Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Ni wapi Zitto katamka neno msamaha kwenye ile speech yake?Zitto anamuombea Mbowe msamaha kwa kosa gani?
👇👇Hakuna anayemzuia Zito kufanya siasa, ila asiwasemee cdm kwani cdm wanajumudu upande huo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mnachekesha sana nyie bavicha!Mabalozi sio wanafiki wala hawataki political milleage. Simply hakuna aliyehitaji msaada wa Zito na kwa namna alivyoiweka. Hadaa wapelekewe wasiojitambua.
Ni wapi Zitto kamuombea Mbowe msamaha?Ni kweli kabisa, ila yeye anamuombea Mbowe msamaha katika hali ya upotoshaji. Mbowe sio mkosaji msamaha wa nini? Yaani ufanyiziwe kisha ndio uombe kusamehewa? Hiyo political milleage haikubaliki.
Samia alijibu nini we mjane?Ni wapi Zitto katamka neno msamaha kwenye ile speech yake?
Naunga mkono hoja.Niwakumbushe nyinyi mlioingia kwenye siasa juzi, mjue kwamba zitto kwa kumuomba rais amwachilie mbowe hatafuti umaarufu ,alishakuwa maalufu wakati ambao Hawa wanaopiga kelele wote hawapo,,zitto kabla ya lissu alikuwepo na alikuwa maarufu, kabla ya mnyika ,kigaila ,heche,msigwa,sugu na wengine wote unaowafahamu wewe zitto alikuwepo na alikuwa maarufu,,mbunge mmojawapo wa kwanza kwanza wa upinzani ukiwataja watano zitto alikuwepo,hajaanza kuipigania chadema Leo alianza kabla nyinyi wote hampo ,kumwondoa chadema zilikuwa njama za kumuua kisiasa kwa kumpa tuhuma za hovyo kabisa yeye na mbowe hawajakutana barabarani mwachieni amzungumzie mnampa majina ya hovyo hamjui yy na mbowe walikotoka,lissu alikuwa Kenya na badae ubelgiji mpinzani pekee aliyeenda kumuona kote huko no zitto mwachieni kinana wetu afanye siasa zenye tija sio makelele
Manka hapa tunajadili hoja na tatizo lako unafikiri kila mtu ni mjane kama ulivyo wewe!Samia alijibu nini we mjane?
Ile movie ilipangwa mbaya zaidi bi kidude hana akili so tumegundua mapema.Manka hapa tunajadili hoja na tatizo lako unafikiri kila mtu ni mjane kama ulivyo wewe!
Tukirudi kwenye hoja, Samia ndio katamka neno msamaha lakini Zitto hakuna popote aliposema Mbowe apewe msamaha!
Mimi nawaona machadema wajinga sababu wao wamesusa kwenda ila Zitto katumia ile platform kumuomba Samia amwachie Mbowe lakini michadema inamlaumu Zito.
Angekuwa katamka balozi mzungu ungeona hadi walioko ubelgiji wanashangilia.
Bure kabisa.
Mkuu ili uwe mfuasi wa chadema lazima uwe jinga jingaWTZ ni wavivu wa kusikiliza na hata kusoma, juu ya yote ngoja hapa niweke nukuu husika ya maneno ya Ztto kutoka katika ile hotuba yake mbele ya Rais Samia:-
"------- mwisho katika maombi haya sisi viongozi wa vyama tupo hapa, of couurse, wengine hawapo kwa sababu zao wenyewe lakini kuna mwenzetu ambaye hayupo hapa kwasababu ya changamoto za kisheria na tuna utamaduni wa kumaliza haya mambo na haitakuwa mara ya kwanza, tunao akina Ahmad Rashid hapa wakati umekuwa Waziri kwa mara ya kwanza kule Zanzibar ulikutana na mgogoro mkubwa ukazunguka na Mheshimiwa Rais Kikwete sehemu mbalimbali za dunia kwa ajili ya kutatua lile tatizo la mwaka 2001 na watu wote waliokuwa na KESI ZA JINAI waliachiwa kwa.lengo la kujenga muafaka kule Zanzibar, tunakuomba sana sana kwa mujibu wa sheria TUSAIDIE MWENZETU TUWE NAYE ili tuweze kufanya kazi kwa pamoja ili tuunganishe nchi yetu tufanye siasa za tija kwa maslahi ya nchi yetu, nashukuru sana Muheshimiwa Rais, asante sana."
Mwisho wa nukuu.
