaachia. Ila muache kusema chama ni mchezaji bora kuwai kutokea Tanzania. Hajafikia hata robo ya wachezaji bora kuwai kutokea ligi ya Tanzania nonda shabaan na mbwana samatta.. na sababu ni bora hawakukaa zaidi ya miezi sita timu kubwa zikawanunua
Nonda hakununuliwa Tanzania, alikimbia Tanzania. Akakimbilia Afrika Kusini , narudia hakuuzwa Tanzania
Lile goli la pili ukigiogle thamani yake ni milioni 200 na usheeJamani watu tumejadili sana ile pasi lakini turudi tuangalie lile goli la pili, ule ufundi aliyoufanya kwenye lile goli hata messi the GOAT hajawahi kufanya