Tetesi: Tujiandae ndege mpya zinakuja na uzushi pia unakuja

Tetesi: Tujiandae ndege mpya zinakuja na uzushi pia unakuja

BABA NI CCM

Member
Joined
Nov 24, 2018
Posts
86
Reaction score
98
Kidumu chama cha mapinduzi

Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu

Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania yetu umeanza kutoa propaganda za kitoto juu ya ndege zetu hizi.

Nawakumbusha tu tunafahamu kuwa ujio wa ndege zetu hizi hautawapendeza maana mnaona wazi mnakosa hoja 2020. Tumejipanga kuwakabili hoja kwa hoja hadi mgeuke kihoja.

Jumapili njema
Ni mimi mtoto wa baba
 
Kidumu chama cha mapinduzi

Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu

Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania yetu umeanza kutoa propaganda za kitoto juu ya ndege zetu hizi.

Nawakumbusha tu tunafahamu kuwa ujio wa ndege zetu hizi hautawapendeza maana mnaona wazi mnakosa hoja 2020. Tumejipanga kuwakabili hoja kwa hoja hadi mgeuke kihoja.

Jumapili njema
Ni mimi mtoto wa baba
Tupo huku Bunge laukana Muswada wa Mafao wa 25% kwa 75%. Ladai waulizwe Serikali ndio walioleta kanuni - JamiiForums, tunajadili mambo ya maana wewe endelea na mambo yako ya kijinga
 
Hii moja yenyewe hata root ya maana haijapata imeishia kujaza Mwanza - Dar pungufu ongea!!
 
Kidumu chama cha mapinduzi

Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu

Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania yetu umeanza kutoa propaganda za kitoto juu ya ndege zetu hizi.

Nawakumbusha tu tunafahamu kuwa ujio wa ndege zetu hizi hautawapendeza maana mnaona wazi mnakosa hoja 2020. Tumejipanga kuwakabili hoja kwa hoja hadi mgeuke kihoja.

Jumapili njema
Ni mimi mtoto wa baba
unaandika thread halafu unajipa like mwenyewe! hahahaha
 
Kidumu chama cha mapinduzi

Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu

Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania yetu umeanza kutoa propaganda za kitoto juu ya ndege zetu hizi.

Nawakumbusha tu tunafahamu kuwa ujio wa ndege zetu hizi hautawapendeza maana mnaona wazi mnakosa hoja 2020. Tumejipanga kuwakabili hoja kwa hoja hadi mgeuke kihoja.

Jumapili njema
Ni mimi mtoto wa baba

Hizi zilizokuwepo uahazipanda au ni ushabiki wa kijinga tu?
 
Kidumu chama cha mapinduzi

Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu

Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania yetu umeanza kutoa propaganda za kitoto juu ya ndege zetu hizi.

Nawakumbusha tu tunafahamu kuwa ujio wa ndege zetu hizi hautawapendeza maana mnaona wazi mnakosa hoja 2020. Tumejipanga kuwakabili hoja kwa hoja hadi mgeuke kihoja.

Jumapili njema
Ni mimi mtoto wa baba
Unacheo gani huki ccm? Isijeikawa wewe ni ngazi tu.
 
Ingekuwa kwa hoja ingependeza ila sasa mtakuja na polis, jeshi, mahakama, magereza, mgambo na vitisho kibao! Hoja ijibiwe kwa hoja hakika itapendeza sana
 
Back
Top Bottom