Kipato na wadhifa havitoshi kuwa sababu ya kuzaa watoto wengi ama wachache. Kuna mambo mengi sana unapozumgumzia idadi ya watoto. Kuna changamoto za uzazi, Kuna mambo mengine nje ya uwezo wa kifedha. Pia wengine hawajitaji kuwa na watoto wengi sababu ya kukosa muda wa kutosha kuwekeza kitu kwenye maisha yao. Malezi ya watoto siyo kitu rahisi sana, ni zaidi ya kipato ama uchumi mzuriHapo nimekuelewa, ukiniambia wawili NI wachache KULINGANA NA WADHIFA WAKE upo sahihi ✅
,🤣Yaani tukose utajiri wa pesa na tukose utajiri wa binadamu?
Ni mwendo wa kufyatua tu
Malizia..na wanafurahaKuna sehemu nilienda nikakuta watoto 6 wote wamepishana mwaka halafu ana nyumba ya chumba kimoja na sebule
Tajiri kikwete anawatoto wangapi?
Kama David Beckham.
Kama David Beckham.
😂Mi nilichojifunza kwenye misiba ya matajiri wafiwa hawavai madera kama huku uswahili, kwa matajiri unalamba suti unanyonga tai alaf una chill kufata ratiba tu.
Kwenye msosi mnapanga mstari kwenye buffet mnakula kwa utaratibu na wapishi wanavaa sare na hawana nongwa, huku uswahilini picha inaanza kwanza sufuria inapakwa majivu , alafu mtu mwenye roho mbaya mtaa mzima ndo anawekwa sekta ya kugawa nyama.
Kwa matajiri msiba ukiisha unatengeneza connection mpya kibao, kwa maskini hadi msiba uishe umeshatengeneza bifu na mtu mpya
Giving out for free kwa sisi weusi ni kama crimeKosa kubwa alilofanya ni ile akili ya MTU mweusi ya kufanya Accumulation bila distribution
Yale maeneo potential yote aliyojimilikisha kigamboni Kama angeamua kutoa ghorofa lake moja akawapa wanafunzi wakaishi bure au akawa na programs maalumu za kuwalipia Ada wanafunzi hata wanafunzi 100 kila mwaka .
Tafsiri sahihi ya utajiri ya MTU mweusi huwa inafikirisha Sana .
Kuna mwanamke mmoja wa Kipemba aliwahi kusema hivyo pia.Mama mmoja mchaga alisema "watoto ni baraka, nitazaa mpaka mayai yote yaishe kiunoni ".
Yeye hat akawa na watoto billion, sawa tuu anamudu,GOOGLE MTU ANAITWA ELON MUSK, USHUHUDIE MZUNGU TAJIRI WA MALI NA WATOTO . Bado ana donate Shahawa kwa wamama wahitaji.
Sawa tu. Yaani kama.kwako ndungulile ni mfano wa kuigwa kwenye kuzaa kulingana na kipato cha mtu kuna watu hawapaswi hata kushiriki.tendo la ndoaSawa, kwahyo hata kama unafanya kazi kiwandani unalipwa kwa siku elfu7 hata ukizaa watoto 10 sawa tuu ausio
Ndio mnavyojidanganyaKumbuka utajiri wa masikini ni watoto wake.
UMESAHAUU NA MA PADREE WANAOZIKA N WAKUBWAA KABISANipo nacheki hapa msiba WA Ndugulile, kuacha watoto wawili tuu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.
Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tuu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
View attachment 3167382
Maybe wewe ulilia kwa sababu hukuwa na uhakika mshua amewaacha vipi hapo home. Hao wapo confident mshua kawaachaje, wana uhakika na kesho yao.Tahadhari kwa wazazi uzungu ukizidi sana ndio haya matokeo, ujasiri unaotoa wapi mtoto mdogo unamzika Baba yako uneongelea mziki wa Prof J, sisemi alie agalegale hapana ila sisi wa Africa wazazi tukipoteza ni pigo haijalishi wewe ni nani ila wenzetu naona mpaka tabia wanaiga za huko tuliona hata kwenye msiba wa Mafuru sijui labda ndio watoto wa kileo lakini mimi nilimzika mzazi wangu kwa uchungu hata kama sikulia hadharani lakini sura yangu sikuweza kuficha dhoruba.
hakutafiti vzuri, hyu alkua na agenda yake, hakua na mifano ssa katumia msiba wa muheshimiwa kama reference haiTukianza kujilinganisha na Ndugulile na Mafuru utaona watu wengi hawàna sifa ya kuwa háta na nusu mtoto!
Siyo kweli kwamba hao wawili wanawakilisha wenye hela wote kuwa nà watoto wawili wawili.
Hao ni uzembe wao tuu mbona husemi waziri Jafo mwenye wake wanne na watoto lukuki?
Nchengerwa, Awesu, Hafidh nk wana hela na wana wake zaidi ya mmoja?
Unadhani hawa hawamjui Ndugulile, au Mafuru?
Wewe ulizika vitu 2 kwa mpigo ndiyo maana ulikuwa na uchungu sana. Ulizika future yako na ukazika mwili wa babako, lkn hawa wanazika mwili wa baba yao tu. Kwasabb future tayari baba yao amewatengenezealakini mimi nilimzika mzazi wangu kwa uchungu hata kama sikulia hadharani lakini sura yangu sikuweza kuficha dhoruba.
kabisa, gen musuguri wako 172Tuzae jamani tuache masihara.
Kuzaa ni baraka.
Imeandikwa:” żarni na kuongezeka mkaojaze
Nchi .
Kuzaa watoto wengi kunpemdeza Mungu na wanadamu.
Tuache mtazamo usio sahihi wa kuzani kuzaa watoto wachache ndio kiwa wa kisasa au kwenda na wakati.
Wazungu wenyewe walishaondoa huwa mtazamo,
Siku hizi wanatotoa nao kama waafrika.
Tuzaeni wapendwa Tena sio watoto 2-3 saa kuanzia 5 nakuendelea.
😂😂Pesa sina, hata watoto nao nikose.. HAPANA KWA KWELI