Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

S
Kosa kubwa alilofanya ni ile akili ya MTU mweusi ya kufanya Accumulation bila distribution

Yale maeneo potential yote aliyojimilikisha kigamboni Kama angeamua kutoa ghorofa lake moja akawapa wanafunzi wakaishi bure au akawa na programs maalumu za kuwalipia Ada wanafunzi hata wanafunzi 100 kila mwaka .

Tafsiri sahihi ya utajiri ya MTU mweusi huwa inafikirisha Sana .
ana mkuu 🙌
 
Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Malezi ya kisasa hayo na ni ya hovyo kupata kutokea.

Hao angekuwa amekufa house girl wao aliyewalea mpaka wakafika aged 12 hakuna angekaa normal kama walivyo hapo but kwa sababu hawajawahi kuwa karibu na baba yao kwa kiasi hicho ndiyo maana wanaona kila kitu sawa tu.
 
Mi nilichojifunza kwenye misiba ya matajiri wafiwa hawavai madera kama huku uswahili, kwa matajiri unalamba suti unanyonga tai alaf una chill kufata ratiba tu.

Kwenye msosi mnapanga mstari kwenye buffet mnakula kwa utaratibu na wapishi wanavaa sare na hawana nongwa, huku uswalini picha inaanza kwanza sufuria inapakwa majivu , alafu mtu mwenye roho mbaya mtaa mzima ndo anawekwa sekta ya kugawa nyama
😀😀 Mzee naona inatoka budget maalumu kabisa ya mavazi ya msibani, watu wanapigilia aisee full ma makeup kama Ile misiba ya kwenye movie za marekani
 
Lete kwao walikuwa wangapi? Alafu kama na uwezo wote huo ana watoto wawili Ina maana kapuku asizae, zaa kama unavyotaka wewe si mtu akupangie, maskini wewe wanakuhusu nini na njaa zao? Acha watu wazae wanavyotaka, wengine hiyo niadhabu wamepewa pesa wanazo na maisha bado wanayaogopa, watu ni matajiri Wana wtt wawili na na kilaki Tano chako Cha mwezi unatakiwa usizae kabisa, ????????????????????????
 
HUWEZI kunijibu,, halafu Mimi nikuruhusu uniulize swali, swali lenyewe umeuliza la kijinga watakuja kujibu wengine.
haya ngoja niseme tu

mtu hatakiwi kupangiwa idadi ya watoto wa kuzaa IKIWA anaweza kumudu gharama za maisha

japo nahisi kwa mbaali kuna kitu nakosa hapo....

hizi mada za kimaadili zinakuwaga ngumu mno
 
Tahadhari kwa wazazi uzungu ukizidi sana ndio haya matokeo, ujasiri unaotoa wapi mtoto mdogo unamzika Baba yako uneongelea mziki wa Prof J, sisemi alie agalegale hapana ila sisi wa Africa wazazi tukipoteza ni pigo haijalishi wewe ni nani ila wenzetu naona mpaka tabia wanaiga za huko tuliona hata kwenye msiba wa Mafuru sijui labda ndio watoto wa kileo lakini mimi nilimzika mzazi wangu kwa uchungu hata kama sikulia hadharani lakini sura yangu sikuweza kuficha dhoruba.
Kama mzee kafa kaacha mali walizwa na nn wewe
 
Si
Lete kwao walikuwa wangapi? Alafu kama na uwezo wote huo ana watoto wawili Ina maana kapuku asizae, zaa kama unavyotaka wewe si mtu akupangie, maskini wewe wanakuhusu nini na njaa zao? Acha watu wazae wanavyotaka, wengine hiyo niadhabu wamepewa pesa wanazo na maisha bado wanayaogopa, watu ni matajiri Wana wtt wawili na na kilaki Tano chako Cha mwezi unatakiwa usizae kabisa, ????????????????????????
Ndiyo mimi namshangaa mleta mada kwani ndungulile ndiyo ameleta kitabu cha maisha?
 
haya ngoja niseme tu

mtu hatakiwi kupangiwa idadi ya watoto wa kuzaa IKIWA anaweza kumudu gharama za maisha

japo nahisi kwa mbaali kuna kitu nakosa hapo....

hizi mada za kimaadili zinakuwaga ngumu mno
Sasa mbona unachokisema na Mimi nilichokiandika ndio kilekile? wewe kabila gani? au muha
 
Back
Top Bottom