Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Ndo hivyo Mwajuma analipa kodi huyo mwingine halipi kodi

Kodi ya mwajuma ndo inamfanya huyo mwingine asome ulaya
Dah umeongea kitu ambacho hakuna hata member anakiwaza jamani tusidharau wasio na wakuwabeba wavuja jasho wa kariakoo na wauza miguu yabkuku ndio inalipa mishahara hao watt wa mabrigedia mnaowaimba kila hali na tabaka flani ni milestone ya jamii ya juu
 
Hapo uliposema imeandikwa, Nani kaandika ? Hapo wazungu wenyewe walioandika biblia mbona hawazai hovyo kama watu weusi.?
wagonjwa sawa, inafaa mkae pembeni,

lakini wale wengine ambao tuko timamu kiafya,
yafaa kushirikiana na Mungu kazi hii muhimu na ya maana sana ya uumbaji, bila kuchoka wala sijui kutumia kondomu au uzazi wa mpango....

hiyo ni kosa kabisa, fyatua watoto kadiri iwezekanavyo :pulpTRAVOLTA:
 
wagonjwa sawa, inafaa mkae pembeni,

lakini wale wengine ambao tuko timamu kiafya,
yafaa kushirikiana na Mungu kazi hii muhimu na ya maana sana ya uumbaji, bila kuchoka wala sijui kutumia kondomu au uzazi wa mpango....

hiyo ni kosa kabisa, fyatua watoto kadiri iwezekanavyo :pulpTRAVOLTA:
Mimi Kula yangu ya shida, tunashindia uji WA chumvi na dagaa, Nina mke na watoto7, nakaa chumba na sebule na Nimepanga sio kwangu sina hata kiwanja, watoto hawapati chakula Bora, unanishaurije niendelee kufyatua waje niendelee kuwatesa au nipunguze speed?
 
Kosa kubwa alilofanya ni ile akili ya MTU mweusi ya kufanya Accumulation bila distribution

Yale maeneo potential yote aliyojimilikisha kigamboni Kama angeamua kutoa ghorofa lake moja akawapa wanafunzi wakaishi bure au akawa na programs maalumu za kuwalipia Ada wanafunzi hata wanafunzi 100 kila mwaka .

Tafsiri sahihi ya utajiri ya MTU mweusi huwa inafikirisha Sana .
Siwezi kua masikini wa hela alafu niwe maskini wa watoto wakati uzazi Mungu kanipa huo ujinga sina. Siku utakapo kuja kujua eiza umeondokewa na hao watoto ghafla bila kutegemea na wewe umri umeenda
 
Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!!

Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
 
Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!!

Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
 
Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!!

Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
Tujikite kwenye point, KILA MTU AZAE KULINGANA NA KIPATO CHAKE, hapo ya Ku guess tuachane nayo
 
Tahadhari kwa wazazi uzungu ukizidi sana ndio haya matokeo, ujasiri unaotoa wapi mtoto mdogo unamzika Baba yako uneongelea mziki wa Prof J, sisemi alie agalegale hapana ila sisi wa Africa wazazi tukipoteza ni pigo haijalishi wewe ni nani ila wenzetu naona mpaka tabia wanaiga za huko tuliona hata kwenye msiba wa Mafuru sijui labda ndio watoto wa kileo lakini mimi nilimzika mzazi wangu kwa uchungu hata kama sikulia hadharani lakini sura yangu sikuweza kuficha dhoruba.


Mtume Muhammad (SAW) alisema:
"Hakuna zawadi bora ambayo mzazi anaweza kumpa mtoto wake zaidi ya mafunzo mazuri ya tabia."
(Al-Tirmidhi).

Hadithi hii inasisitiza kwamba maadili na elimu ya dini ni urithi bora ambao wazazi wanaweza kuwapa watoto wao. Elimu hii inawaandaa watoto kuwa watu wenye heshima, ibada, na mchango mzuri katika jamii.


---

Mafunzo ya Hadithi Hizi:

1. Kipaumbele kwa Elimu ya Dini: Watoto wanapaswa kufundishwa maadili ya dini kama msingi wa maisha yao.


2. Kuanzisha Utaratibu wa Ibada Mapema: Kufundisha watoto ibada kama swala, funga, na kuishi kwa kufuata Quran na Sunnah mapema huwajenga kiroho.


