Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

😀😀 Mzee naona inatoka budget maalumu kabisa ya mavazi ya msibani, watu wanapigilia aisee full ma makeup kama Ile misiba ya kwenye movie za marekani
Msiba wa matajiri itifaki inazingatiwa, siyo kwetu uswahilini, niliwahi kwenda musoma nikakuta wanautamaduni wa kushangaza, kuna ule muda msibani watu huwa wanatulia kimya hawalii sasa akiingia ndugu mpya vilio ndo vinachochewa kinyama wanalia Balaa, baada ya nusu saa wanatulia akiingia tena mgeni mwingine mayowe yanaanza.

Ikaenda hadi yule mtu akazikwa sasa imeshapita wiki kama 3 mtaa mzima tumesahau msiba si akafika ndugu alietoka safari ya mbali hicho kilio walicholia nilijua wamepata msiba mwingine kumbe ndo staili ya kumpokea mgeni msibani full fujo.
 
Kosa kubwa alilofanya ni ile akili ya MTU mweusi ya kufanya Accumulation bila distribution

Yale maeneo potential yote aliyojimilikisha kigamboni Kama angeamua kutoa ghorofa lake moja akawapa wanafunzi wakaishi bure au akawa na programs maalumu za kuwalipia Ada wanafunzi hata wanafunzi 100 kila mwaka .

Tafsiri sahihi ya utajiri ya MTU mweusi huwa inafikirisha Sana .
Mkuu niliwahi kusema matajiri wakubwa TANZANIA hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii nikatukanwa na kuambiwa nitafute vyangu.
 
Sawa, kwahyo hata kama unafanya kazi kiwandani unalipwa kwa siku elfu7 hata ukizaa watoto 10 sawa tuu ausio
Kwani anakuja kukuomba msaada wa kulea watoto wake?

Huyo huyo unayemuona ana kazi ya kijinga na familia kubwa bado anawalea vizuri kabisa huku akiwasaidia wazazi na ndugu wengine pia.
 
Hakuna somo la kujifunza kupitia hao marehemu .

Mfano huyo Ndugulile alishindwa hata kuacha legacy yoyote

Huyo mwingine the same

Ukiachana na kujilimbikizia Mali we have nothing to learn from them.
 
Asilimia kubwa ya viongozi wa serikali ambao pia wanaongoza hii nchi wamezaliwa katika familia maskini na za watoto wengi.

Mnapojenga hoja , mnabidi kuwa open minded hauwezi ukamchukulia MTU Kama Ndugulile Kama mfano wa watu.

Kwa sababu

Ndugulile kiasili alikuwa ni MTU mchoyo na mbinafsi kuanzia kutawala kwake na maisha kijumla ukitazama hata Ali yo him I lol is ha potential areas kigamboni .


Jambo la pili Ndugulile anatoka katika Familia bora hivyo ni MTU ambaye kabebwa Sana tangu anaanza maisha binafsi hadi maisha ya kisiasa.

Kuhusu familia na mambo mengine

Ndugulile katumia muda mrefu Darasani ukitazama Elimu yake ni daktari wa binadamu na pia ni mwanasheria.

MTU ambaye ameoa akiwa na umri wa miaka 30+ unategemea atazaa watoto wangapi na ukiangalia na Mke wake ni mwajiriwa na yeye ndugulile mwajiriwa.

Hivyo sifikirii Kama hoja yako kuzaa watoto wachache inaleta mantiki.

Kuhusu kesho ya MTU watoto na umasikini .

Ikiwa unajihisi umekomaa akili unaweza kuzaa mtoto maana wote hao wanatembelea V8 wametoka familia masikini Sana na wametoboa.

So tujitahidi open minded kuzaa sio tatizo.
Kwa mtazamo wa karibu hao watoto hakuna mwenye uelekeo wa kuja kuwa jambazi ama kahaba , ila kwa mwaju ndala ndefu unaona kabisa hapa kuna mmoja atakuja vunja nyumba ya mtu siku za usoni🤔
 
Kwa mtazamo wa karibu hao watoto hakuna mwenye uelekeo wa kuja kuwa jambazi ama kahaba , ila kwa mwaju ndala ndefu unaona kabisa hapa kuna mmoja atakuja vunja nyumba ya mtu siku za usoni🤔
Shida hawa watu hawaelewi? Yani unasema kuzaa hakuna shida halafu mtu Hana yeye tuu hajiwezi, watoto watalelewa na Nani?
 
Back
Top Bottom