Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.

Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.

Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?

Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.

Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.

Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.

View attachment 3167382
Kumbuka utajiri wa masikini ni watoto wake.
 
Kuna jamaa huwa anasema misiba ya kibongo hatumlili marehemu, tunalilia gap la uchumi aloliacha ataziba nani, hao wako well-off financially ndo maana labda
Nakataa hilo.
Mali haziwezi fanya usiumie kuondokewa na mzazi.

Sijui kwanini hawaoneshi huzuni ila naamini wana huzuni na kuna saa wanalia
 
Kwahyo unawashauri maskini ambao hata Kula Yao NI ya shida waoe wake wanne na wazae kama jafo?? Au hujaelewa hata nimeandika nini, nmesema tuzae kulingana na uwezo wetu, kwahyo jafo nae wake alio nao na watoto NI kulingana na kipato chake
Njoo huku nzega nikuoneshe baba wakubwa,wadogo,mashangazi wa ndugulile,wanajaa yutong mbili
 
Mimi nadhani ni suala la utashi wa mtu binafsi.....maana wapo matajiri wenye watoto lukuki...na wapo matajiri wenye watoto wachache
 
Tukianza kujilinganisha na Ndugulile na Mafuru utaona watu wengi hawàna sifa ya kuwa háta na nusu mtoto!
Siyo kweli kwamba hao wawili wanawakilisha wenye hela wote kuwa nà watoto wawili wawili.
Hao ni uzembe wao tuu mbona husemi waziri Jafo mwenye wake wanne na watoto lukuki?
Nchengerwa, Awesu, Hafidh nk wana hela na wana wake zaidi ya mmoja?
Unadhani hawa hawamjui Ndugulile, au Mafuru?
Hujamtaja elon musk, nasikia jamaa ana mchezo... wanasema ana hadi shule yake mwenyewe kwa ajili ya watoto wake!
 
Mwanaume Una hela unazaa watoto wawili kweli? Hata shetani anashangaa
Baltazar ndo maana alipita na wake za mawaziri Hadi wa cdf WA huko
 
Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.

Mama yao Mchaga.
Nimeona somebody Lyimo kama sijakosea.
Wachaga wa mjini hawaliagi misibani wengi wao Sijui huwa ni kwanini.
Tena wengine utakuta wanapombeka wala haajali wala nini.
Inashangaza mno.
 
Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.

Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.

Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?

Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.

Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.

Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.

View attachment 3167382
Hio elimu kaitoe kwa Waha na wasukuma
 
Kwahyo unawashauri maskini ambao hata Kula Yao NI ya shida waoe wake wanne na wazae kama jafo?? Au hujaelewa hata nimeandika nini, nmesema tuzae kulingana na uwezo wetu, kwahyo jafo nae wake alio nao na watoto NI kulingana na kipato chake

Jafo ni Mzaramo bila Shaka au sio ??
 
Walie kipi wamekosea? Magorofa , vituo vya mafuta, mashamba makubwa na hisa za kutosha wameachiwa walie nini sasa? Wanolia ni maskini wanaoachwa na shida nyuma zikiwandamana hao hata miaka 100 wataishi vyema , ndio maana wanaita celebration na kuna celebration tatu kuzaliwa , kuishi na kufa kulia hata ujaze pipa harudi guys you need to know kifo kipo na sio ajabu ukiishi kwa hofu utakufa vibaya, Nigerians wao hukaa hata mwaka bila kuzika ili kuandaa sherehe ya wapendwa wao , kifo ni sherehe na sio majonzi , kifo ni celebration of legacy ya mtu wako , sio kulia hadi makamasi,
Hao wote waislam.. uislam unafundisha kuzaliana sana waislam wawe wengi duniani

Eti ili wanaamini itafika wakati Dunia yote itabaki na wanaoamini katika Islam tu.
😆😆😆
Kama vile hao wa dini nyingine wamejileta wenyewe Duniani.
 
Tajiri huwa anazaa/zalisha watoto wachache anawasomesha na kuwajengea uwezo wa kiutawala ili waje kusimamia na kuendeleza mali/miradi yake..

Masikini ye ana Bet tu anafyatua wengi ili aje kupata ata mmoja kati yao wakuja kumsaidia majukum ya kulea familia.
 
Maskini anaamini watoto ndo watamtoa kwenye umaskini wake ilhali hana hela ya kuwatunza na kuwasomesha hao watoto. Circle ya ufukara inaendelea tu.


Kwa kweli.
Mtoto analishwa uji wa sembe na haina hata tone la maziwa.
Mama mwenyewe tangu ujauzito kula yake mashaka matupu.
Chai ya rangi na kitumbua.
 
Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.

Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.

Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?

Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.

Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.

Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.

View attachment 3167382
Christian ronaldo.ana watoto.wangapi? Ni.upunguani.kuzaa watoto chini ya wanne
 
Back
Top Bottom