nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
Kundi la akina Britannica wanataka kumuondoa muha wa watu kwenye keki kibabe, kwa kisingizio eti Katiba haijasemaHakuna cha serikali ya mda au muda! Hapo mtu anayeitwa Makamu wa Rais anachukua uongozi.
Makamu wa Rais anapigiwa kura pamoja na Rais katika uchaguzi mkuu.Lini makamu wa rais anapigiwa kura ? Hakuna form in picha au jina la makamu wa rais. Abaepugiwa kura ni mgombea urais tu.
Tukijadili katiba tuweke na vifungu na ibara za katiba tujadili kwa detail, si kusemasema tu "katiba haijasema".Kundi la akina Britannica wanataka kumuondoa muha wa watu kwenye keki kibabe, kwa kisingizio eti Katiba haijasema
Hawataweza! Wamdanganye bibi yao ajifishe waone ki Mha chetu kitakavyochukua usukani kuelekea kwenye uchaguziKundi la akina Britannica wanataka kumuondoa muha wa watu kwenye keki kibabe, kwa kisingizio eti Katiba haijasema
Lakin rais wa sasa aliyekuwa makamu alihusiwa kuwa alichaguliwa. Bado mtoa mada anamantiki. Kura ya urais unaweza kupata kwa sababu ya ushawishi wa makamu wako.Kuna sehemu kwenye katiba inasema 'makamu aliyepigiwa kura'?
Katiba inasema, naomba kunukuu;
"Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano..."
Ukisoma hiyo ibara ya 37 kifungu cha 5, haitanabaishi kuwa awe makamu aliyepigiwa kura.
Awe aliyekuwa mgombea mwenza ama aliyepatikana kwa njia za kikatiba baada ya aliyekuepo kutangulia, kujiuzulu, au kuondoka kwa namna yeyote ile.
Zile kura 538 za marekani? Katiba yetu inamshimo mengi sana.Hiyo iko wazi anapitishwa na wabunge ambao ni wawakilishi wetu. Kwa hiyo akishapitishwa na bunge anakuwa amepata idhini kwa wananchi wote wa Tanzania sawa na aliyepigiwa kura.
Huna D moja na F sita ,so huwezi elewaHizi nyuzi zimekuwa nyingi. Kuna Nini kinatengenezwa huko juu? Wajuvi watuambie
Hivi huwa mnasomaje Katiba nyie watu? Utaratibu wa Makamu wa Rais kuchukua madaraka ya uongozi pindi Rais anapofariki au kupoteza sifa za kuwa Rais umeainishwa kwenye ibara ya 37 isome yote tu kuanzia mwanzo utakutana na hiyo ibara ndogo inayoelezea utaratibu huo. Hivyo lolote likitokea la kutokea Isidory Mkulima anakuwa Rais kwa kipindi kilichosalia.Tukijadili katiba tuweke na vifungu na ibara za katiba tujadili kwa detail, si kusemasema tu "katiba haijasema".
Mimi nimeweka ibara ya 50 inaonesha Makamu wa Rais ambaye hajachaguliwa anaweza kuwa rais pindi kiti cha rais kikiwa wazi.
Mpaka sasa hakuna aliyepinga ibara hiyo ya katiba.
Nakuelewa sana mkuuKuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!
Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?
Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.
Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.
Britanicca
Nadhani kuna hoja ya msingi watu wanaohoji wanatakiwa wapewe majibu ya kujitosheleza na au rais ajitokeze hadharani kuthibitisha kuwa tuko naye.
Vinginevyo wakiendelea kuwa kimya na kuhunia watu watazidi kuyakuza na kumfedhehesha rais ajione hapendwi na anaombewa mabaya kitu ambacho kitamuathiri sana psychologically.
Kingine Mshana jr sijaelewa hao wanaoonekana kusherehekea akiwemo hiyo mama wa ushungi wa kufanana na mkulu wa kaya, kipi kinawafanya wafurahie huko Cuba ni wale wa kiswahili au ni mwendelezo ule wa kipindi kile kufirahia kwa kuchinja wanyama na kugida pombe.
Chuki ni kitu kibaya sana, nd maana wachawi wengi historia zao zinaonyesha ni watu waliokuwa na chuki ya kupitiliza. Rais Samia ataendelea kuwa Rais upende usipende, uumie uvumilie, ataendelea hadi pale Muda wake utapoisha kikatiba au pale Mungu atapopotisisha hukumu yake kama ambavyo ataipitisha kwangu na kwako na kwa mwengine yoyote.Mimi nimenusa mambo mawili au matatu au zaidi kama ifuatavyo...
