Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila duu unaenda kupiga kura na kumchagua unaye dhani atakuwakilisha kumbe CCM wanaenda maporini kuchimba, dawa bila kutumwa, hahaaaNimejiandikisha kupiga kura nikiwa mtu wa kwanza kwenye mtaa wangu. Wewe Je?
Ukienda utapewa hata ukipoteza unapewa papo hapo mimi kichinjio ninachoKwanza hata kitambulisho tu Cha Mpiga kura Sina na sitarajii Kuwa nacho!
Ccm wanataka watu kama weweKwanza hata kitambulisho tu Cha Mpiga kura Sina na sitarajii Kuwa nacho!
Hadi huu wa serikali za mitaa wanatoa kitambulisho??Ukienda utapewa hata ukipoteza unaoewa papo hapo mimi kichinjio ninacho
Huelew context ya post yangu! Utakuwa CCM maana ndio vichwa vyao viko hivi!KUNA BONAS yoyote ile ukiwa wa kwanza kujiandikisha?
Sina uhakika kwasababu sijaendaHadi huu wa serikali za mitaa wanatoa kitambulisho??
Ni bora ukajiandikisha kuweka tahadhali incase kuna mazingira ya haki, siku hiyo ikifika ukaona hakuna mzingira ya haki, you just abstain!Ila duu unaenda kupiga kura na kumchagua unaye dhani atakuwakilisha kumbe CCM wanaenda maporini kuchimba dawa bila kuaambiwa hahaaa
definitely!Sio lazima mkuu
Hata mkipiga kura wote msiichague ccm Bado upinzani hautashika Dola kamwe. Bila tume huru Kura Yako ni Bure tu. Baki kwako lala huna usigizi piga hata nyetoKupiga kura ni haki yako lakini sio lazima.
Na kinachonifurahisha ni kuwa sisi vijana hatuna muda huo wa kupiga kura japo sisi ndio tuna mawazo ya kuing'oa ccm madarakani.
Lakini wazee wetu na akina mama ambao huwaambii kitu kuhusu CCM ndio wapiga kura je, kwa mwendo huu ccm itatolewa madaraka?
Mabadiliko yanaanza na weweHata mkipiga kura wote msiichague ccm Bado upinzani hautashika Dola kamwe. Bila tume huru Kura Yako ni Bure tu. Baki kwako lala huna usigizi piga hata nyeto