Dah umeongea kitu ambacho hakuna hata member anakiwaza jamani tusidharau wasio na wakuwabeba wavuja jasho wa kariakoo na wauza miguu yabkuku ndio inalipa mishahara hao watt wa mabrigedia mnaowaimba kila hali na tabaka flani ni milestone ya jamii ya juuNdo hivyo Mwajuma analipa kodi huyo mwingine halipi kodi
Kodi ya mwajuma ndo inamfanya huyo mwingine asome ulaya
