comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
- Thread starter
-
- #241
Nashukuru kwa kunisaidia wananipa kazi kubwa Sana kuwaelewesha hawa watu, hawaelewi kabisaHao wana kipato na resources za kuhakikisha malezi na future za watoto wao hata ikitokea emergency wametoweka duniani .
Wewe na kazi yako hiyo ya ukuli kwa wahindi ,ulivyo zoba umezaa watoto kumi
Elewa mada wewe zwazwa
Mh mjumbe[emoji1][emoji1]Kwanza minashangaa wanazaa kwanini, hakuna haja ya kuzaa[emoji2955]
Mkuu,Na kuna uwezekano kuwa , Ndugulilie na Mafulu wasinge zaliwa endapo wazazi wao wangezaa watoto wa 2 tu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani tukose utajiri wa pesa na tukose utajiri wa binadamu?ambao mtaji wake ni kiuno tu
Ni mwendo wa kufyatua kwa kwenda mbele
Tunajidanganya eti tunawalea watoto kisasa. Mtoto tangu chekechea yupo boarding. Alirudi anakaa ndani "dada". Baadae anapelekwa kusoma na kuishi ughaibuni. Wazazi anaongea nao kwa video call tu. Mapenzi kwa mzazi ayatoe wapi?Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Ni ulemavu wa kufikiria mtu unamiliki gari moja alafu watoto wawili badala ya kuwa na watoto sita.Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.
Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
View attachment 3167382
Hivi kafarik kwa ugonjwa gani mbona cjaona popote ilipotajwa ugonjwa.. Hata salamu za familia hazikugusia kilichomuua
...wakati mwingine ni ukosefu wa nguvu za kiume!Family plan ni muhimu sana
R.I.P. JPMVijana wanajiamini wapo vizuri katika lugha n.k natumai watoto wangu pia nitahakikisha wanapata Elimu Bora Nje ya Nchi pia ..
Watanzania tunakosa Nafasi nzuri sababu ya Lugha
Shirima Kuna Mazee Yana kutu vichwani. Kila mtu ashinde mechi zake.Sema jf imejaa Gen X wenye mawazo ya kizamani sana.
Kuzaa watoto ni mapendeleo ya mtu, basi.