Tuiunge Mkono JamiiForums Katika Tanzania Digital Awards

Tuiunge Mkono JamiiForums Katika Tanzania Digital Awards

Habari za jioni wakuu.

Katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na hii Tanzania Digital Awards na katika kupekua pekua nikaona kuna category ambayo hata mtandao wetu pendwa wa JF na Maxence Melo wapo kwenye kinyang'anyiro.

Hivyo basi nikaona haina budi kuweka uzi hapa kuwajulisha (ambao bado hawajaona na kupiga kura) ili tuwapigie kura kama ishara ya kuunga (mkono) juhudi za Melo na JF kwa ujumla katika kutuweka pamoja na kuhabarishana na kuburudishana.

JINSI YA KUPIGA KURA.

1. Fungua link hii 👇

2. Ikishafunguka uta click palipoandikwa 'VOTE' ita pop-up ka window ambapo ndio kutakua na categories na sub-categories.
View attachment 1362115
View attachment 1362103

4. Katika Awards Category chagua Digital Media

5 (i) Katika Award Sub-category chagua Digital Media Leader of The Year (Male) hapo unaweza kumpigia kura Melo kwa kumchagua.

(ii) Katika Category hiyo hiyo (refer namba 4) chagua tena Sub-category ya Best News Blog na hapo unaweza kuichagua JamiiForums.
View attachment 1362106
Nawakilisha.
Unaweza kupata maajabu hapa maana wabongo ni pasua kichwa (namimi nimo) badala ya kuipigia kura JF utakuta mtu ameipa kura yake tanesco.
 
Najua tunashinda lkn mbona melo mwenyewe haipi kipaumbele!? ya wezekana akawa anajua ushindi lazima,kinacho fanyika hapo nikumpa tu melo hio kumpongeza kwa kazi kubwa alio ifanya mpaka kwenda kuchukua Tuzo kwa mabeberu si mchezo kwahio hii ya Tanzania ni pongezi kwa melo.
 
Nimemaliza yangu
1582093282391.png

1582093310392.png
 
Kuliko kutokuipigia JF si bora mutunyonge? Deal done Charlie.!!
 

Attachments

  • Screenshot_20200219-093647.png
    Screenshot_20200219-093647.png
    101.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom