khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
Mkuu mimi nina muda kidogo sijatumia iphone. Lakini by then ilikuwa nikihitaji wimbo au video yoyote. Basi naunganisha na itunes kwenye computer then nahamisha. Sijajua kama nowadays mambo yamebadilika.
Simu ya miaka mitano iliopita.Simu hata haipokei Updates kwa 800k!?
Link ipo wapi?Sijataja mimi wataalamu ndio wamedadavua hivyo ingia kwenye link ukosoe kwa hoja zinazoeleweka nami sitasita kukusikiliza. Maana hata mimi nilishangaa sana nikaenda YouTube kuthitisha nikakuta wako sahihi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasira Kijana. It has to be common sense over emotions here. Maisha magumu yanayokupiga sio mimi..Sorry!Shame on you we unaona Android ndo zinapitwa na Wakati tu au sio
Unataka kusema hujui what happened? mpaka izo iphone 6 sasa ivi znauzwa laki tatu mtaani imekuwaje?
Usikurupuke kucomment kabla hujasoma vizuri mada na kuielewa hoja ya msingi. Maisha ni magumu lakini ugumu wa maisha usiathiri uwezo wako na mtazamo. SorryWe unaishi dunia ya wapi?
Hizo updates zinatolewa kila mwisho wa mwaka.
Hata Iphone nao wanafanya hivo.
Usikurupuke kucomment kabla hujasoma vizuri mada na kuielewa hoja ya msingi. Maisha ni magumu lakini ugumu wa maisha usiathiri uwezo wako na mtazamo. Sorry
Frp ya 6 na 7 kwangu ilikua rahisisana mkuu,nakumbuka apple kwenye hiki kisanga kilimkost.akadai atafix waapi....mpaka leo.
huyu analalamika sababu hajawahi kuwa mtundu wa simu,sisi wazee wa kingroot na utumbo mwingiine tulipata maumivu sana baada ya malshmarow.
wazee wa factory reset,tukala kelbu la kidevu baada ya android 6.
7 ikaja na bootloader.
tunakoelekea computer zitaanza kishindwa ku bypass simu za android zenye lock.maana dalili ziko wazi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na XiaomiYes mkuu...huyu haelew development ya Android inavyozid kukua kweny hizo security..na lile sakata la apple atajifanya halijui
Huyu kuna Vivo na oppo tukimpa lock hatoi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unazidi kujichanganya. Sorry siko tayari kulumbana na wewe. Walionielewa kina Chief-Mkwawa washanielewa na wamecomment vitu vya maana.Ww ndo umekurupuka. Kwamba major update kwenye Os ya android hazitoki kila mwaka. ?
Hadi simu iibiwe isipoibiwa nitakaa nayotoka uko na wewe 4.4 mbona upo nyuma
Afterall, youtube channel ni opinion ya mtu.
Ni kweli options kama Uimara, Size, Uzuri kimuonekano, Modern technology hao jamaa hawa deal na hivyo vitu. Hiyo link ni kampuni inayojihusisha na kupima performance rasmi za simu, tablets, cpu za pc, graphics card na gadgets mbalimbali na sio YouTube, nilifungua YouTube kwa ajili ya kujionea kwa macho namna simu ilivyo bora kwenye performance. Na hiyo ni list ya simu bora katika performance sio mauzo, wala idadi ya watumiaji wame focus kwenye performance yaani simu inauwezo gani katika kufungua na ku process programu mbalimbali kwa speed ya hali ya juu unaweza kuangalia in details moja baada ya nyingine ukaangalia namna walivyonyambua katika hali ya kitaalamu zaidi. Kwa kifupi kama umewahi kusikia 3dmark benchmark ndio hao wanaaminika dunia nzima kwa ku rate bidhaa za kielektroniki zinazo tumia computing technology upande wa performance wapo kama antutu benchmark.Afterall, youtube channel ni opinion ya mtu.
Ukikusanya opinions za watu tofauti youtube huwezi kuta wana msimamo unaofanana.
Huwa nawafuatilia kina MKBHD, Mr.Whotheboss, supersarf, Mr. Mobile n.k.
Wote wana opinion tofauti kuhusu device moja au kipi ni bora kuliko kingine.
Link ya mtu mmoja sio conclusive kwamba hiko kitu ni bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nitajie bei ya hiyo redmi note 8Redmi note 8 iko vizuri sana ila uwe makini zinatofautiana matoleo
Mi ninayo hapa inakamata 4g ya Tigo tu
Nilinunua mwaka jana laki 3 na 90Mkuu nitajie bei ya hiyo redmi note 8
Uliagiza au ulinunua hapa tz?Nilinunua mwaka jana laki 3 na 90
Kwa sasa zimeshuka bei
Zimefika ad ngap mkuuNilinunua mwaka jana laki 3 na 90
Kwa sasa zimeshuka bei
NiliagizaUliagiza au ulinunua hapa tz?