cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
β₯οΈππππππ
πππ
Umewaumiza na kuwafikirisha... wamezoea kutuponda humu... Uzi bombaaaaaaa wakome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
β₯οΈππππππ
msema ukwel ni mpenz wa mungu... Me nna miaka _9 lakn kuna msichana namzid mwak 1 ana ile miili tunaitaga nyumba... Na sio yeye tu ni wengi...Wee Toyeye uongo huo wanawake tunawahi kuzeeka asee!
Kama akiamua kwenda na option ya kwanza aje PM tafadhali [emoji23][emoji23][emoji23]Una options mbili mkuu,
1. Tafuta kijana mdogo umlee.
2. Upate wazee kama sie tunaopenda age zilizoenda kidogo.
Short of that hakuna mitongozo kwa sasa.
Wee Toyeye uongo huo wanawake tunawahi kuzeeka asee!
Mkuu sipingani na wewe kwa hoja zako ulizozitoa ila mimi basi ntakuwa na tatizoInategemea.
1. Wanawake wengi soko linaisha Kwa sababu ya maumbile Yao kupoteza mvuto.
Unene, michirizi, weusi wa mapaja, kulegea Kwa nyama ni miongoni mwa mambo yanayoondoa mvuto wa Mwanamke kwenye suala la ngono.
2. Wanaume ishu kubwa hapo labda ni kipato.
Lakini kwenye ishu ya uzee wanaume miili Yao imeumbwa kikakamavu hata isipotunzwa inaweza kuhimili Hali ngumu za Maisha.
Wanawake miili Yao inahitaji itunzwe muda wote na haihitaji makazi magumu magumu ili angalau idumu Kwa muda mrefu.
Kwenye uhalisia WA kiafrika, Mwanamke soko lake linapotoea mapema Kwa sababu ya Kazi ngumu, lishe Duni na Elimu ndogo ya kutunza miili Yao.
Sio ajabu Mwanamke mwenye miaka 35 tuu ambapo ni mdogo kabisa inaonekana ni aibu akivaa vinguo vifupi Kutokana na mambo yatakayoonekana ni ya kumdhalilisha badala ya kumpa fahari
To yeye mnakua kama mnakula mbolea...
matumiz si yanabak kuwa yale yale... Kutoa taka mwilin na kutoa mbegu mwilinMAtumizI Ya vikojoleo huko mbele mtatoFautIanA tu mKuu
[emoji23][emoji23][emoji23] iyo ndo sura yangu dada, lakini si unajua sura sio rohoSasa hiyo avatar kwanini ulibabua kichwa tu?
ukwel ni kwamb mnakua kwa kuchomoka kama risas kwenye age za 14 mpaka 25 mtu kazeeka tayarAcha mafumbo eleza hiyo shida.. kwa sasa unaleta blah blah tu
hizi avatar huwa nacheka sana[emoji23]... Msizibadil kbs mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23] iyo ndo sura yangu dada, lakini si unajua sura sio roho
Mkuu sipingani na wewe kwa hoja zako ulizozitoa ila mimi basi ntakuwa na tatizo
Maana nikiona michirizi ya mapaja na kwenye makalio ndo napata mzuka kinoma
Tegeta
Tegeta