LGE2024 Tujiandikishe kupiga kura

LGE2024 Tujiandikishe kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kuna faida yoyote ya kupiga kura hapa nchini kwetu Ili Hali matokeo mnayo tiyari?


Muda huo heri nikaoge bwawani nipate kichocho.
Nenda kajiandikishe tu,dunia bado inazunguka huwezi jua yajayo mbeleni.Nani alitarajia kuwa Magufuri atakufa baada ya kufanya ule ufidhuli wa 2019 na 2020???Simwombei Mama Samiah mabaya ila nyakati huwa zinaamua nini cha kufanya.Kwa hiyo tusikatishane tamaa uwanja umefunguliwa twende tukatimize wajibu wetu.
 
Hata mkipiga kura wote msiichague ccm Bado upinzani hautashika Dola kamwe. Bila tume huru Kura Yako ni Bure tu. Baki kwako lala huna usigizi piga hata nyeto
Bila shaka wewe ni CCM na sehemu ya kampeni ya kuwapunguza wapiga kura,mimi nawasihi wajumbe tukatimize wajibu wetu.Pamoja na Lungu kumfanyia figisu Hakainde lakini leo Hakainde ni Rais wa Zambia hakukata tamaa kwamba Lungu anaweza iba kura,twende tukajiandikishe tu na siku ya kupiga kura twende tukapigie wale tunaoona wanafaa.
 
😀😀😀 hii ndio Tanzania na hawa ndio aina ya vijana tunaotegemea waipe kimaso maso ccm? BRAVO CCM BRAVO CHURA BRAVO KIJANI BRAVO SAMIA. CCM endeleeni kutupigilia misumali maana hatuna uthubutu wa ujasiri
 
kura? za nni tena jamani? kwani Kuna nni kinaendelea nchini?🇹🇿
 
Mimi naona nikiandika haitoshi nimerekodi voice note👇

▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။|||။ 03:53
 
Nimejiandikisha kupiga kura nikiwa mtu wa kwanza kwenye mtaa wangu. Wewe Je?
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kama umejiandikisha, zingatia ukweli huu.
 
Kwa comments chache humu ndani unagundua watu hawajiandikishali kupiga kura lakini watu hao hao wanapiga kelele CCM iondoke madarakani, unajiuliza itaondokaje na nyie kujiandikisha ili kupiga kura hamtaki na mnasema haina maana?
 
Bila shaka wewe ni CCM na sehemu ya kampeni ya kuwapunguza wapiga kura,mimi nawasihi wajumbe tukatimize wajibu wetu.Pamoja na Lungu kumfanyia figisu Hakainde lakini leo Hakainde ni Rais wa Zambia hakukata tamaa kwamba Lungu anaweza iba kura,twende tukajiandikishe tu na siku ya kupiga kura twende tukapigie wale tunaoona wanafaa.
Bila tume huru ya uchaguzi muda wa kupoteza Sina mara mwisho kupiga kura ni 2010 Kwa slaa. Nikaona hapa tunachoshana tu. Siku mkipata akili sawa sawa za kudai tume huru nitaanzia hapo kupiga kura
 
Nenda kajiandikishe tu,dunia bado inazunguka huwezi jua yajayo mbeleni.Nani alitarajia kuwa Magufuri atakufa baada ya kufanya ule ufidhuli wa 2019 na 2020???Simwombei Mama Samiah mabaya ila nyakati huwa zinaamua nini cha kufanya.Kwa hiyo tusikatishane tamaa uwanja umefunguliwa twende tukatimize wajibu wetu.
Kujiandikisha ni sawa maana baadhi ya vitambulisho huhitajika kama Cha mpiga kura na nida Kwa Sasa ninavyo vyote. Kwa habari ya kupiga kura hiyo ni agenda nyingine
 
Bila tume huru ya uchaguzi muda wa kupoteza Sina mara mwisho kupiga kura ni 2010 Kwa slaa. Nikaona hapa tunachoshana tu. Siku mkipata akili sawa sawa za kudai tume huru nitaanzia hapo kupiga kura
Basi kaa kimya sisi tukapambane hivyo tukishinda sawa na tukishindwa sawa maana ni sehemu ya maisha.
 
Kupiga kura ni haki yako lakini sio lazima.
Na kinachonifurahisha ni kuwa sisi vijana hatuna muda huo wa kupiga kura japo sisi ndio tuna mawazo ya kuing'oa ccm madarakani.
Lakini wazee wetu na akina mama ambao huwaambii kitu kuhusu CCM ndio wapiga kura je, kwa mwendo huu ccm itatolewa madaraka?
Huwezi kuingoa ccm kwa kura
Labda upige kura utimize wajibu wako tu

Ova
 
Watu wakajiandikishe tu kupigia kura Upinzani. Lakini CCM hawahitaji kura za watu ili kushinda. Dunia inajua😥
 
Basi kaa kimya sisi tukapambane hivyo tukishinda sawa na tukishindwa sawa maana ni sehemu ya maisha.
Kunipangia kukaa kimya sio sawa Wala huwezi hili ni jukwaa huru kabisa na haya ndo maoni yangu. Kama ulitaka wote tuwe na maoni sawa na wewe jikusanyeni mtengeneze group la Whatsapp uwe admin huko na utoe mwongozo.

Kwa hapa hutafanikiwa mkuu wangu.
 
Kwa comments chache humu ndani unagundua watu hawajiandikishali kupiga kura lakini watu hao hao wanapiga kelele CCM iondoke madarakani, unajiuliza itaondokaje na nyie kujiandikisha ili kupiga kura hamtaki na mnasema haina maana?
Unategemea ccm itatoka kwa kuweka makaratasi kwenye maboksi 😁😁😁😁
 
Unategemea ccm itatoka kwa kuweka makaratasi kwenye maboksi 😁😁😁😁
Kwahiyo unamaanisha CCM haitatoka madarakani, je msipojiandikisha hao akina Lema, Boni Yai na wengine wataingiaje Bungeni?
 
Nimejiandikisha kupiga kura nikiwa mtu wa kwanza kwenye mtaa wangu. Wewe Je?
Mimi nikiwa mtu wa 7 ijapokuwa mvua ni nyingi sana leo hapa Kigoma kuanzia juzi t9.10.2024 ni mvua siku nzima
 
Kwahiyo unamaanisha CCM haitatoka madarakani, je msipojiandikisha hao akina Lema, Boni Yai na wengine wataingiaje Bungeni?
Kutoka itatoka ila sio kwa mfumo ilio wawekea eti wa kupiga kura wanazo zisimamia wenyewe, mzee amka
 
Back
Top Bottom