comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
- Thread starter
- #21
KivipiDini inachangia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KivipiDini inachangia
Ndo Tanzania inapoelekea.Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Waliendekeza ujinga, mambo ya uzazi wa mpango ni ujinga. Walitakiwa wawe angalau na wake wanne na watoto hata 20Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikua na uwezo WA kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nnje ya nchi maana hata Kiswahili Chao NI broken Sana wanakua kama sio watanzania.
Lawrence mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana NI jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
Kwanza minashangaa wanazaa kwanini, hakuna haja ya kuzaa🤨
Vijana wanajiamini wapo vizuri katika lugha n.k natumai watoto wangu pia nitahakikisha wanapata Elimu Bora Nje ya Nchi pia ..Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikua na uwezo WA kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nnje ya nchi maana hata Kiswahili Chao NI broken Sana wanakua kama sio watanzania.
Lawrence mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana NI jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
siwezi kukujibuSawa, kwahyo hata kama unafanya kazi kiwandani unalipwa kwa siku elfu7 hata ukizaa watoto 10 sawa tuu ausio
Umetoa mfano wa Ndugulile na Mafuru, hao ni masikini? Nami nimekupa mfano wa hao wà aina ya Ndugulile na Mafuru.Kwahyo unawashauri maskini ambao hata Kula Yao NI ya shida waoe wake wanne na wazae kama jafo?? Au hujaelewa hata nimeandika nini, nmesema tuzae kulingana na uwezo wetu, kwahyo jafo nae wake alio nao na watoto NI kulingana na kipato chake
Hapo nimekuelewa, ukiniambia wawili NI wachache KULINGANA NA WADHIFA WAKE upo sahihi ✅Family planning ni muhimu lakini watoto wawili ni wachache kulingana na wadhifa wa ndugulie.mwalimu tu wa shule ya msingi anaweza kuwasomesha vizuri tu watoto wake watatu au wa nne kabisa bila shida yeyote.
Hakuna kulia kwa kugalagala na kuzimia
Hawa si siku ya pili tu wamekusahauNdo Tanzania inapoelekea.
Nafsi zinakwepa kukaa rohoni tunabakia wakavu kama ganda la mua la jana
HUWEZI kunijibu,, halafu Mimi nikuruhusu uniulize swali, swali lenyewe umeuliza la kijinga watakuja kujibu wengine.siwezi kukujibu
lakini niruhusu niulize hili swali; uwezo wa kuhudumia ndo kigezo pekee cha kuleta watoto duniani?
Tukianza kujilinganisha na Ndugulile na Mafuru utaona watu wengi hawàna sifa ya kuwa háta na nusu mtoto!
Siyo kweli kwamba hao wawili wanawakilisha wenye hela wote kuwa nà watoto wawili wawili.
Hao ni uzembe wao tuu mbona husemi waziri Jafo mwenye wake wanne na watoto lukuki?
Nchengerwa, Awesu, Hafidh nk wana hela na wana wake zaidi ya mmoja?
Unadhani hawa hawamjui Ndugulile, au Mafuru?
Tujifunze hasa? Acha kupangiana maisha hatukuja duniani kufuatishana kila mtu na maisha yake we VP?Nipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikua na uwezo WA kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nnje ya nchi maana hata Kiswahili Chao NI broken Sana wanakua kama sio watanzania.
Lawrence mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana NI jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanyahat wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
Hata mimi sikuipendaWatoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.