TUJADILI: Job Ndugai kuandika barua ya kujiuzulu kwa mtu asiyehusika ni bahati mbaya au makusudi?

Mimi namuulizia huyo ndg Job yuko wapi kwa sasa?.
Haonekani na hapatikani hata kwa namba yake ya simu ninayoifaham hapatikani, kulikoni huko?
 
Barua iliandikwa na wale wale walioandika ya Katibu Mkuu wa CDM kuhusu Covid-19.
 
Mimi namuulizia huyo ndg Job yuko wapi kwa sasa?.
Haonekani na hapatikani hata kwa namba yake ya simu ninayoifaham hapatikani, kulikoni huko?
Anajipanga upya. Mtamsikia tena 2025 (kama atakuwa hai) akija na ngonjera mpya kuwa alilazimishwa kujiuzulu. Pengine ataibukia chama kingine kama mgombea uraisi na kutumia kisingizio cha kulazimishwa kujiuzulu sababu ya kutetea maslahi ya taifa kama karata ya kuombea kura.
 
Mwacheni Mzee Ndugai apumzike

Watoto wa Marehem wanataabika sana mwingine tayari yupo kizimbani Mtwara kwa kosa la kupiga sindano za sumu wenzie
 
Government doc goes on paper.yawezekana iliandikwa na ndugai mwenyewe halafu original yenyewe ndio akaisubmit.

Ile ilkua taarifa tu kwa umma ,siyo barua ya kiserikali.nawaza tu
 
Hatuna mahakama ya katiba kwa hiyo kesi haitakuwa halali
 
Baada ya JYN kuandika barua batili kujiuzulu uspika, kwanza nilimuombea JYN msamaha
Kisha kuna kitu nilipendekeza kwenye uzi huu
Je, wajua haramu isipoharimishwa inageuka halali? Na batili isipobatilishwa inageuka halali. Je, tuhalalishe ubatili huu kwa mhimili wetu wa Bunge? nilipendekeza
Habari njema kwa watu wote, pendekezo No. 3 na No. 4 Katika bandiko hili, limetekelezwa kwa asilimia 100% kama lililopendekezwa.
Hivyo sasa ule ubatilifu katika barua ya kujiuzulu kwa JYN umeondolewa kama nilivyo shauri, kwa kuwasilishwa barua mpya halali, ambayo ni backdated.
Hivyo ile taarifa ya JYN kwa waandishi wa habari, kuwa ameandika barua kwa Katibu Mkuu CCM, sasa imebatilishwa na imefutwa kwenye website ya Bunge, barua rasmi ni kwa Katibu wa Bunge, na CCM kupewa nakala.
Hongera sana Bunge letu tukufu kuubatilisha ubatili huu. Sasa kwenye hili la Spika umebaki ubatili mmoja wa Naibu Spika, Dr. Tulia Akson kujiuzulu u Naibu Spika, kabla ya kugombea Uspika.
P
 
Za mwizi ni arobaini. ''Mzee wa kupiga rungu wenzake.''
 
sio mbaya kujiuzulu kwake amepata muda wa ziada wa kuchunga ng'ombe wake saa hz mzee wa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…