Tujifunze kushukuru! Zitto hatafuti umaarufu, alishakuwa maarufu tangia zamani

Tujifunze kushukuru! Zitto hatafuti umaarufu, alishakuwa maarufu tangia zamani

Wale wote mnaoponda na kudharau alichofanya Zitto hebu jaribuni kuvivaa viatu vya Alikael Mbowe au mkewe au watoto wake for five minutes only. Who knows? Labda familia imebariki ombi hilo.

Zaidi ya kupigapiga kelele humu, there is not much ambacho wakereketwa wa Chama wamefanya. Kila mtu anajua ile kesi ni ya kumkomoa Mbowe na inaweza kuendeshwa hata kwa miaka 20 ijayo.
 
Hakuna anayemzuia Zito kufanya siasa, ila asiwasemee cdm kwani cdm wanajumudu upande huo.
👇👇

IMG_20211103_093523.jpg


IMG_20211212_191326.jpg
 
Mabalozi sio wanafiki wala hawataki political milleage. Simply hakuna aliyehitaji msaada wa Zito na kwa namna alivyoiweka. Hadaa wapelekewe wasiojitambua.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mnachekesha sana nyie bavicha!

Zitto kumataka Samia amwachie Mbowe imekuwa nongwa ila wazungu wakihudhuria kesi ya Mbowe mnakenua meno
 
Ni kweli kabisa, ila yeye anamuombea Mbowe msamaha katika hali ya upotoshaji. Mbowe sio mkosaji msamaha wa nini? Yaani ufanyiziwe kisha ndio uombe kusamehewa? Hiyo political milleage haikubaliki.
Ni wapi Zitto kamuombea Mbowe msamaha?

Mbona kwenye ile kauli ya Zitto hakuna neno msamaha?
 
Niwakumbushe nyinyi mlioingia kwenye siasa juzi, mjue kwamba zitto kwa kumuomba rais amwachilie mbowe hatafuti umaarufu ,alishakuwa maalufu wakati ambao Hawa wanaopiga kelele wote hawapo,,zitto kabla ya lissu alikuwepo na alikuwa maarufu, kabla ya mnyika ,kigaila ,heche,msigwa,sugu na wengine wote unaowafahamu wewe zitto alikuwepo na alikuwa maarufu,,mbunge mmojawapo wa kwanza kwanza wa upinzani ukiwataja watano zitto alikuwepo,hajaanza kuipigania chadema Leo alianza kabla nyinyi wote hampo ,kumwondoa chadema zilikuwa njama za kumuua kisiasa kwa kumpa tuhuma za hovyo kabisa yeye na mbowe hawajakutana barabarani mwachieni amzungumzie mnampa majina ya hovyo hamjui yy na mbowe walikotoka,lissu alikuwa Kenya na badae ubelgiji mpinzani pekee aliyeenda kumuona kote huko no zitto mwachieni kinana wetu afanye siasa zenye tija sio makelele
Naunga mkono hoja.
P
 
Samia alijibu nini we mjane?
Manka hapa tunajadili hoja na tatizo lako unafikiri kila mtu ni mjane kama ulivyo wewe!

Tukirudi kwenye hoja, Samia ndio katamka neno msamaha lakini Zitto hakuna popote aliposema Mbowe apewe msamaha!

Mimi nawaona machadema wajinga sababu wao wamesusa kwenda ila Zitto katumia ile platform kumuomba Samia amwachie Mbowe lakini michadema inamlaumu Zito.

Angekuwa katamka balozi mzungu ungeona hadi walioko ubelgiji wanashangilia.

Bure kabisa.
 
