ndio maana mimi nimejitolea kuwapa ushauri wa bure kabisa.Hatuna viongozi wenye akili hizo ndugu.
Mimi nilikua na wazo masoko makubwa yawe matatu maeneo tofauti labda chanika lijengwe soko kubwa la vifaa vya ujenzi na huko kuwe pia na vifaa vyote vya umeme, vitu kama simu, halafu lijengwe soko lingine mbezi kubwa hapo sasa ndio wawekwe wauzaji wa nguo zote, viatu vyote yaani mavazi kwa ujumla kuwe huko halafu soko la kariakoo labda libakie la kuuza spareparts za magari, pikipiki, bajaji na huko ndio ziuzwe pikipiki, bajaji, toyo za mizigo na kubakie bidhaa nyingine kama vipodozi na zile bidhaa za majumbani yaani pipi, jojo, sabuni za kufulia na kuogea, vyombo vya ndani vibakie huko halafu ujenzi huo uende sambamba na upanuzi mahususi wa barabara yaani anzia mbezi, ubungo, bunguruni Gongo la mboto, chanika barabara ziwe njia nane yaani zinazoingia na kutoka ziwe njia nane na ziambatane na madaraja ya watembea kwa miguu hapo unakua umebalance jiji na hutoona msongamano kama wa sasa kariakoo
unaongelea upande mmoja tu, unajua umati unaokusanyika Mbagala kila siku na magari ya kusini yanavyomwaga watu??kujenga Soko K.Koo maeneo ya Kituo Cha Mabasi cha Magufuli ni suluhisho kwa changamoto kwa machanga kwa miaka 30 ijayo.
kwa nini tunasema lijengwe maeneo hayo?
hakuna ubishi kuwa kwa sasa eneo la Mbezi Mwisho na viunga vyake ndilo eneo pekee linalo kusanya umati wa watu kila siku, hivyo ni eneo la kimkakati endapo tu watendaji wetu watakuwa na maarifa ya kuona mbali zaidi.
pili ktk maeneo hayo bado kuna fursa ya space ukilinganisha na sehemu zingine.
kazi kwenu watendaji wa Jiji la Dsm na TAMISEMI
Unataka kila kitu kipelekwe kwenu Mbezi waje Gongo la Mboto au Temeke bado kuna maeneoKwa sasa Soko la K/koo lililo jengwa zaidi ya Miaka 40 iliyo pita limeelemewa na kuzidiwa kutokana na ongezeko la idadi kubwa ya watu.
Kila Mgeni anaye kuja Jijini anawaza kwenda kufanya biashara maeneo ya K. koo ndio maaana leo hii wamachinga wametapakaa hadi wameziba barabara na mifereji ya maji taka.
Tatizo baadhi ya watendaji wa siku hizi wamekosa ubunifu na kwa sababu hiyo wamechangia matatizo kuongezeka.
Mfano mwaka Juzi tulishuhudia stendi ya Mabasi ya Ubunho ikihamishiwa maeneo ya mbezi hakika huo ulikuwa uamuzi wa busara na faida yake leo hii tunaiona, Kituo kikubwa na cha kisasa cha Mabasi stendi ya Maguguli, hakuna msongamano na Abiria hawapati usumbufu.
Sasa kwa nini K.koo nyingine isijengwe Maeneo hayo ya Mbezi Mwisho ili kuondoa msongamano katikati ya Jiji? haswa ikizingatiwa hivi sasa abiria wote kutoka mikoa yote pamoja na nchi jirani wanaterwmkia Mbezi mwisho, wafanyabiashara wengi wanatamani kufanya manunuzi hapohapo mbezi bila kufika kkoo.
Viongozi wetu hebu kuweni wabunifu ktk kutatua changamoto za wananchi.
nashauri tena tujenge K. koo ya kisasa maeneo ya Mbesi karibu na kutoa cha Mabasi "Magufuli bus terminal".
hii itasaidia sana kuondoa changamoto za msongamano katikati ya Jiji lkn pia itaondoa changamoto ya kutapakaa ovyo kwa wamachinga.
Umeandika vizuri mkuu!!matatizo hayatatuliwi kwa kuhamisha, tutakuwa tunahamahama mpaka Yesu arudi, miaka 20 mbele na mbezi napo patajaa tutahamia kibaha?? suala ni miundombinu na mipango miji, vitu kama stendi ya mkoa hakustahili kuwekwa mbezi, ilistahili kuwepo palepale mnazimmoja kabla hata ya kuhamia ubungo, ilitakiwa tuwe na miundombinu inayosapoti kuingia na kutoka mjini kwa haraka, hata soko liiengwe palepale huko yajengwe mengine tu na manispaa zao, cha muhimu kuwe na miundombinu na idadi maalumu ya watu/wafanybiashara wanaostahili kuwepo pale, kuwe na sheria kali siyo kila mwenye kuwwza kuzagaa anakimbilia k/koo. Ni nchi yetu tu ndo naona stendi kuu ya mji inakaa nje ya mji, yaani unaenda mji x unastahili ushukie maporini huko ndo utafute usafiri ukufikishe mjini, huu ni upuuzi, tuanze kufikiri sasa hata mbezi itajaa pia, mwisho mtatuambia ukitaka kuja dar shukia mlandizi!!
