Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
๐ Division I to III - 35.84% (eligible for admission to government-owned A-level schools)
๐ Division IV - 51.46%
๐ Division 0 - 12.7%
Katika kila 10 wanafunzi 6-7 system ya elimu ishawatema halafu wanadai ufaulu umeongezeka.
Hapo kitakacho wasaidia ni aidha wazazi wao wawe na uwezo wa kuwaendeleza au Mungu awe amewabariki vipaji ambavyo huwezi kukikataa au Mungu atende miujiza tu. Na kibaya zaidi kwao kaka zao ni mwaka wa 6 huu ni jobless mtaani.
๐ Division IV - 51.46%
๐ Division 0 - 12.7%
Katika kila 10 wanafunzi 6-7 system ya elimu ishawatema halafu wanadai ufaulu umeongezeka.
Hapo kitakacho wasaidia ni aidha wazazi wao wawe na uwezo wa kuwaendeleza au Mungu awe amewabariki vipaji ambavyo huwezi kukikataa au Mungu atende miujiza tu. Na kibaya zaidi kwao kaka zao ni mwaka wa 6 huu ni jobless mtaani.