Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]WAMECHARUKA BALAA[emoji119]
Mi naona mnaji furahisha tu, lakini ukweli hauta badilika, expare date inakuja hata mkijizima data, kaka zako na babu yako wanagombea vibinti ila bibi yako hatongozwi. Jiulize kwa nini bibi hatongozwi wakati babu anatongoza.
 
Kwa umri huo,msingefia gesti juu ya vinena vya wanawake.
Mimi sijawahi kusikia mwanamke mwenye umri huo amekufa akiwa anatombwa.Maana wanawake umri huo nyege ndo zinakuwa nyingi hatari
Huu utafiti wako ulifanyia chini ya mti gani,
Umri huo wanawake wanakuwa na nini eti
 
Kwa umri huo,msingefia gesti juu ya vinena vya wanawake.
Mimi sijawahi kusikia mwanamke mwenye umri huo amekufa akiwa anatombwa.Maana wanawake umri huo nyege ndo zinakuwa nyingi hatari
Wanaofia gesti, wengi wao huwa wanaumwa magonjwa ya moyo, halafu mwanamke akizeeka genye zinapungua coz hormone nazo zinapungua, tungekuwa hatuna nguvu, tudingekuwa na wake wawili au michepuko.


Wale wazee wenye kanzu unakuta wanao mke wa tatu kibinti kibichi, afu mzee ana miaka 60, sasa utasemaje hana nguvu.
 
Ukiwa mzee ndo utaijua kuwa unamuhitaji mwanamke sana.na kuishi peke yako hutaweza.
Kumbuka habari ya MAREHEMU LYATONGA MREMA.
Halafu jitafakari Kati ya mwanaume na mwanamke kwenye umri huo Nani anamuhitaji mwenzake
Mrema alikuwa na miaka 77 aka oa mwanamke mwenye miaka 38. Hiyo ni nusu. Na watu Waka mpongeza wewe fikisha 70 uolewe na kijana mdogo, kama haja kuchubua na ukavu wako.
 
Ni vyema yule utakayekula naye ujana, uhakikishe unakuja maliza naye uzeeni..
 
Inshort demand na supply kila siku watoto above 18+ wanahitaji kuolewa so ni ngumu kwa Mtu wa above 30 Kupata Mwanaume easily na unavyojua wanaume tunapenda watoto wadogo from 18yrs

Hizi stress zinaletwa na hivi vitoto vya 2000 dada zao hawa amini kama wamepigwa bao.
Yaani wakina Ester soko lao limeshaisha, ndomaana wamekuwa wakali, utakuta ana miaka 50.
 
Hata vya mwaka 2005 vimenpiga bao, maana vina miaka 18 now. Soko la mwanamke linashuka umri unavyoongezeka, soko la mwanaume linapanda umri unavyoongezeka.

Thamani ya mwanamke sikuhizi inapungua na inaelekea kutoweka kabisa.
Eti hata vya 2005, omba ulinzi hahaha, kumbe mali mpya iki ingia sokoni, .....
 
💕💕💕

1694745575946.gif


Nimecheka sana ...😂😂😂
Umefikiria vizuri..
 
Back
Top Bottom