Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Isije kuwa midege inanunuliwa na pesa za Wastaafu.Kidumu chama cha mapinduzi
Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu
Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania yetu umeanza kutoa propaganda za kitoto juu ya ndege zetu hizi.
Nawakumbusha tu tunafahamu kuwa ujio wa ndege zetu hizi hautawapendeza maana mnaona wazi mnakosa hoja 2020. Tumejipanga kuwakabili hoja kwa hoja hadi mgeuke kihoja.
Jumapili njema
Ni mimi mtoto wa baba
Kama ni hivyo nitaomba yakose abiria walahi!