Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

Lini makamu wa rais anapigiwa kura ? Hakuna form in picha au jina la makamu wa rais. Abaepugiwa kura ni mgombea urais tu.
Makamu wa Rais anapigiwa kura pamoja na Rais katika uchaguzi mkuu.

Unapopiga kura humchagua Rais tu, unachagua ticket ya Rais na Makamu wake.

Kwa mfano, kwenye uchaguzi wa 2020 kulikuwa hakuna namna ya kumchagua John Pombe Magufuli kuwa Rais bila ya kumchagua Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu wa Rais. Kwa sababu ilikuwa unawachagua wote wawili kwa pamoja.

Watanzania wengi hawakuelewa na bado hawaelewi dhana hii ya kuchagua ticket, kumchagua Rais na Makamu wake kwa pamoja.

Ndiyo maana wengi mpaka leo wanamuona Samia si rais halali, hakuchaguliwa, wakati hawaelewi kuwa ukichagua ticket ya Magufuli/Hassan kimsingi umemchagua Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu wa Rais na siku Magufuli akifariki umempitisha Samia Suluhu Hassan awe Rais bila ya uchaguzi mwingine.

Watanzania wengi wanadai katiba mpya wakati hata hii ya sasa hawaielewi.
 
Kundi la akina Britannica wanataka kumuondoa muha wa watu kwenye keki kibabe, kwa kisingizio eti Katiba haijasema
Tukijadili katiba tuweke na vifungu na ibara za katiba tujadili kwa detail, si kusemasema tu "katiba haijasema".

Mimi nimeweka ibara ya 50 inaonesha Makamu wa Rais ambaye hajachaguliwa anaweza kuwa rais pindi kiti cha rais kikiwa wazi.

Mpaka sasa hakuna aliyepinga ibara hiyo ya katiba.
 
Kundi la akina Britannica wanataka kumuondoa muha wa watu kwenye keki kibabe, kwa kisingizio eti Katiba haijasema
Hawataweza! Wamdanganye bibi yao ajifishe waone ki Mha chetu kitakavyochukua usukani kuelekea kwenye uchaguzi
 
Kuna sehemu kwenye katiba inasema 'makamu aliyepigiwa kura'?

Katiba inasema, naomba kunukuu;
"Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano..."

Ukisoma hiyo ibara ya 37 kifungu cha 5, haitanabaishi kuwa awe makamu aliyepigiwa kura.

Awe aliyekuwa mgombea mwenza ama aliyepatikana kwa njia za kikatiba baada ya aliyekuepo kutangulia, kujiuzulu, au kuondoka kwa namna yeyote ile.
Lakin rais wa sasa aliyekuwa makamu alihusiwa kuwa alichaguliwa. Bado mtoa mada anamantiki. Kura ya urais unaweza kupata kwa sababu ya ushawishi wa makamu wako.

Pengine bila yeye kura zisingiletosha. Sasa huyu ambaye wananchi hatujamuunga mkono ni vipi aweze kuwa rais?
 
Tukijadili katiba tuweke na vifungu na ibara za katiba tujadili kwa detail, si kusemasema tu "katiba haijasema".

Mimi nimeweka ibara ya 50 inaonesha Makamu wa Rais ambaye hajachaguliwa anaweza kuwa rais pindi kiti cha rais kikiwa wazi.

Mpaka sasa hakuna aliyepinga ibara hiyo ya katiba.
Hivi huwa mnasomaje Katiba nyie watu? Utaratibu wa Makamu wa Rais kuchukua madaraka ya uongozi pindi Rais anapofariki au kupoteza sifa za kuwa Rais umeainishwa kwenye ibara ya 37 isome yote tu kuanzia mwanzo utakutana na hiyo ibara ndogo inayoelezea utaratibu huo. Hivyo lolote likitokea la kutokea Isidory Mkulima anakuwa Rais kwa kipindi kilichosalia.
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Nakuelewa sana mkuu
Keep it up
 
Ila twende mbele turudi nyuma mwaka jana makamu wa rais alipotea kwa muda gani vile?
Mwaka huu RC Makonda alitoweka kwa muda gani?
Huwa wanaenda wapi?
Nadhani kuna hoja ya msingi watu wanaohoji wanatakiwa wapewe majibu ya kujitosheleza na au rais ajitokeze hadharani kuthibitisha kuwa tuko naye.

Vinginevyo wakiendelea kuwa kimya na kuhunia watu watazidi kuyakuza na kumfedhehesha rais ajione hapendwi na anaombewa mabaya kitu ambacho kitamuathiri sana psychologically.

Kingine Mshana jr sijaelewa hao wanaoonekana kusherehekea akiwemo hiyo mama wa ushungi wa kufanana na mkulu wa kaya, kipi kinawafanya wafurahie huko Cuba ni wale wa kiswahili au ni mwendelezo ule wa kipindi kile kufirahia kwa kuchinja wanyama na kugida pombe.
 