Wazi zuri ila viongozi wetu sijui walisema wapi? Ubuntu ZERO wengi waoKwa sasa Soko la K/koo lililo jengwa zaidi ya Miaka 40 iliyo pita limeelemewa na kuzidiwa kutokana na ongezeko la idadi kubwa ya watu.
Kila Mgeni anaye kuja Jijini anawaza kwenda kufanya biashara maeneo ya K. koo ndio maaana leo hii wamachinga wametapakaa hadi wameziba barabara na mifereji ya maji taka.
Tatizo baadhi ya watendaji wa siku hizi wamekosa ubunifu na kwa sababu hiyo wamechangia matatizo kuongezeka.
Mfano mwaka Juzi tulishuhudia stendi ya Mabasi ya Ubunho ikihamishiwa maeneo ya mbezi hakika huo ulikuwa uamuzi wa busara na faida yake leo hii tunaiona, Kituo kikubwa na cha kisasa cha Mabasi stendi ya Maguguli, hakuna msongamano na Abiria hawapati usumbufu.
Sasa kwa nini K.koo nyingine isijengwe Maeneo hayo ya Mbezi Mwisho ili kuondoa msongamano katikati ya Jiji? haswa ikizingatiwa hivi sasa abiria wote kutoka mikoa yote pamoja na nchi jirani wanaterwmkia Mbezi mwisho, wafanyabiashara wengi wanatamani kufanya manunuzi hapohapo mbezi bila kufika kkoo.
Viongozi wetu hebu kuweni wabunifu ktk kutatua changamoto za wananchi.
nashauri tena tujenge K. koo ya kisasa maeneo ya Mbesi karibu na kutoa cha Mabasi "Magufuli bus terminal".
hii itasaidia sana kuondoa changamoto za msongamano katikati ya Jiji lkn pia itaondoa changamoto ya kutapakaa ovyo kwa wamachinga.
Hata halmashauri ya Ubongo ambao stand ipo kwao wanaweza tenga eneo hapo karibu wakajenga soko kubwa la kimataifa. Watu wakitoka mikoani au nje ya nchi wanafika hapo, wananunua bidhaa na kusepa zao.
Mfano tegeta ilitakiwa iwepo
Kko ya kimtindo
Kimara mwisho ilitakiwa iwepo
Kko ya kimtindo
Na mbagala
Ova
Waachie wataalamu wa mipango miji naona ushauri wako haufai. Kaa pembeni au rudi kajifunze kuusu miji, mipango miji na ukuaji wa mijimatatizo hayatatuliwi kwa kuhamisha, tutakuwa tunahamahama mpaka Yesu arudi, miaka 20 mbele na mbezi napo patajaa tutahamia kibaha?? suala ni miundombinu na mipango miji, vitu kama stendi ya mkoa hakustahili kuwekwa mbezi, ilistahili kuwepo palepale mnazimmoja kabla hata ya kuhamia ubungo, ilitakiwa tuwe na miundombinu inayosapoti kuingia na kutoka mjini kwa haraka, hata soko liiengwe palepale huko yajengwe mengine tu na manispaa zao, cha muhimu kuwe na miundombinu na idadi maalumu ya watu/wafanybiashara wanaostahili kuwepo pale, kuwe na sheria kali siyo kila mwenye kuwwza kuzagaa anakimbilia k/koo. Ni nchi yetu tu ndo naona stendi kuu ya mji inakaa nje ya mji, yaani unaenda mji x unastahili ushukie maporini huko ndo utafute usafiri ukufikishe mjini, huu ni upuuzi, tuanze kufikiri sasa hata mbezi itajaa pia, mwisho mtatuambia ukitaka kuja dar shukia mlandizi!!
wazo zuri sanaMimi nilikua na wazo masoko makubwa yawe matatu maeneo tofauti labda chanika lijengwe soko kubwa la vifaa vya ujenzi na huko kuwe pia na vifaa vyote vya umeme, vitu kama simu, halafu lijengwe soko lingine mbezi kubwa hapo sasa ndio wawekwe wauzaji wa nguo zote, viatu vyote yaani mavazi kwa ujumla kuwe huko halafu soko la kariakoo labda libakie la kuuza spareparts za magari, pikipiki, bajaji na huko ndio ziuzwe pikipiki, bajaji, toyo za mizigo na kubakie bidhaa nyingine kama vipodozi na zile bidhaa za majumbani yaani pipi, jojo, sabuni za kufulia na kuogea, vyombo vya ndani vibakie huko halafu ujenzi huo uende sambamba na upanuzi mahususi wa barabara yaani anzia mbezi, ubungo, bunguruni Gongo la mboto, chanika barabara ziwe njia nane yaani zinazoingia na kutoka ziwe njia nane na ziambatane na madaraja ya watembea kwa miguu hapo unakua umebalance jiji na hutoona msongamano kama wa sasa kariakoo