Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Kukamata mimba sasa hahaha fkkisha 45 kwenda juu mimba utaisikia tu. Wana biologia wanaita sijui minopoz
Watu wanazaa tu sikuhizi
Tena wengi tu sikuhizi nimewaonea Kwa macho yangu.
Dada angu mtt wake wa kwanza ameanza akiwa na 42...na kazaa fresh
 
udongo dsda 😃😃 kama huamini nenda makanisani alafu waseme wanaotaka kuolewa watoke uone
Basi itakua udongo...😅
Wale wengi stress wengine unakuta ana 28,30 .....Bado kabisaaa
Mpk unamshangaa...
Ila ni huku tu, kwenye nchi za wenzetu hakuna mambo km haya
 
Kater

Asante jamaniiiii.... nimekumiss sanaaa.. nilikua naumwa sana macho mpaka nkawaza apa naendakuwa kipofu na sitaingia tena humu.....
🤣🤣🤣🤣 Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom