Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zikifika zote na management itaimalikaSasa unaleta ndege wakati management ni mbovu unategemea kuwa shirika litasurvive mkuu???!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zikifika zote na management itaimalika
Kuna ATCL bila ndege?Ninyi mna akili za kuku,badala ya kuiimarisha kwanza ATCL eti mnakomaa kununua mandege!Ninyi ni mazuzu tuuuu!!
[emoji23][emoji23][emoji23] Vipi naona umexheka sana![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani mwenzetu wewe kwenye maisha yako yote unamiliki chakula tu? hakuna vitu vingine unavyomiliki ambavyo huli kama gari, pikipiki, baiskeli, gari la punda nk? Hujawahi kusafiri? Na hapa JF umeandika kwa kutumia unga wa mahindi?Jiongeze siyo kila kitu kujitoa ufahamu. Ila siungi mkono 25% kwa 75% ya wastaafu.Mkuu ndege ndo utakula?
Sasa una uhakika gani kama manegement bado ni mbovu na hakuna juhudi zinazofanyika kuboresha management?Sasa unaleta ndege wakati management ni mbovu unategemea kuwa shirika litasurvive mkuu???!
Badala ya kuwahimiza wafanye kazi kwa bidii walete tija, unahimiza wafanye hujuma. Huu ni unyumbu. Yaani huku serikali inakwapua mafao ya wastaafu, chadema wanahimiza wafanyakazi wahujumu serikali. Sasa sijui nani mwehu na nani kichaa.Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu,ni miaka mitatu hakuna ongezeko la mshahara na maslahi yenu yanazidi kandamizwa
Sasa mkuu unawezaje kuiimarisha hiyo ATCL bila kuwa na ndege?Ninyi mna akili za kuku,badala ya kuiimarisha kwanza ATCL eti mnakomaa kununua mandege!Ninyi ni mazuzu tuuuu!!
Huwezi elewa nilichokoment hadi uwe unafikiria nje ya boxKwani mwenzetu wewe kwenye maisha yako yote unamiliki chakula tu? hakuna vitu vingine unavyomiliki ambavyo huli kama gari, pikipiki, baiskeli, gari la punda nk? Hujawahi kusafiri? Na hapa JF umeandika kwa kutumia unga wa mahindi?Jiongeze siyo kila kitu kujitoa ufahamu. Ila siungi mkono 25% kwa 75% ya wastaafu.