1. Samia Suluhu Hassan definitely, alikuwa VP aliyepigiwa kura pamoja na mwendazake John P. Magufuli. Huyu yupo hapo kikatiba. Shida kubwa ni mbili tu; Mosi ni Mzanzibari na pili ni mwanamke....
It was a fatal mistake kumpa majukumu ya u - Rais mwanamke kama huyu mwenye sifa hizo☝🏻☝🏻☝🏻..!!
2. Dr. Philip Isidory Mpango kwa sasa ndiye VP. Huyu hakupigiwa kura. Hakuchaguliwa na Rais aliyepo madarakani na hivyo Ibara ya 37 (5) ya katiba ya JMT ya mwaka 1984 inamtupa nje kabisa ya ulingo. Na hapa ndipo ilipo hoja yako.
3. Nahisi pia kuna kitu hakiko sawa kwa Samia Suluhu Hassan (Rais wa mpito wa sasa). Obviously, huyu hastahili kuendelea na nafasi hiyo hata kwa miezi miwili tu mbele iwapo tunaipenda Tanganyika yetu. Ndo swali linakuja kuwa: ITAKUWAJE MAANA VP Dr. Philip Isidory Mpango katiba haimtambui..??
Hawawezi ku m-by pass wakati Katiba inamtambua! Kakurwa na genge lake walitaka kuchakachua wakati wa kifo cha jiwe Katiba ikawadhibiti!Ana maanisha aliepo anaweza akawa ana kashfa za kiutendaji Waka m by pass!!
Kazi ipo!
Mimi nimenusa mambo mawili au matatu au zaidi kama ifuatavyo...
1. Samia Suluhu Hassan definitely, alikuwa VP aliyepigiwa kura pamoja na mwendazake John P. Magufuli. Huyu yupo hapo kikatiba. Shida kubwa ni mbili tu; Mosi ni Mzanzibari na pili ni mwanamke....
It was a fatal mistake kumpa majukumu ya u - Rais mwanamke kama huyu mwenye sifa hizo☝🏻☝🏻☝🏻..!!
2. Dr. Philip Isidory Mpango kwa sasa ndiye VP. Huyu hakupigiwa kura. Hakuchaguliwa na Rais aliyepo madarakani na hivyo Ibara ya 37 (5) ya katiba ya JMT ya mwaka 1984 inamtupa nje kabisa ya ulingo. Na hapa ndipo ilipo hoja yako.
3. Nahisi pia kuna kitu hakiko sawa kwa Samia Suluhu Hassan (Rais wa mpito wa sasa). Obviously, huyu hastahili kuendelea na nafasi hiyo hata kwa miezi miwili tu mbele iwapo tunaipenda Tanganyika yetu. Ndo swali linakuja kuwa: ITAKUWAJE MAANA VP Dr. Philip Isidory Mpango katiba haimtambui..??
Katiba haisemi hivyo.Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!
Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?
Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.
Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.
Britanicca
Katiba ipo wazi. Rais akifariki akiwa madarakani, basi Makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais kumalizia kipindi kilichobaki. Period!Watu wenye uelewa wa mambo ya kisheria na Katiba watusaidie
Kwani wapi nimesema hawi rais? Unajua hata hoja yangu ni ipi au unapinga kwa kuhemka tu?Hivi huwa mnasomaje Katiba nyie watu? Utaratibu wa Makamu wa Rais kuchukua madaraka ya uongozi pindi Rais anapofariki au kupoteza sifa za kuwa Rais umeainishwa kwenye ibara ya 37 isome yote tu kuanzia mwanzo utakutana na hiyo ibara ndogo inayoelezea utaratibu huo. Hivyo lolote likitokea la kutokea Isidory Mkulima anakuwa Rais kwa kipindi kilichosalia.
We jamaa wewe humu sitoki nimejaladia kabisa ibara ya 37 ya katiba ya JMT kwa msaada zaidi wa kisheria endapo utata utajitokeza hapo mbeleni.Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!
Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?
Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.
Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.
Britanicca
Likizo bila taarifa,bila malipoIla twende mbele turudi nyuma mwaka jana makamu wa rais alipotea kwa muda gani vile?
Mwaka huu RC Makonda alitoweka kwa muda gani?
Huwa wanaenda wapi?