Tujadiliane Kuhusu Hili Soko lenye paa mbili za bati, soko la Mbuyuni Lililojengwa Moshi Manispaa kwa Dhamani ya Bilioni 2!

Nyie si mliondoa madiwani wa upinzani na kuwanyang'anya manispaa kwa nguvu. Subirini iwaingie
 
Nikweli kabisa
 
Kama Kuna uwezekano,hiyo BOQ ya hilo soko,ipelekwe TAKUKURU makao makuu
Kuna madudu ya ajabu!
Mkandarasi alitokea mwanga, na ana mahusiano makubwa na Mwajuma,tangu akiwa DED mwanga
 
Soko Lile lile la Mbuyuni,huko Moshi Manispaa, limepanda gharama kutoka 2 billions hadi 5.9 billions.

Tulishangaa gharama za awali ,sasa tunashangaa picha ya Samia yenye 5.9 billions.
Tuakukuru,Takukuru,Takukuru
 

Attachments

  • IMG-20250313-WA0006.jpg
    52.9 KB · Views: 1
  • IMG-20250313-WA0018.jpg
    92.4 KB · Views: 1
Kwa dhamani ya bilioni 2, wengi wanajiuliza ni wapi fedha hizo zimeelekezwa, hasa kwa kuzingatia hali ya soko lenyewe. Kila mmoja ana mtazamo wake, lakini kuna maswali mengi yanayohitaji majibu.
Piga kelele hata ufanyeje, maadam ni ccm "wamekula" hakuna tatizo.
CCM ni bora sasa mkaacha kuleana hadi ktk wizi!
 

Attachments

  • Snapinsta.app_483423170_1071770781641908_3545649834984004154_n_1080.jpg
    126.7 KB · Views: 1
Dhamani ndiyo nini ewe punguani!?
 
Soko Lile lile la Mbuyuni,huko Moshi Manispaa, limepanda gharama kutoka 2 billions hadi 5.9 billions.

Tulishangaa gharama za awali ,sasa tunashangaa picha ya Samia yenye 5.9 billions.
Tuakukuru,Takukuru,Takukuru
Sasa hizo lawama ni za nani; mkuu wa DED, Mkuu wilaya, DAS, Mkuu wa Mkoa, mkurugenzi TAMISEMI au waziri husika Mchengerwa.

Mpaka ujaeleweka shida ni nini; na lawama unampa nani.
 
Dhamani ndiyo nini ewe punguani!?
Wanashida hao, awamuwezi ‘Priscus Tarimo’ na wana hasira nae kwa sababu alikuwa upande wa ‘bi-tozo’ kutetea uwekezaji wenye tija bandarini wa DPW.

Wapambane na hali zao, sasa walitaka mmbunge apingane na serikali. Wanachukia wakiona Priscus anaunga mkono hoja za Samia; ndio msingi wa chuki zao kwake.
 
Huyu ndio alisema JPM ni mzima na anapiga kazi wakati Yuko alikua anapigania uhai wake
siwezi maisha kumuamini huyu.
 
ccm imetamalaki
 
Kwanini wachaga hamuwezi kuzema THAMANI, mnasema DHAMANI, how comes ?... Turud kwenye mada hapo tumepigwa
 
Hili soko,hata choo,hakukujengwa,bali wananchi wanatumia choo Cha zamani.
2. Hakuna eneo lililotengwa kwa ajili ya walemavu kufanyia biashara
3. Hakuna vipaza sauti vya kutoa matangazo sokoni
4. Hakuna vifaa vya kuzimia moto,na awali soko hilo liliungua
5. Hakuna eneo lililotengwa la parking za magari,boda Wala bajaji.
 
Tangu CCM washinde ubunge wa Manispaa ya Moshi 2020, mji umekuwa mchafu sana na wizi umerudi kwa kasi ya kutisha. Ni mambo ya aibu sana yanafanyika manispaa ya Moshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…