Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

IPO siku
To yeye shoga Kuna babu wa 70 anatembeza bakora usipime. Tusiwaa rate Hawa mabazazi.

Kuna Babu mmja sikutegemea kabisa. Alinismamia nikashangaa sana. Tena aliniwekea uwe wimbo wa cheza kama Ronaldo. Singeli

Wale wazee wakuk wakienyeji, mazao ya asiilia achan nao kabisa
IPO siku atakufia juu ya kinena chako,utarudi na shuhuda
 
Mka

Mkajifunze kwa shemeji yenu Zari Basi.

Zari ameanza kuzaa mapema sana.. mimba yake ya kwanza kaipata akiwa mdogo sana.. teanage age

Watoto wake aliozaa na ivan ni wakubwa sana above 20s.

Narudia tena hoja yangu Mwanamke wa miaka 35 ama 40 kupata mimba yake ya kwanza ni kwa mbinde
 
Zari ameanza kuzaa mapema sana.. mimba yake ya kwanza kaipata akiwa mdogo sana.. teanage age

Watoto wake aliozaa na ivan ni wakubwa sana above 20s.

Narudia tena hoja yangu Mwanamke wa miaka 35 ama 40 kupata mimba yake ya kwanza ni kwa mbinde
Kuhusu mvuto.sio kuzaaa
 
Hadi mabinti wanakesha wakiomba.Lengo NI kupata mume sahihi,mume Bora,na sio Bora mume.
Ndo hivyo ukiwa above 30yrs unabidi kuwa na vitu vingi vya kumvutia Mwanaume na sio Mwili tu so sio Rahisi kijana smart amuache binti mdogo below 18s ambaye anaweza kumpa falsafa zake akazitii then aende kwa Mtu mzima mwenye umri wa Mama Yake doesn't make sense
 
Kama Gigy money hali yake sasahivi, naona kambisa anaelekea kuchizika, maana kila mtu anaetaka kuwa nae hawamtaki, juzi katangaza kuwa anamtaka platform_Tz ametolewa nje, Gigy money ni single mother anaetaman sana kuolewa lakn hapati bahati [emoji23]
Matendo ya nyuma NI sababu pia.
 
Kuhusu mvuto.sio kuzaaa
Je zari unajua anatumia pesa kias gani kwenda clinic ili kunyoosha mashavu na kubusti makalio je wewe demu wa kibongo unaweza kwenda uturuki kunyoosha mashavu na kuweka makalio sawa? Unamfananisha zari na wewe
 
Back
Top Bottom