Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Gushleviv

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2011
Posts
3,475
Reaction score
5,290
Salaam wadau,

Leo katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na hii habari ya ujio wa "Android 11" sasa najiuliza hawa Google vipi, Mbona Updates kila baada ya kipindi kifupi?

Binafsi hii inafanya kwa upande wa simu kuwa outdated haraka sanaa. Leo hii simu ya Android ya miaka 5 iliyopita inaonekana haifai sababu ya hizi updates za kila kukicha na hata hivyo mbali ya updates za kila siku Android imekuwa bado si OS imara haswa linapokuja suala zima la usalama.

Hawaoni kuwa hii inazidi kuwapa sifa Apple na IOS yao?

Binafsi hizi Updates ya kila siku ya Android yananikera sana na sioni kama yanatatua matatizo haswa linapokuja suala la usalama.

Naomba kupata maoni yenu wadau.

CC: Chief-Mkwawa

Google sets June 3 date for Android 11 ‘Beta Launch Show’ with yet-to-leak surprises
 
Mkiwekewa limitations kama za iOS ili kulinda usalama wenu mtalalamika, iOS kaweka hizo limitations bado mnaiponda sasa mnataka nini kwani?

Hiyo itakuwa kwenye development sidhani kama itatoka mwaka huu. Halafu kumbuka technology kwa sasa inaenda kasi sana ukichelewa chelewa utajikuta umebaki nyuma kama blackberry na nokia
 
Mkiwekewa limitations kama za iOS ili kulinda usalama wenu mtalalamika, iOS kaweka hizo limitations bado mnaiponda sasa mnataka nini kwani?

Hiyo itakuwa kwenye development sidhani kama itatoka mwaka huu. Halafu kumbuka technology kwa sasa inaenda kasi sana ukichelewa chelewa utajikuta umebaki nyuma kama blackberry na nokia
Coment yako inatosha kabisa. enhe wanachofanya android wako sahihi kwani hata wakija na 11 kuna device zitapata maboresho lakini kama unatumia kiTecno sahau kupata kabisa,kama uko na 9 labda ubadilishe simu ndio upate 11.

Kuna watu walinunua simu ikiwa na 7 lakini kila toleo jipya likitoka wanapata updates kama kawaida
 
Suala la usalama sio priority ya kila mtu...ile freeedom tu ya Android ni deal kabisa...alaf hata security pia inazid kuongezeka kweny kila android version...leo hii kuna simu ukiwa mzembe hata frp huchomoi sio kama zaman.

Hao apple wanajificha kweny kichaka cha usalama ila kimsing smartphone sio salama kama unavyoamin wewe.

Huyo apple sindo alitoa update kuslow iphone zake kwa makusudi ili watu wapande juu na akapigwa fine nzur tu..

Ndio uone apple mwenyewe hapend kutoa support kwa old device zake ndiomana akaanza kufanya figisu..sasa bado utasema huko kwema?

Security ni kichaka tu apple kaamua kujificha..





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkiwekewa limitations kama za iOS ili kulinda usalama wenu mtalalamika, iOS kaweka hizo limitations bado mnaiponda sasa mnataka nini kwani?
Hiyo itakuwa kwenye development sidhani kama itatoka mwaka huu. Halafu kumbuka technology kwa sasa inaenda kasi sana ukichelewa chelewa utajikuta umebaki nyuma kama blackberry na nokia
Binafsi sina tatizo na limitations za iOS..wengi wanaolalamika kuhusu hizo limitation ukichunguza malalamiko yao si ya msingi kwa mtazamo wangu na hawana ufahamu mzuri wa matumizi ya vifaa vyao.

Hoja yangu ya msingi ni kwa nini updates kila siku lkn security bado hovyoo...na pia updates zao zinaacha device nyingi sana nyuma zionekane zimepitwa na wakati.
 
Suala la usalama sio priority ya kila mtu...ile freeedom tu ya Android ni deal kabisa...alaf hata security pia inazid kuongezeka kweny kila android version...leo hii kuna simu ukiwa mzembe hata frp huchomoi sio kama zaman...
How free is Android?
 
Salaam wadau,

Leo katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na hii habari ya ujio wa "Android 11" sasa najiuliza hawa Google vipii? Mbona updates kila baada ya kipindi kifupi?

Binafsi hii inafanya kwa upande wa simu kuwa outdated haraka sanaa...leo hii simu ya Android ya miaka 5 iliyopita inaonekana haifai sababu ya hizi updates za kila kukicha na hata hivyo mbali ya update za kila siku Android imekuwa bado si OS imara haswa linapokuja suala zima la usalama. Hawaoni kuwa hii inazidi kuwapa siga Apple na IOS yao?

Binafsi haya ma-udate ya kila siku ya android yananikera sana na sioni kama yanatatua matatizo haswa linapokuja suala la usalama.

Naomba kupata maoni yenu wadau.

CC: Chief-Mkwawa

Google sets June 3 date for Android 11 ‘Beta Launch Show’ with yet-to-leak surprises
Mkuu updates za Android ni kila mwaka mmoja sawa tu na ios na os nyengine za simu. Hata windows siku hizi ina update kubwa kila mwaka.

Na simu kuwa outdated haraka mlaumu huyo alietengeneza simu, zipo simu nyingi tu siku hizi za Samsung, Google pixel, Oneplus etc ambazo zinapata updates kwa miaka 3. Ina maana ukinunua simu mwaka huu mpaka 2022 utakuwa na uhakika wa kuwa up to date.

Na kuna mambo mengi yanaongezwa ukiangalia changelog ya version husika utayaona.
 
