Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Hao wana kipato na resources za kuhakikisha malezi na future za watoto wao hata ikitokea emergency wametoweka duniani .
Wewe na kazi yako hiyo ya ukuli kwa wahindi ,ulivyo zoba umezaa watoto kumi
Elewa mada wewe zwazwa
Nashukuru kwa kunisaidia wananipa kazi kubwa Sana kuwaelewesha hawa watu, hawaelewi kabisa
 
Na kuna uwezekano kuwa , Ndugulilie na Mafulu wasinge zaliwa endapo wazazi wao wangezaa watoto wa 2 tu...
Mkuu,

Unafikiri Ndugulile na Mafuru wasingezaliwa asingekuwepo mtu mwingine kama wao kufanya mambo waliyofanya au hata zaidi?
 
Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Tunajidanganya eti tunawalea watoto kisasa. Mtoto tangu chekechea yupo boarding. Alirudi anakaa ndani "dada". Baadae anapelekwa kusoma na kuishi ughaibuni. Wazazi anaongea nao kwa video call tu. Mapenzi kwa mzazi ayatoe wapi?
 
Ni ulemavu wa kufikiria mtu unamiliki gari moja alafu watoto wawili badala ya kuwa na watoto sita.
 
Watu hawataki kukosa vyote, akikosa kumiliki pesa nyingi basi anahakikisha ana watoto wengi.
 
Hivi kafarik kwa ugonjwa gani mbona cjaona popote ilipotajwa ugonjwa.. Hata salamu za familia hazikugusia kilichomuua

Wakati mwenzie Mafuru walitaja ugonjwa.
Kwa kiongozi wa umma inabidi waseme na Asię kiongozi kwa jamii ya waelewa huwa wanasema.
 
Safi sana,mim nilitaman niwe na mtoto mmoja tu,sahv ninao watatu

Wanawake sio watu wazur kabisa
 
Mkuu kama mtu hujawahi mlisha au kumsadia kwa hali na mali puguza ushauri kwa yasiyo kuhusu.
Kuzaa watoto wengi ama wachache hakuna formula! hivi kuna mtu ana mtazamo wa kuja kufa masikini kweli?

Sawa leo ni maskini je unaijua kesho yake? Sioni sababu ya kuzaa kwa kuangalia uchumi nilio nao maana nina malengo ya kuja kuwa tajiri mkubwa hapo kesho ....

hiyo mifano uliyotoa mkuu watu kama waalimu,police{samahani} basi hawapaswi kabisa kuwa hata na mfano wa watoto tu. hata mimi mwenye sipaswi kabisa kuwa hata theruthi ya mtoto maana hao mabosi ubosi wao hata siwezi linganishwa kwa no yoyote ile.
 
Nimewahi kuwa na mtazamo wa kijinga namna hii yaani eti niwe na watoto wawili, sasa nimefungulia watoto wanne mama tafauti na naendelea kuzaa aisee sababu utazijua ukija kuwa na akili timamu, ila nikukumbushe tu hakuna mtu amewahi kujutia kwa kuwa n watoto wengi
 
Donald trump anawatoto watano wakati Bill Clinton ana mtoto mmoja na Obama ana watoto wawili.

Kwanini tusimuige mwamba Trump.

JK wa msoga na marehemu Julius Kambarage Nyerere watoto zaidi ya watatu wakati Mzee wa Lupaso amekufa na wangapi sijui.
 
Unaposema fulani ana watoto wawli uwe unaongeza neno. KWA MKE WAKE WA NDOA AU ANAYETAMBULIKA.

UTANISHUKURU SIKU NYINGINE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…