Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari yako madeluacha ujinga wewe
Baki na ujinga wako nyumbani huu ni mchezo sio siasa ,kukosa busara na hekima ni kutojua uwanja wa vita na upo vitaniHakuna njia nyingine ya kumfikishia salam waziri wa fedha kuhusu maumivu ya tozo bali kuizomea timu yake
Marefarii fanyeni kazi ya kuwapa kadi wachezaji wa hiyo timu ili ujumbe umfikie
Tumechoka
Nafikiri ungeanza kumzomea SH.Hakuna njia nyingine ya kumfikishia salam waziri wa fedha kuhusu maumivu ya tozo bali kuizomea timu yake
Marefarii fanyeni kazi ya kuwapa kadi wachezaji wa hiyo timu ili ujumbe umfikie
Tumechoka
Huu muda wa kuandika upu.mbavu unaupata wapi!!!??Hakuna njia nyingine ya kumfikishia salam waziri wa fedha kuhusu maumivu ya tozo bali kuizomea timu yake
Marefarii fanyeni kazi ya kuwapa kadi wachezaji wa hiyo timu ili ujumbe umfikie
Tumechoka
Huu muda wa kuandika upu.mbavu unaupata wapi!!!??
Huu muda wa kuandika upu.mbavu unaupata wapi!!!??
Muda wa kujibu upumbuvu umetoa wapi we kengeHuu muda wa kuandika upu.mbavu unaupata wapi!!!??
Nasikia alipokuwa huko kwao anachunga Punda aliwahi kukojoa kwenye kisima cha maji cha Kijiji.Wakasema Juma Pombe Maharage aliwahi kumtandika Kofi.Habari yako madelu
Nzuri! Hujambo mwananchi mnyonge?Habari yako madelu
Nataka kuhamia burundi mheshimiwaNzuri! Hujambo mwananchi mnyonge?
Wewe ndiye mjinga,hii ni vita kama vita zingine.acha ujinga wewe
Watanzania wengi mmelogwa. Watu wanakamuliwa kuliko wakati wowote uliopita wewe unatetea. KudadadekiBaki na ujinga wako nyumbani huu ni mchezo sio siasa ,kukosa busara na hekima ni kutojua uwanja wa vita na upo vitani
Yeye ni waziri wa fedha na mipango.Nafikiri ungeanza kumzomea SH.
Nchemba hawezi kuanzisha tozo bila rais kuridhia au baraza la mawaziri na bunge pia
Anaupata kwako mpumbavu mwenzie.Huu muda wa kuandika upu.mbavu unaupata wapi!!!??
Tunakwambia acha ujinga ,Chukua mfano huu ukigombana na baba Amina ,unamtafuta baba Amina unamzomea sio kuzomea nyumba au gari la baba Amina .Watanzania wengi mmelogwa. Watu wanakamuliwa kuliko wakati wowote uliopita wewe unatetea. Kudadadeki
Wivu tuu kwa sababu za magarasa yenu huko Simba na Yanga..Hakuna njia nyingine ya kumfikishia salam waziri wa fedha kuhusu maumivu ya tozo bali kuizomea timu yake
Marefarii fanyeni kazi ya kuwapa kadi wachezaji wa hiyo timu ili ujumbe umfikie.
Tumechoka.