Tuje na mpango mkakati wa kukuza IQ zetu bila hivyo tutaendelea kuteseka

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Tunapigwa kwenye mikataba kwa sababu IQ zetu bado ndogo.

Huwezi mzidi ujanja mwenye IQ kubwa kuliko wewe lazima akulambe tu.

Juzi mchina Xi katukusanya kama kumbi kumbi huko mitaa ya Beijing haya sasa subiri mipigo mirefu ya wachina kwa miaka mingi ijayo.

Hatuwezi shindana na watu wenye IQ za 100, 80,90 huko huku sisi tukicheza kwenye 50-70 lazima tupigwe tu.

Tuipe heshima elimu naamini itasaidia kukuza IQ bila hivyo tutaendelea kusombwa sombwa hovyo.
 
Elimu bila jitihada ni mzigo we endelea kusubiri km unavyosubiri sisi tunasonga mbele
 
Elimu bila jitihada ni mzigo we endelea kusubiri km unavyosubiri sisi tunasonga mbele
Tuanze kwanza kukuza elimu kwa viwango vya juu jitihada haziepukiki
 
IQ inapimwaje? Nani alipima hizo IQ?

Paka anaweza andika kitabu Cha kumsifia panya?
Ukichukua sample ya CCM hasa UVCCM huwezi bishana na upimaji huo haihitajiki maelezo mengi.

Utafiti upo.
 
Ukichukua sample ya CCM hasa UVCCM huwezi bishana na upimaji huo haihitajiki maelezo mengi.

Utafiti upo.

Pandisha huo utafiti hapa au tuma link acha ngonjera nyingi.
 
IQ ya Mbantu ikuwe kufikia wapi?

Tangu lini Mbantu akawa na akili kumzidi au kulingana na Mtu mweupe yeyote?

Na Hata tukiachwa bila kupigwa na weupe, ndio tutadumaa completely hakuna kitu tutafanya, hata Wakoloni kuja ni kutufungua macho na kutuletea maendeleo

 
Huyo mchora ramani anazingua; kwamba Chinese wana IQ kubwa kuliko Koreans? Yaani alikuwa anafanya shedding anavyoona kulingana na maendeleo ya nchi husika.
 
Huyo mchora ramani anazingua; kwamba Chinese wana IQ kubwa kuliko Koreans? Yaani alikuwa anafanya shedding anavyoona kulingana na maendeleo ya nchi husika.
Ramani ya dunia unaijua kweli au ndio unazidi kuthibitisha low IQ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…