WTZ ni wavivu wa kusikiliza na hata kusoma, juu ya yote ngoja hapa niweke nukuu husika ya maneno ya Ztto kutoka katika ile hotuba yake mbele ya Rais Samia:-


"------- mwisho katika maombi haya sisi viongozi wa vyama tupo hapa, of couurse, wengine hawapo kwa sababu zao wenyewe lakini kuna mwenzetu ambaye hayupo hapa kwasababu ya changamoto za kisheria na tuna utamaduni wa kumaliza haya mambo na haitakuwa mara ya kwanza, tunao akina Ahmad Rashid hapa wakati umekuwa Waziri kwa mara ya kwanza kule Zanzibar ulikutana na mgogoro mkubwa ukazunguka na Mheshimiwa Rais Kikwete sehemu mbalimbali za dunia kwa ajili ya kutatua lile tatizo la mwaka 2001 na watu wote waliokuwa na KESI ZA JINAI waliachiwa kwa.lengo la kujenga muafaka kule Zanzibar, tunakuomba sana sana kwa mujibu wa sheria TUSAIDIE MWENZETU TUWE NAYE ili tuweze kufanya kazi kwa pamoja ili tuunganishe nchi yetu tufanye siasa za tija kwa maslahi ya nchi yetu, nashukuru sana Muheshimiwa Rais, asante sana."


Mwisho wa nukuu.

Sasa hapo ni wapi Zitto amemuombea Mbowe Msamaha??!! ------ baadhi ya Wafuasi wa Chadema hovyoooo!!!🤣
 
Manka hapa tunajadili hoja na tatizo lako unafikiri kila mtu ni mjane kama ulivyo wewe!

Tukirudi kwenye hoja, Samia ndio katamka neno msamaha lakini Zitto hakuna popote aliposema Mbowe apewe msamaha!

Mimi nawaona machadema wajinga sababu wao wamesusa kwenda ila Zitto katumia ile platform kumuomba Samia amwachie Mbowe lakini michadema inamlaumu Zito.

Angekuwa katamka balozi mzungu ungeona hadi walioko ubelgiji wanashangilia.

Bure kabisa.
Ile movie ilipangwa mbaya zaidi bi kidude hana akili so tumegundua mapema.
 
WTZ ni wavivu wa kusikiliza na hata kusoma, juu ya yote ngoja hapa niweke nukuu husika ya maneno ya Ztto kutoka katika ile hotuba yake mbele ya Rais Samia:-


"------- mwisho katika maombi haya sisi viongozi wa vyama tupo hapa, of couurse, wengine hawapo kwa sababu zao wenyewe lakini kuna mwenzetu ambaye hayupo hapa kwasababu ya changamoto za kisheria na tuna utamaduni wa kumaliza haya mambo na haitakuwa mara ya kwanza, tunao akina Ahmad Rashid hapa wakati umekuwa Waziri kwa mara ya kwanza kule Zanzibar ulikutana na mgogoro mkubwa ukazunguka na Mheshimiwa Rais Kikwete sehemu mbalimbali za dunia kwa ajili ya kutatua lile tatizo la mwaka 2001 na watu wote waliokuwa na KESI ZA JINAI waliachiwa kwa.lengo la kujenga muafaka kule Zanzibar, tunakuomba sana sana kwa mujibu wa sheria TUSAIDIE MWENZETU TUWE NAYE ili tuweze kufanya kazi kwa pamoja ili tuunganishe nchi yetu tufanye siasa za tija kwa maslahi ya nchi yetu, nashukuru sana Muheshimiwa Rais, asante sana."


Mwisho wa nukuu.

Sasa hapo ni wapi Zitto amemuombea Mbowe Msamaha??!! ------ baadhi ya Wafuasi wa Chadema hovyoooo!!![emoji1787]
Mkuu ili uwe mfuasi wa chadema lazima uwe jinga jinga
 
We mfuasi wa pole pole una nini? Ile KY kule chumbani kwake yanini?
Wewe unapenda sana matusi!
.
Sasa hiyo KY unamuuliza nani wakati wewe ndio uliiona chumbani kwa Polepole?

Kwanini hukumuuliza palepale kwamba hii kitu hapa ni ya nini?

Bure kabisa.
 
Wewe unapenda sana matusi!
.
Sasa hiyo KY unamuuliza nani wakati wewe ndio uliiona chumbani kwa Polepole?

Kwanini hukumuuliza palepale kwamba hii kitu hapa ni ya nini?

