Mtondoli
Member
- Nov 9, 2021
- 70
- 174
Niwakumbushe nyinyi mlioingia kwenye siasa juzi, mjue kwamba Zitto kwa kumuomba rais amwachilie mbowe hatafuti umaarufu, alishakuwa maarufu wakati ambao hawa wanaopiga kelele wote hawapo.
Zitto kabla ya Lissu alikuwepo na alikuwa maarufu, kabla ya mnyika, Kigaila Heche, Msigwa, Sugu na wengine wote unaowafahamu wewe.
Zitto alikuwepo na alikuwa maarufu, mbunge mmojawapo wa kwanza kwanza wa upinzani ukiwataja watano, Zitto alikuwepo. Hajaanza kuipigania Chadema Leo alianza kabla nyinyi wote hampo.
Kumwondoa Chadema zilikuwa njama za kumuua kisiasa kwa kumpa tuhuma za hovyo kabisa yeye na Mbowe hawajakutana barabarani mwachieni amzungumzie mnampa majina ya hovyo hamjui yy na Mbowe walikotoka.
Lissu alikuwa Kenya na badae ubelgiji mpinzani pekee aliyeenda kumuona kote huko no zitto mwachieni kinana wetu afanye siasa zenye tija sio makelele
Zitto kabla ya Lissu alikuwepo na alikuwa maarufu, kabla ya mnyika, Kigaila Heche, Msigwa, Sugu na wengine wote unaowafahamu wewe.
Zitto alikuwepo na alikuwa maarufu, mbunge mmojawapo wa kwanza kwanza wa upinzani ukiwataja watano, Zitto alikuwepo. Hajaanza kuipigania Chadema Leo alianza kabla nyinyi wote hampo.
Kumwondoa Chadema zilikuwa njama za kumuua kisiasa kwa kumpa tuhuma za hovyo kabisa yeye na Mbowe hawajakutana barabarani mwachieni amzungumzie mnampa majina ya hovyo hamjui yy na Mbowe walikotoka.
Lissu alikuwa Kenya na badae ubelgiji mpinzani pekee aliyeenda kumuona kote huko no zitto mwachieni kinana wetu afanye siasa zenye tija sio makelele