Mimi nimenusa mambo mawili au matatu au zaidi kama ifuatavyo...

1. Samia Suluhu Hassan definitely, alikuwa VP aliyepigiwa kura pamoja na mwendazake John P. Magufuli. Huyu yupo hapo kikatiba. Shida kubwa ni mbili tu; Mosi ni Mzanzibari na pili ni mwanamke....

It was a fatal mistake kumpa majukumu ya u - Rais mwanamke kama huyu mwenye sifa hizo☝🏻☝🏻☝🏻..!!

2. Dr. Philip Isidory Mpango kwa sasa ndiye VP. Huyu hakupigiwa kura. Hakuchaguliwa na Rais aliyepo madarakani na hivyo Ibara ya 37 (5) ya katiba ya JMT ya mwaka 1984 inamtupa nje kabisa ya ulingo. Na hapa ndipo ilipo hoja yako.

3. Nahisi pia kuna kitu hakiko sawa kwa Samia Suluhu Hassan (Rais wa mpito wa sasa). Obviously, huyu hastahili kuendelea na nafasi hiyo hata kwa miezi miwili tu mbele iwapo tunaipenda Tanganyika yetu. Ndo swali linakuja kuwa: ITAKUWAJE MAANA VP Dr. Philip Isidory Mpango katiba haimtambui..??
Chuki ni kitu kibaya sana, nd maana wachawi wengi historia zao zinaonyesha ni watu waliokuwa na chuki ya kupitiliza. Rais Samia ataendelea kuwa Rais upende usipende, uumie uvumilie, ataendelea hadi pale Muda wake utapoisha kikatiba au pale Mungu atapopotisisha hukumu yake kama ambavyo ataipitisha kwangu na kwako na kwa mwengine yoyote.
 
Mimi nimenusa mambo mawili au matatu au zaidi kama ifuatavyo...

1. Samia Suluhu Hassan definitely, alikuwa VP aliyepigiwa kura pamoja na mwendazake John P. Magufuli. Huyu yupo hapo kikatiba. Shida kubwa ni mbili tu; Mosi ni Mzanzibari na pili ni mwanamke....

It was a fatal mistake kumpa majukumu ya u - Rais mwanamke kama huyu mwenye sifa hizo☝🏻☝🏻☝🏻..!!

2. Dr. Philip Isidory Mpango kwa sasa ndiye VP. Huyu hakupigiwa kura. Hakuchaguliwa na Rais aliyepo madarakani na hivyo Ibara ya 37 (5) ya katiba ya JMT ya mwaka 1984 inamtupa nje kabisa ya ulingo. Na hapa ndipo ilipo hoja yako.

3. Nahisi pia kuna kitu hakiko sawa kwa Samia Suluhu Hassan (Rais wa mpito wa sasa). Obviously, huyu hastahili kuendelea na nafasi hiyo hata kwa miezi miwili tu mbele iwapo tunaipenda Tanganyika yetu. Ndo swali linakuja kuwa: ITAKUWAJE MAANA VP Dr. Philip Isidory Mpango katiba haimtambui..??

CDF aache usenge ,abebe majukumu kibabe afumue hili genge la majambazi na maharamia waliohijack hii nchi kwa miaka 60 ,afungue criminal court ya kudeal nao mmoja baada ya mwingine apige martial law na baada ya kufumua na kuset mifumo upya ndio aruhusu civilian rule Kwa kuitisha uchaguzi mpya ,na huu ndio utakuwa mwanzo wa kuzaliwa kwa Tanzania mpya .
Na kuondokana na hii UTI Sugu inayoitwa CCM
Tatizo macdf wa hii nchi ni vilaza tu na machawa wa UTI sugu ya taifa (ccm) waliochaguliwa bila merits ,so no puppets watiifu wa UTI sugu
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Katiba haisemi hivyo.
 
Hivi huwa mnasomaje Katiba nyie watu? Utaratibu wa Makamu wa Rais kuchukua madaraka ya uongozi pindi Rais anapofariki au kupoteza sifa za kuwa Rais umeainishwa kwenye ibara ya 37 isome yote tu kuanzia mwanzo utakutana na hiyo ibara ndogo inayoelezea utaratibu huo. Hivyo lolote likitokea la kutokea Isidory Mkulima anakuwa Rais kwa kipindi kilichosalia.
Kwani wapi nimesema hawi rais? Unajua hata hoja yangu ni ipi au unapinga kwa kuhemka tu?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Hiyo post yangu uliyoinukuu umeisoma na kuielewa au una changamoto ya kusoma na kuelewa?
 
Naishi humu tu sitoki nipo na katiba ya JMT nakomaa na ibara ya 37 tu. Ni hayo tu wajameni. Asanteni
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
We jamaa wewe humu sitoki nimejaladia kabisa ibara ya 37 ya katiba ya JMT kwa msaada zaidi wa kisheria endapo utata utajitokeza hapo mbeleni.
 
Back
Top Bottom