Bure kabisa.
Nimuulize wakati tumeiona kupitia media baada ya tukio la uvamizi?

Si wao ndo walizipiga vita hivi vilainishi kumbe kwa mlango wa nyuma wakawa wanavitumia?

KY? Duh CCM mmeharibika.
 
Niwakumbushe nyinyi mlioingia kwenye siasa juzi, mjue kwamba Zitto kwa kumuomba rais amwachilie mbowe hatafuti umaarufu, alishakuwa maarufu wakati ambao hawa wanaopiga kelele wote hawapo.

Zitto kabla ya Lissu alikuwepo na alikuwa maarufu, kabla ya mnyika, Kigaila Heche, Msigwa, Sugu na wengine wote unaowafahamu wewe.

Zitto alikuwepo na alikuwa maarufu, mbunge mmojawapo wa kwanza kwanza wa upinzani ukiwataja watano, Zitto alikuwepo. Hajaanza kuipigania Chadema Leo alianza kabla nyinyi wote hampo.

Kumwondoa Chadema zilikuwa njama za kumuua kisiasa kwa kumpa tuhuma za hovyo kabisa yeye na Mbowe hawajakutana barabarani mwachieni amzungumzie mnampa majina ya hovyo hamjui yy na Mbowe walikotoka.

Lissu alikuwa Kenya na badae ubelgiji mpinzani pekee aliyeenda kumuona kote huko no zitto mwachieni kinana wetu afanye siasa zenye tija sio makelele
Liacheni gaidi mbowe lipate haki yake ya kufungwa tu.
 
Mabalozi sio wanafiki wala hawataki political milleage. Simply hakuna aliyehitaji msaada wa Zito na kwa namna alivyoiweka. Hadaa wapelekewe wasiojitambua.
kwaiyo Zitto ilitakiwa pale aseme " Mh Rais tunaomba Mbowe aachiwe mara moja,anashikiliwa kwa dhuluma na kesi ya kutunga!"

Sindio au
 
Niwakumbushe nyinyi mlioingia kwenye siasa juzi, mjue kwamba Zitto kwa kumuomba rais amwachilie mbowe hatafuti umaarufu, alishakuwa maarufu wakati ambao hawa wanaopiga kelele wote hawapo.

Zitto kabla ya Lissu alikuwepo na alikuwa maarufu, kabla ya mnyika, Kigaila Heche, Msigwa, Sugu na wengine wote unaowafahamu wewe.

Zitto alikuwepo na alikuwa maarufu, mbunge mmojawapo wa kwanza kwanza wa upinzani ukiwataja watano, Zitto alikuwepo. Hajaanza kuipigania Chadema Leo alianza kabla nyinyi wote hampo.

Kumwondoa Chadema zilikuwa njama za kumuua kisiasa kwa kumpa tuhuma za hovyo kabisa yeye na Mbowe hawajakutana barabarani mwachieni amzungumzie mnampa majina ya hovyo hamjui yy na Mbowe walikotoka.

Lissu alikuwa Kenya na badae ubelgiji mpinzani pekee aliyeenda kumuona kote huko no zitto mwachieni kinana wetu afanye siasa zenye tija sio makelele
Unajua kazi ya mwanasiasa wewe? to be relevant is another of them. Kwani umaarufu wa NL ulikua na haja ya kuhama chama na kugombea urais? Umaarufu wa slowslow aliokua nao ni wakupuyanga now na kuanza kuhubiri mambo hayo anayoyasema.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa, ila yeye anamuombea Mbowe msamaha katika hali ya upotoshaji. Mbowe sio mkosaji msamaha wa nini? Yaani ufanyiziwe kisha ndio uombe kusamehewa? Hiyo political milleage haikubaliki.
Sikusikia Zitto akimuombea msamaha Mbowe.

Naamin Zitto ana basic knowldge ya sheria ya kujua kuwa rais hasamehi watuhumiwa ila anaweza kusamehe wafungwa, pamoja na hayo rais anaweza tu kutumia influence yake kumtaka DPP aifute kesi, Sasa huo siyo msamaha
 
Back
Top Bottom