3. Kuwapa Mfano Bora: Wazazi na walezi wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa tabia zao ili watoto waweze kujifunza kwa matendo.
 
Una hoja mtoa maada usipuuzwe, lakini wengine wana changamoto za uzazi, wengine hasa vgogo wake zao ni wajuaji hawapendi kabisa kuzaa zaa, mimba zingine hua zinatolewa kimya kimya bila mme kujua. We utazan ni uzaz wa mpamgo kumbeee!!!!!!

Unakuta hata hao wawili sio wa marehemu.
 
Wanasema wanatakiwa wazaane Sana eti, bila kujali Una nini, hata kama humiliki chochote hata kikombe, kwa maelezo Yao zaa hata watoto 7, sasa sijui Nani atawalea
Halafu ukute watoto uliowazaa karibuni wote hasara tupu ya kimaadili na kiutendaji ambayo huchagizwa na kutokuwamudu kimalezi kwasababu ya wingi wao.
 
Sanaaa,nimejifunza jambo kubwa sanaaa.Hapa nina mmoja hovyo kwa dhati kabisa nitaongeza mmoja tena nikioa
Ambao watapata mahitaji yote ya kibinadamu kwa wakati na ubora mpaka pale watakapo anza kujitegemea.
 
Nimeishia hapo uliposema watu wazae maana nchi NI kubwa Sana ardhi NI kubwa, ndio NI kubwa lakin kuna maskin Kula mlo mmoja kwa siku NI kasheshe kwenye ardhi unavyosema IPO Hana hata 10 kwa 10, nyie jazaneni ujinga tuu
Mkuu huu mkoa wa Pwani umeshazunguka ukaona ardhi yake?
Je unajua hapo Tanga unaenda unaonana na Uongozi wa Kijiji unakatiwa eneo kwa mchango mdogo sana wa maendeleo ya Kijiji kama kuchangia zahanati, shule na kadhalika.

Kula mlo MMOJA ni uvivu wetu na kujitakia. Kuna mazao kama mihogo, vizazi, maharage, mhindi, kunde, mbaazi, choroko na kadhalika. Unaweza kulima kwa kiasi kidogo na ukala Milo mitatu.

Ukipambana ukipata mtaji wa mbuzi kumi, unachunga kidogo kama ulinunua elf 45 unauza elfu sabini. 50 unanunua mwingine, 20 unakula na familia. Yaani hii unafanya kila mnada maana vijijini Kuna mnada kila wiki. Kama wamasai wanavyofanya.

Ardhi ipo sana. Congo hapo ikitulia unajua ukubwa wake? Ni kubwa kama nchi zote za ulaya magharibi combined.

Rwanda SQ km ni 26,338... Na Tanzania ni SQ km 945,087....

Rwanda population ni 14.5M
Tanzania population ni 60M huko na upuuzi.

Sasa kama Rwanda ambayo ni sawa na labda mkoa MMOJA wa Tanzania Ina population hiyo na wanaendelea kuzaliana wewe unaogopa Nini.
 
Wqtoto wa

Kuzaa Watoto Wawili ni UMASIKINI MBAYA SANA
Nadhani hamjamuelewa mleta mada.
Mleta mada anasema tuzae kulingana na uwezo wetu.
Huyo Ndugulile hata angekua na watoto kumi uwezo unaruhusu kama huyo Kikwete.
Pangu pakavu unazaa watoto wanne nyumba ya kupanga chumba na sebule.
 
Nadhani hamjamuelewa mleta mada.
Mleta mada anasema tuzae kulingana na uwezo wetu.
Huyo Ndugulile hata angekua na watoto kumi uwezo unaruhusu kama huyo Kikwete.
Pangu pakavu unazaa watoto wanne nyumba ya kupanga chumba na sebule.
Humo humo. Unavyozidi kuzaa ndio akili inavyopanuka na ndio unavyoijaza nchi.
 
Back
Top Bottom