Kwaiyo baba akishatengeza future akifa uchungu unapungua?Wewe ulizika vitu 2 kwa mpigo ndiyo maana ulikuwa na uchungu sana. Ulizika future yako na ukazika mwili wa babako, lkn hawa wanazika mwili wa baba yao tu. Kwasabb future tayari baba yao amewatengenezea
😜😜😜😜Ahaaaa shindwa
Halafu kuna lipumbavu moja lisilo na exposure linalia kama naniliu ety tumefanya nae kaz shitttWatoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Hii picha unayoiona hapo kwenye Avatar inaakisi sehemu ya kazi ninazofanya.Sasa mbona umepanic? Au wewe unalipwa buku7 kwa siku?
Atakuwa na mmoja wa njeWalie kipi wamekosea? Magorofa , vituo vya mafuta, mashamba makubwa na hisa za kutosha wameachiwa walie nini sasa? Wanolia ni maskini wanaoachwa na shida nyuma zikiwandamana hao hata miaka 100 wataishi vyema , ndio maana wanaita celebration na kuna celebration tatu kuzaliwa , kuishi na kufa kulia hata ujaze pipa harudi guys you need to know kifo kipo na sio ajabu ukiishi kwa hofu utakufa vibaya, Nigerians wao hukaa hata mwaka bila kuzika ili kuandaa sherehe ya wapendwa wao , kifo ni sherehe na sio majonzi , kifo ni celebration of legacy ya mtu wako , sio kulia hadi makamasi,
Watoto wa Kishua. Misiba ya Kishua hizi ndo pigo zake. Watoto wana uhakika wa maisha hata baada ya baba yao kuondoka. Misiba ya kipato cha chini ndio mara nyingi hutawaliwa na vilio na simanzi kubwa hasa wanapoondokewa na waliyekuwa wanamtegemea kwa kila kitu.Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Na wazazi wako wangekuwa na mawazo kama yako, ina maana wewe Ushimen usingezaliwa!Kwanza minashangaa wanazaa kwanini, hakuna haja ya kuzaa🤨
Imeandikwa,Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.
Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
View attachment 3167382
Tafadhali sana tusiingiliane nmewaachia sana watu watoto wazur ila Kwa Ndugulile mm ndo nitaoa na tayar nishaanza kuchombeza ,yule dada alipita karbu na mm nkamwambia " gudi ivinini biutiful ledi" akaitia 'thanki yuu naisi boy'Nilitaka nikaoe kwa mbowe ila sasa nimeghairi naenda kuoa kwa ndugulile
Hapo uliposema imeandikwa, Nani kaandika ? Hapo wazungu wenyewe walioandika biblia mbona hawazai hovyo kama watu weusi.?Imeandikwa,
Mwanzo 1:28
Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”
ni muhimu sana kuwafyatua watoto kadiri ya neema na baraka za Mungu
Cultural Alienation inalipiga tabaka la juu. Hawa wanaadopt actively and enthusiastically tamaduni za ulaya kwa fahari kubwa. Hata grieving huwezi iona misibani tena. SadTahadhari kwa wazazi uzungu ukizidi sana ndio haya matokeo, ujasiri unaotoa wapi mtoto mdogo unamzika Baba yako uneongelea mziki wa Prof J, sisemi alie agalegale hapana ila sisi wa Africa wazazi tukipoteza ni pigo haijalishi wewe ni nani ila wenzetu naona mpaka tabia wanaiga za huko tuliona hata kwenye msiba wa Mafuru sijui labda ndio watoto wa kileo lakini mimi nilimzika mzazi wangu kwa uchungu hata kama sikulia hadharani lakini sura yangu sikuweza kuficha dhoruba.
Tusimkufuru mungu watoto idadi na future prospects zinapangwa na muumba wetu kwa sababu zake mbali mbali regardless all mentioned mentioned factors leo kuna mataji wanakila kitu na wanapopita vituo vya afya duniani wapo normal ila hawapati watoto kuna wengn leo unaoewa kesho wote mungu wmanawachukua kuna masikini mwanzo shida mbele kuna kipato so mwenyew kwa wale wenye imani ni mungu ndo anaendesha hayaMweli
Aisee pole Sana.
Sahihi.Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.
Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
View attachment 3167382
Nimeishia hapo uliposema watu wazae maana nchi NI kubwa Sana ardhi NI kubwa, ndio NI kubwa lakin kuna maskin Kula mlo mmoja kwa siku NI kasheshe kwenye ardhi unavyosema IPO Hana hata 10 kwa 10, nyie jazaneni ujinga tuuMtu yeyote anayezaa watoto wachache chini ya wanne 4 Hana akili..
Ardhi yetu Tanzani ni kubwa sana na Africa Bado ni kubwa sana. Mtu anaweza kuishi popote kwa kufanya shughuli yeyote ndani ya nchi au Africa na Bado akafanikiwa vizuri TU.
Hii propaganda ya kuzaa watoto wachache ni mikakati ya magharibi ( nchi za ulaya na marekani) kupunguza idadi ya mtu mweusi duniani.
Kumbuka kidole kimoja hakivunji chawa. Mnatakiwa muwe wengi ndio muwe na nguvu yaani kama population ya china au India unaweza ikajigawa na kuzalisha bidhaa tofauti na kujiuzia yenyewe na Bado ikasonga mbele.
Kuna wakati nadhani ni 2019 kulikuwa na semina Kanisani kwetu baada ya Misa ( Katoliki) na ilihusu kudorora kwa uzazi Tanzania , Africa na duniani ( hasa familia za kikristu) kwa ujumla.
Padre mtoa mada aliongelea vizuri sana kuhusu propaganda za magharibi. Lakini pia akasema hata wao hizo policy za uzazi WA mpango zinawatokea puani maana ukienda uingereza makanisa hayana waumini na yanageuzwa misikiti.
Means waarabu ( kitu ambacho hata Gadafi Kuna clip anazungumzia) wamejipanga kuitawala ulaya kwa wingi wa population miaka ijayo kwahiyo kwa Sasa wanazaliana sana huko ulaya.
Padre akasema hebu Mwenye mjamzito hapa ndani asimame, akasimama mwanamke MMOJA TU. Akasema unaona!!!??? Watu wanadanganyana wanafunga ndoa wanazaa mtoto MMOJA au wawili basi..... Je nchi itajazwa na nani???
Kuna mikoa na wilaya Sasa hivi ni aibu, shule za awali hazina watoto na darasa la kwanza hamna watoto. Nchi inakwenda wapi?? Je miaka 50 mbele nchi ITAKUWA kwenye mustakabali Gani???
Tusikurupuke TU kujazana ujinga hapa. Wewe zaa jaza Dunia kama Mungu alivyoamuru kama una uwezo somesha kama huna elimu Tanzania ni Bure Hadi six, hata asiposoma anaweza kuwa mkulima, mfugaji, mvuvi, fundi mwashi, mama ntilie na kadhalika.
Lengo la wazungu ni kutujaza ujinga kama wanavyofanya kwenye mambo ya jinsia Moja kuoana. Mwishoni mnajikuta mna Taifa la watu wachache wengi wakiwa mashoga na wasagaji halafu wanarudi upya kututawala....