Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sasa unaleta ndege wakati management ni mbovu unategemea kuwa shirika litasurvive mkuu???!....inaimarishwaje bila ndege !?
Kweli mchawi hana sababu !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unaleta ndege wakati management ni mbovu unategemea kuwa shirika litasurvive mkuu???!....inaimarishwaje bila ndege !?
Kweli mchawi hana sababu !
Waje na uzushi upi mkuu! kama terrible teen imeshapitwa na wakati labda wakomalie ndege hazina WI-Fi maana akili zao ufipa wanajijua wenyewe,walipigialo kelele likitekelezwa wanalikataa jua likiwaka.Kidumu chama cha mapinduzi
Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu
Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania yetu umeanza kutoa propaganda za kitoto juu ya ndege zetu hizi.
Nawakumbusha tu tunafahamu kuwa ujio wa ndege zetu hizi hautawapendeza maana mnaona wazi mnakosa hoja 2020. Tumejipanga kuwakabili hoja kwa hoja hadi mgeuke kihoja.
Jumapili njema
Ni mimi mtoto wa baba
Ninyi mna akili za kuku,badala ya kuiimarisha kwanza ATCL eti mnakomaa kununua mandege!Ninyi ni mazuzu tuuuu!!
Ndicho nilichomaanisha hapo!Sasa wanaleta ndege wakati management ni mbovu unategemea kuwa shirika litasurvive mkuu???!Nadhan kuimarisha atcl ni pamoja na kununua ndege. Maana shirika lilibaki na ndege moja tu.
Japkuwa kwangu mm naona kununua ndege nimapema. Wangeondoa ungozi wa shirika kwanza. Halaf uje uongozi mpya ambao ni dynamic halaf ndio ndege zije
Achan na Habari za mandege hayo,Kidumu chama cha mapinduzi
Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu
Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania yetu umeanza kutoa propaganda za kitoto juu ya ndege zetu hizi.
Nawakumbusha tu tunafahamu kuwa ujio wa ndege zetu hizi hautawapendeza maana mnaona wazi mnakosa hoja 2020. Tumejipanga kuwakabili hoja kwa hoja hadi mgeuke kihoja.
Jumapili njema
Ni mimi mtoto wa baba
Wewe ni mtoto wa baba jesica mkuu?Kidumu chama cha mapinduzi
Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu
Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania yetu umeanza kutoa propaganda za kitoto juu ya ndege zetu hizi.
Nawakumbusha tu tunafahamu kuwa ujio wa ndege zetu hizi hautawapendeza maana mnaona wazi mnakosa hoja 2020. Tumejipanga kuwakabili hoja kwa hoja hadi mgeuke kihoja.
Jumapili njema
Ni mimi mtoto wa baba
Hoja kioja kabisa. ATCL imekuwepo kwa zaidi ya 30yrs bila ya ndege kwa nini haikuimarika??Ninyi mna akili za kuku,badala ya kuiimarisha kwanza ATCL eti mnakomaa kununua mandege!Ninyi ni mazuzu tuuuu!!
Wewe ndiyo hupaswi kucomment kwenye kila post mkuu,unajua ni kwa nini ATCL ilikufa??!Mnaleta ndege kwa wingi wakati management ni mbovu unategemea kuwa shirika litasurvive??!Hoja kioja kabisa. ATCL imekuwepo kwa zaidi ya 30yrs bila ya ndege kwa nini haikuimarika??
Sidhani na siuoni uimara wa shirika la ndege bila ya kuwa na ndege.
Not necessary to comment in every post.
Ndio, watu watashindwa kujenga Nyumba bora ili waone ndege zikipita angani.Hii ni nchi gani wanyonge wanaporwa haki zao mchana kweupe, KIbabe
MAFAO YA WAZEE
-FAO LA KUJITOA
bei za mahindi chini kabisa
Sukari bei juu
Cementi, bati uuwiii
Mafuta uwii bei
Mmmh! Mbona mama hujamtaja? Baba peke yake inawezekana?Ni mimi mtoto wa baba
Sasa unaleta ndege wakati management ni mbovu unategemea kuwa shirika litasurvive mkuu???!
Mbovu kivipi fafanuaSasa unaleta ndege wakati management ni mbovu unategemea kuwa shirika litasurvive mkuu???!
unafahamu kitu inaitwa "BUSINESS PLAN" wewe?ATCL itaimarishwaje bila ndege?????
Mazuzu ni wanachi hawajui kipaumbele chao yanaburuzwa yanakubaliNinyi mna akili za kuku,badala ya kuiimarisha kwanza ATCL eti mnakomaa kununua mandege!Ninyi ni mazuzu tuuuu!!
[emoji30][emoji30][emoji30]Mazuzu ni wanachi hawajui kipaumbele chao yanaburuzwa yanakubali