Suala la usalama sio priority ya kila mtu...ile freeedom tu ya Android ni deal kabisa...alaf hata security pia inazid kuongezeka kweny kila android version...leo hii kuna simu ukiwa mzembe hata frp huchomoi sio kama zaman.

Hao apple wanajificha kweny kichaka cha usalama ila kimsing smartphone sio salama kama unavyoamin wewe.

Huyo apple sindo alitoa update kuslow iphone zake kwa makusudi ili watu wapande juu na akapigwa fine nzur tu..

Ndio uone apple mwenyewe hapend kutoa support kwa old device zake ndiomana akaanza kufanya figisu..sasa bado utasema huko kwema?

Security ni kichaka tu apple kaamua kujificha..





Sent using Jamii Forums mobile app
Na kitu chengine ambacho watu hawakiongelei sana ni kwamba kifaa cha Apple ambacho hakipokei updates kinakuwa ni kopo tu kama Nokia ya tochi ama feature phone. Store hupati app yoyote ya maana.

Leo hii kuna watu bado wanatumia galaxy s2 na s3, ila iphone 4 na 4s hazina maana yoyote.

Hivyo kwenye ios utapata updates nyingi ila zikiisha tu mdogo mdogo na apps zinapotea.
 
Mkuu updates za Android ni kila mwaka mmoja sawa tu na ios na os nyengine za simu. Hata windows siku hizi ina update kubwa kila mwaka.

Na simu kuwa outdated haraka mlaumu huyo alietengeneza simu, zipo simu nyingi tu siku hizi za Samsung, Google pixel, Oneplus etc ambazo zinapata updates kwa miaka 3. Ina maana ukinunua simu mwaka huu mpaka 2022 utakuwa na uhakika wa kuwa up to date.

Na kuna mambo mengi yanaongezwa ukiangalia changelog ya version husika utayaona.
Sasa unamaanisha ninaponunua simu niangalie ina uwezo wa kupata update kwa muda gani, Sio?
 
Suala la usalama sio priority ya kila mtu...ile freeedom tu ya Android ni deal kabisa...alaf hata security pia inazid kuongezeka kweny kila android version...leo hii kuna simu ukiwa mzembe hata frp huchomoi sio kama zaman.

Hao apple wanajificha kweny kichaka cha usalama ila kimsing smartphone sio salama kama unavyoamin wewe.

Huyo apple sindo alitoa update kuslow iphone zake kwa makusudi ili watu wapande juu na akapigwa fine nzur tu..

Ndio uone apple mwenyewe hapend kutoa support kwa old device zake ndiomana akaanza kufanya figisu..sasa bado utasema huko kwema?

Security ni kichaka tu apple kaamua kujificha..





Sent using Jamii Forums mobile app
sana mkuu,nakumbuka apple kwenye hiki kisanga kilimkost.akadai atafix waapi....mpaka leo.

huyu analalamika sababu hajawahi kuwa mtundu wa simu,sisi wazee wa kingroot na utumbo mwingiine tulipata maumivu sana baada ya malshmarow.
wazee wa factory reset,tukala kelbu la kidevu baada ya android 6.
7 ikaja na bootloader.

tunakoelekea computer zitaanza kishindwa ku bypass simu za android zenye lock.maana dalili ziko wazi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wadau,

Leo katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na hii habari ya ujio wa "Android 11" sasa najiuliza hawa Google vipii? Mbona updates kila baada ya kipindi kifupi?

Binafsi hii inafanya kwa upande wa simu kuwa outdated haraka sanaa...leo hii simu ya Android ya miaka 5 iliyopita inaonekana haifai sababu ya hizi updates za kila kukicha na hata hivyo mbali ya update za kila siku Android imekuwa bado si OS imara haswa linapokuja suala zima la usalama. Hawaoni kuwa hii inazidi kuwapa siga Apple na IOS yao?

Binafsi haya ma-udate ya kila siku ya android yananikera sana na sioni kama yanatatua matatizo haswa linapokuja suala la usalama.

Naomba kupata maoni yenu wadau.

CC: Chief-Mkwawa

Google sets June 3 date for Android 11 ‘Beta Launch Show’ with yet-to-leak surprises
mimi nipo na kitikat tu kumbe watu mshapogoma mpaka android 11 huko mnakimbilia wapi
 
Na kitu chengine ambacho watu hawakiongelei sana ni kwamba kifaa cha Apple ambacho hakipokei updates kinakuwa ni kopo tu kama Nokia ya tochi ama feature phone. Store hupati app yoyote ya maana.

Leo hii kuna watu bado wanatumia galaxy s2 na s3, ila iphone 4 na 4s hazina maana yoyote.

Hivyo kwenye ios utapata updates nyingi ila zikiisha tu mdogo mdogo na apps zinapotea.
Mkuu samahani nje mada kidogo,Hivi kati ya iphone 6 plain 32GB na infinix s5 32GB ipi simu bomba hapo kuitumia mwaka huu nataka nivute moja wapo hapo msaada plz.
 
Yes mkuu...huyu haelew development ya Android inavyozid kukua kweny hizo security..na lile sakata la apple atajifanya halijui

Huyu kuna Vivo na oppo tukimpa lock hatoi
sana mkuu,nakumbuka apple kwenye hiki kisanga kilimkost.akadai atafix waapi....mpaka leo.

huyu analalamika sababu hajawahi kuwa mtundu wa simu,sisi wazee wa kingroot na utumbo mwingiine tulipata maumivu sana baada ya malshmarow.
wazee wa factory reset,tukala kelbu la kidevu baada ya android 6.
7 ikaja na bootloader.

tunakoelekea computer zitaanza kishindwa ku bypass simu za android zenye lock.maana dalili ziko wazi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom