jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Tegemea arab nationals na washirika wake kupotea kwenye uso wa dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N A K A Z I ATegemea arab nationals na washirika wake kupotea kwenye uso wa dunia.
🙌🙌🙌North Korea wapi?
Teh teh teh teh hiki kisa cha kweli au stori tu!!! Kama ni kweli jama wana ubavu.
And to this day, no car manufacturer has dared to provide any new cars to them because of this incident.
Sawa lakini I'm sure baada ya vita ataibuka Another Leading Super power duniani na si US tena.Tegemea arab nationals na washirika wake kupotea kwenye uso wa dunia.
Khaaa ila we member ni kipengererekebisha neno ''suruhu iwe suluhu'' ili tuendelee kuchangia
Kuna Uhusiano Mkubwa kati ya uchumi na Vita mkuu.Mbona sijakuelewa vizuri kiongozi!! Haya mamno ya kui- equate uwwzo wa kiuchumi na masuala ya kushinda vita ndio huwa siuelewi, kila siku huwa nawahoji hivi GDP ya Merikani wakati alipo vamia/jiingiza kwenye vita na VietNam ya Kasikazini GDP ya North VietNam ilikuwa ya kiwango gani???
Bottom line is: kuwa na Uchumi mkubwa sio passport ya kushinda vita - tulishuhudia jinsi Meeikani ilivyo dhalilishwa na Taifa dogo la VietNam Kaskazini sasa hizo zillion USD ya uchumi wa Merikani na zana za kivita ziliwasaidia nini?? Kuhusu Ukraine, Urusi ilisha jipanga kwa muaka mingi jinsi ya lu-deal na njama za kutaka kuitumia Ukraine ili wadhoofishe kijeshi, lakini wawahakikisheni nja hizo hazitafamikiwa Urusi itahibuka kidedea wayakaopata shida na taabu ni nchi za Ulaya zilizokuwa zina msupport Zelesky kwa niaba ya Merikani.
Mkuu sijaelewa !Vita ya dunia ipo, ila itahusisha serikali (yaani UN) against dini zinajifungamanisha na Siasa..(babiloni mkubwa)
tunayoyaona sasa ni utanguliz tu... serikali baadae itajua kuwa chanzo cha vita zote ni dini za uongo...(mwenye macho na aone hilo
Si kweli binadamu tumeumbwa na asili ya vita.Hakuna vita ya tatu itakayotokea hapa duniani Kwa kuwa binadamu wa Leo hawapendi Wala kushabikia vita kama hapo awali.
Sasa mkuu mbona haihusiani na uziKweli mkuu unapendaga sana VITA
Sehemu Salama KUTAFUTA NA KUPATA wanawake wazuri wa KUOA NA kulea WATOTO NA KUZAA WATOTO KATIKA MIAKA 200 IJAYO NI CHATO.
KABILA ALIKOTOKA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI – HAKIKA WAMEMALIZA ICE-CREAM YOTE, WANAHAMU YA KUTOA RAIS MWINGINE KWA MIHULA 20 IJAYO.
MAKABILA MENGINE YOTE NDOTO ZA KUTOA URAIS KWENYE MIHULA IJAYO ZIPO KWA ASILIMIA 200- UTAPIGWA JELA LA NJE
😂😂😂ubabe nao unasababisha vita