Tuje na mpango mkakati wa kukuza IQ zetu bila hivyo tutaendelea kuteseka

Tuje na mpango mkakati wa kukuza IQ zetu bila hivyo tutaendelea kuteseka

Naona upande wa kulia kule kuwa "Fisi watumika kuvuta watu mbio za Mwenge" aliyeandika nae nina mashaka naye vile vile yawezekana ni miongoni mwa mmoja katika wanne.
1000012624.jpg
 
Unawaza kukuza IQ wakat hujala ebu acha masihara kula kwanza ushibe IQ ni vtu vya ziada baada ya kua na uhakika wa kula, kulala pazuri na kupata uduma ya matibabu kwa wakat

Unataka kukuza iq wakat bado tunagombania vitu vdgo
 
Back
Top Bottom