Tujifunze kushukuru! Zitto hatafuti umaarufu, alishakuwa maarufu tangia zamani

Tujifunze kushukuru! Zitto hatafuti umaarufu, alishakuwa maarufu tangia zamani

Humjuwi Zitto? Waulize wanao mjuwa wakupe japo data uje kurekebisha hili andiko... Wewe njoo tuungane uku tule na kunya tuwaache majasusi wapambane ...
Kwani Lowasa alivyoenda CHADEMA ili kuwalainisha viongozi wake waache kumuita fisadi, wampe tiketi ya kigombea na wamnadi hakucheua mpunga?
 
Back
Top Bottom