Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikua na uwezo WA kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nnje ya nchi maana hata Kiswahili Chao NI broken Sana wanakua kama sio watanzania.

Lawrence mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.

Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?

Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.

Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana NI jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.

Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
Waliendekeza ujinga, mambo ya uzazi wa mpango ni ujinga. Walitakiwa wawe angalau na wake wanne na watoto hata 20
 
Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikua na uwezo WA kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nnje ya nchi maana hata Kiswahili Chao NI broken Sana wanakua kama sio watanzania.

Lawrence mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.

Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?

Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.

Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana NI jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.

Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
Vijana wanajiamini wapo vizuri katika lugha n.k natumai watoto wangu pia nitahakikisha wanapata Elimu Bora Nje ya Nchi pia ..

Watanzania tunakosa Nafasi nzuri sababu ya Lugha
 
Kwahyo unawashauri maskini ambao hata Kula Yao NI ya shida waoe wake wanne na wazae kama jafo?? Au hujaelewa hata nimeandika nini, nmesema tuzae kulingana na uwezo wetu, kwahyo jafo nae wake alio nao na watoto NI kulingana na kipato chake
Umetoa mfano wa Ndugulile na Mafuru, hao ni masikini? Nami nimekupa mfano wa hao wà aina ya Ndugulile na Mafuru.
Au umesahau ulichoandika?
 
Family planning ni muhimu lakini watoto wawili ni wachache kulingana na wadhifa wa ndugulie.mwalimu tu wa shule ya msingi anaweza kuwasomesha vizuri tu watoto wake watatu au wa nne kabisa bila shida yeyote.
Hapo nimekuelewa, ukiniambia wawili NI wachache KULINGANA NA WADHIFA WAKE upo sahihi ✅
 
Tukianza kujilinganisha na Ndugulile na Mafuru utaona watu wengi hawàna sifa ya kuwa háta na nusu mtoto!
Siyo kweli kwamba hao wawili wanawakilisha wenye hela wote kuwa nà watoto wawili wawili.
Hao ni uzembe wao tuu mbona husemi waziri Jafo mwenye wake wanne na watoto lukuki?
Nchengerwa, Awesu, Hafidh nk wana hela na wana wake zaidi ya mmoja?
Unadhani hawa hawamjui Ndugulile, au Mafuru?

Hao wote waislam.. uislam unafundisha kuzaliana sana waislam wawe wengi duniani
 
Mi nilichojifunza kwenye misiba ya matajiri wafiwa hawavai madera kama huku uswahili, kwa matajiri unalamba suti unanyonga tai alaf una chill kufata ratiba tu.

Kwenye msosi mnapanga mstari kwenye buffet mnakula kwa utaratibu na wapishi wanavaa sare na hawana nongwa, huku uswahilini picha inaanza kwanza sufuria inapakwa majivu , alafu mtu mwenye roho mbaya mtaa mzima ndo anawekwa sekta ya kugawa nyama.

Kwa matajiri msiba ukiisha unatengeneza connection mpya kibao, kwa maskini hadi msiba uishe umeshatengeneza bifu na mtu mpya
 
Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikua na uwezo WA kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nnje ya nchi maana hata Kiswahili Chao NI broken Sana wanakua kama sio watanzania.

Lawrence mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.

Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?

Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.

Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana NI jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanyahat wasipewe pesa na mtoto wao.

Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
Tujifunze hasa? Acha kupangiana maisha hatukuja duniani kufuatishana kila mtu na maisha yake we VP?
 
Back
Top Bottom