Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
Habari zenu,
Kuna hili suala nataka tujadili. Kuna hii hali ya wateja wanaokuja kwako mara kwa mara kununua bidhaa lakini kila wakija lazima waulizie bei.
Je, hii ni sahihi?
Kuna hili suala nataka tujadili. Kuna hii hali ya wateja wanaokuja kwako mara kwa mara kununua bidhaa lakini kila wakija lazima waulizie bei.
Je, hii ni sahihi?