Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Kabinti kamecharaza ngeli imenyooka balaa, kamemzidi mpaka Mwana FA
 
Nipo nacheki hapa msiba wa Ndugulile, kuacha watoto wawili tu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.

Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tu.

Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? Na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?

Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.

Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.

Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.

Kingereza sio shida ,swala upo kichwani upo vizuri?
Marehem alikua vizuri that's mpaka anafika itwa dr amechakaza Cadaver , wenda mwinginge alikesha na mifupa ya Cadaver akisoma anatomy , sasa huyu akizungumza kingereza mwamuona yupo vizuri , Dr,s should be respected ,nchi nzima , kama sio Dunia
 
Binafsi, docta alitakiwa kua na watoto wengi..

Kama Dr.FAU amefariki na miaka 51 akiwa na kijana huyo mmoja ndio KUSEMA UKOO WA NDUGULILE upo HATARINI KUPOTEA huyo kijana wake anatakiwa azae watoto wengi wa kiume ili ukoo upate vijana wakuuendeleza ukoo.

Binafsi hata sisi ukoo wetu umekua na watu wachache Sana maana wanawake sio wanao beba jina la UKOO

☺️😊 Unakuta ukoo una watu below 20 shame..
Faida za ukoo mkubwa ni zipi? Kwako binafsi au kwa mwanaukoo
 
Tunazaa wengi halafu wanabaki kichunga kama mifugo ya Kisukuma! Sisi Waafrika ni watu wa ajabu sana. Kuna ki bwana mdogo kikawa kinajisifia mimi nina watoto 15 eti kinanicheka mimi niliyeishia watoto wasiomaliza kiganja kimoja. Nikakauliza wamesoma mpaka la ngapi? Aliyejitahidi kaishia form ya D ya Kiswahili! Kazi kweli kweli!
Hao walioishia la7 ndo hao wakisema sasa wasomi hamna hela mnaanza kununa,Dunia time change sana kwa sasa determination ya pesa imehama,hata asiyejua kusoma ana hesabu mabunda ya pesa na anatumia vizur all means ya technologia.Chunguza
 
Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Na hayo ni mafunzo yanaanza ukiwa mdogo… emotional intelligence ni very critical component ya maisha ya sasa

Na hawa watoto wanasoma kwa exposure za namna hiyo

Kulia kuuutwa sio ishara ya mapenzi, ni ishara nyingine kabisa

KWa anayeamini Mungu na matendo yake, anayejua death ina maana gani na anayejua public conducts ni tofauti na private conduct huwezi kumkuta anachsnganya madesa
 
Kuzaa ni haki ya kila binadam alokamilika ila tuitumie haki iyo vzr
 
Matajiri wana vyumba vingi kuliko idadi ya watoto wakati masikini wa fikra siku zote kama kanuni, Huwa na idadi kubwa ya watoto kuliko vyumba....Kulala mzungu wa nne ni kitu cha kawaida!.
 
Nipo nacheki hapa msiba wa Ndugulile, kuacha watoto wawili tu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.

Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tu.

Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? Na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?

Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.

Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.

Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.

Tajiri na mali zake maskini na wanae. Fahari ya maskini ni kuzaa na starehe kuu ya maskini ni ngono.
 
Nipo nacheki hapa msiba wa Ndugulile, kuacha watoto wawili tu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.

Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tu.

Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? Na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?

Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.

Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.

Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.


HAYA NYIE MNAOSEMA WATU WAZAE TUU, NJOONI
Zaaa wewe acha UVIVU!! wewe unafikiri huo muhogo MUNGU likupa wa nini?,,,,,kwanza mnatenda dhambi sana kwenda kinyume na maagizo ya MUNGU!! mungu alisema "zaeni mkaijaze DUNIA!! leo hii wazungu wanahangaika kwani raia wanafuata uzazi wa mpango matokeo yake hamna nguvu kazi!! ukienda CANADA na MAREKANI kuna ki2 inaitwa green card!!...ZAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!
 
Una uhakika alikuanao hao tu? Alafu mbona kuna matajiri wengi tu wanawatt lukuki?
 
Kifo kinapaswa kuambatana na sherehe za kumtakia marehemu apokelewe vema huko mbinguni, na siyo vilio.

Biblia imeandika "kufa kwangu ni faida, kwa maana kuishi ni kristo".
Basi tusingekuwa tunauguza wagonjwa ili wafe tufanye sherehe na mwandishi wa biblia apate faida
 
Malezi ya kisasa hayo na ni ya hovyo kupata kutokea.

Hao angekuwa amekufa house girl wao aliyewalea mpaka wakafika aged 12 hakuna angekaa normal kama walivyo hapo but kwa sababu hawajawahi kuwa karibu na baba yao kwa kiasi hicho ndiyo maana wanaona kila kitu sawa tu.
Mfano angekua kafa Mama yao je?
 
Back
Top Bottom