Tuiombee sana CHADEMA

Yaani nashangaa mno watu wanavyojidanganya kuwa lisu ana nguvu sana ya kuitisha CCM!!!, Yule wanajua namna ya kumuendesha kama tiara,

Wanamtafutia mtu mmoja tuu serikalini, kazi yake ni kumlisha fake informations!!! Ndani ya mwezi tuu anadharaulika
 
Unawaombea watu wahuni Kama hao wanaoshirikiana na Ccm kuua watu
 
Wewe mchawi amka usije ukakojolea kitandani.
 
Shida ni akili ya mwenyekiti kama anakipenda chama kweli akubali kukaa pembeni,Zito amemshinda akili.
 
Umeongea Jambo la msingi sana
 
Confirmed Chadema ni Saccos ya Mbowe, chama Cha Wachaga

Subirini James akomae komae kushika Uenyekiti aje arithishwe
 
Unaisikia CCM au CDM sasa? Who’s is dead?
Ishu sio kusikika unasikika kwenye nini bad news au good news? Huku sio entertainment kwamba Kiki yoyote kwa msanii wa music inampa jina
 
Yaani nashangaa mno watu wanavyojidanganya kuwa lisu ana nguvu sana ya kuitisha CCM!!!, Yule wanajua namna ya kumuendesha kama tiara,

Wanamtafutia mtu mmoja tuu serikalini, kazi yake ni kumlisha fake informations!!! Ndani ya mwezi tuu anadharaulika
Sasa Lisu ni tofauti kabisa , kesi za mchongo sio rahisi kufanikiwa kwake kwa sababu hafanyi jambo lolote nje ya katiba na sheria.
Tundu Lisu Ana moyo wa haki .Tundu Lisu ni muwazi , muadilifu na anaichukia Rushwa kwele kweli .
Kwa uadilifu wa Lisu ni wazi kuwa ana kibali mbele za Mungu kwa ajili ya kuijenga Tanganyika yenye haki katikati ya rasilimali nyingi alizoziumba Mungu kabla ya Kuwepo kwa CCM na Chadema . Tundu Lisu amesimama na wananchi katika kupigania maisha ya wengi
Credit: 1000 digits
 
Ishu sio kusikika unasikika kwenye nini bad news au good news? Huku sio entertainment kwamba Kiki yoyote kwa msanii wa music inampa jina
Hapa Tanzania kama hujui level ya ujinga ilivyo nikupe siri: mtu aliyekamatwa ugoni na jina lake linasikika na kuzoeleka na watu akigombea ubunge na wewe usiyesikika atashinda yule mgoni!
 
Hapa Tanzania kama hujui level ya ujinga ilivyo nikupe siri: mtu aliyekamatwa ugoni na jina lake linasikika na kuzoeleka na watu akigombea ubunge na wewe usiyesikika atashinda yule mgoni!
Sio kwenye siasa mkuu na ndio maana kashfa ya ufisadi ilikuwa inamkabiri lowassa ndio ilichangia kushusha kura zake kwa watu kwenye uchaguzi wa 2015.CCM waliitumia Kama kete kumuharibia
 
It's better Mbowe apumzike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…