Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

No logic
 
Mimi kwetu tumezaliwa 2 wakike tupu
Sometimes huwa natamani ningekua na kaka tubadilishane mawazo au dada mwingine mkubwa
Kwa hili nnalopitia ndo naona bora nami nifikishe hata 4 wasiwe wapweke
Hapa siongelei mambo ya ela!
 
Hayo ni matumizi mabaya ya Rasilmali utaratibu ni kuzaa watoto kadri ya mali au uwezo wakiuchumi ulionao sasa yeye watoto 2 kweli!
 
Nime sikiliza watoto wenyewe wakiongea nikasema WTF
 
Tujikite kwenye point, KILA MTU AZAE KULINGANA NA KIPATO CHAKE, hapo ya Ku guess tuachane nayo
Sawa tunajikita kwenye maada mkuu, kila mtu azae kulingana na uwezo wake, je, unataka kutuaminisha kua uwezo wa kipesa wa mafuru ulikua kuzaa watoto wawili tu?

Ungesema kila mtu azae anavyotaka bila kujali uwezo wake kipesa hapo ningekuelewa sana.

Naona kama unajitekenya na kucheka mwenyewe!!!
 
Ni nani alizaa hao watoto unaosema wakaishi bure kwenye gorofa?
 
Utakuta zuzu limezaa watoto 10 halafu halina hata kazi wala kipato cha kueleweka .
Upuuzi
 
Jitahidi kuelewa hoja
 
Dah nomah sana, nilikuwa nataka watoto watatu lakini mwenzangu hesabu yake ni Tano sa nikisema nilete Undugulile si nitalea shahaw* za wahuni😢😥
 
Hao wana kipato na resources za kuhakikisha malezi na future za watoto wao hata ikitokea emergency wametoweka duniani .
Wewe na kazi yako hiyo ya ukuli kwa wahindi ,ulivyo zoba umezaa watoto kumi
Elewa mada wewe zwazwa
 
Wengi wameigiza wazungu bila kujua kuwa kuna aina nyingine za wazungu wanazaa hadi kumi na ushei. Nenda Marekani au Kanada uone wamenonnite na wajerumani wanavyofyatua watoto usiku na mchana utajua nisemacho kwa wale waliowahi kuishi katika nchi hizi.
 
Dah nomah sana, nilikuwa nataka watoto watatu lakini mwenzangu hesabu yake ni Tano sa nikisema nilete Undugulile si nitalea shahaw* za wahuni😢😥
Kama Una uwezo WA kuzaa WA5 sawa, ila kama huna uwezo utasaidiwa kulea
 
Hapo NI sawa, si Wana uwezo WA kuwalea? Hata wazae watoto 100, kama wanauwezo nao sawa, Mimi nawapinga wale njaa kali halafu Wana watoto kama utitiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…