Sasa hapo ni wapi Zitto amemuombea Mbowe Msamaha??!! ------ baadhi ya Wafuasi wa Chadema hovyoooo!!![emoji1787]
We mfuasi wa pole pole una nini? Ile KY kule chumbani kwake yanini?Mkuu ili uwe mfuasi wa chadema lazima uwe jinga jinga
Wewe unapenda sana matusi!We mfuasi wa pole pole una nini? Ile KY kule chumbani kwake yanini?
Nimuulize wakati tumeiona kupitia media baada ya tukio la uvamizi?Wewe unapenda sana matusi!
.
Sasa hiyo KY unamuuliza nani wakati wewe ndio uliiona chumbani kwa Polepole?
Kwanini hukumuuliza palepale kwamba hii kitu hapa ni ya nini?
Bure kabisa.
Liacheni gaidi mbowe lipate haki yake ya kufungwa tu.Niwakumbushe nyinyi mlioingia kwenye siasa juzi, mjue kwamba Zitto kwa kumuomba rais amwachilie mbowe hatafuti umaarufu, alishakuwa maarufu wakati ambao hawa wanaopiga kelele wote hawapo.
Zitto kabla ya Lissu alikuwepo na alikuwa maarufu, kabla ya mnyika, Kigaila Heche, Msigwa, Sugu na wengine wote unaowafahamu wewe.
Zitto alikuwepo na alikuwa maarufu, mbunge mmojawapo wa kwanza kwanza wa upinzani ukiwataja watano, Zitto alikuwepo. Hajaanza kuipigania Chadema Leo alianza kabla nyinyi wote hampo.
Kumwondoa Chadema zilikuwa njama za kumuua kisiasa kwa kumpa tuhuma za hovyo kabisa yeye na Mbowe hawajakutana barabarani mwachieni amzungumzie mnampa majina ya hovyo hamjui yy na Mbowe walikotoka.
Lissu alikuwa Kenya na badae ubelgiji mpinzani pekee aliyeenda kumuona kote huko no zitto mwachieni kinana wetu afanye siasa zenye tija sio makelele
kwaiyo Zitto ilitakiwa pale aseme " Mh Rais tunaomba Mbowe aachiwe mara moja,anashikiliwa kwa dhuluma na kesi ya kutunga!"Mabalozi sio wanafiki wala hawataki political milleage. Simply hakuna aliyehitaji msaada wa Zito na kwa namna alivyoiweka. Hadaa wapelekewe wasiojitambua.
Hata mimi chama langu linanichanganya, bora atoke tubuni mbinu mpya mbona ziko nyingiChadema wanalaani Mbowe kukamatwa
Lakini Zitto akisema Mbowe aachiwe, wanamponda Zitto.
As if Zitto ndo adui wao mkubwa
Unajua kazi ya mwanasiasa wewe? to be relevant is another of them. Kwani umaarufu wa NL ulikua na haja ya kuhama chama na kugombea urais? Umaarufu wa slowslow aliokua nao ni wakupuyanga now na kuanza kuhubiri mambo hayo anayoyasema.Niwakumbushe nyinyi mlioingia kwenye siasa juzi, mjue kwamba Zitto kwa kumuomba rais amwachilie mbowe hatafuti umaarufu, alishakuwa maarufu wakati ambao hawa wanaopiga kelele wote hawapo.
Zitto kabla ya Lissu alikuwepo na alikuwa maarufu, kabla ya mnyika, Kigaila Heche, Msigwa, Sugu na wengine wote unaowafahamu wewe.
Zitto alikuwepo na alikuwa maarufu, mbunge mmojawapo wa kwanza kwanza wa upinzani ukiwataja watano, Zitto alikuwepo. Hajaanza kuipigania Chadema Leo alianza kabla nyinyi wote hampo.
Kumwondoa Chadema zilikuwa njama za kumuua kisiasa kwa kumpa tuhuma za hovyo kabisa yeye na Mbowe hawajakutana barabarani mwachieni amzungumzie mnampa majina ya hovyo hamjui yy na Mbowe walikotoka.
Lissu alikuwa Kenya na badae ubelgiji mpinzani pekee aliyeenda kumuona kote huko no zitto mwachieni kinana wetu afanye siasa zenye tija sio makelele
Sikusikia Zitto akimuombea msamaha Mbowe.Ni kweli kabisa, ila yeye anamuombea Mbowe msamaha katika hali ya upotoshaji. Mbowe sio mkosaji msamaha wa nini? Yaani ufanyiziwe kisha ndio uombe kusamehewa? Hiyo political milleage haikubaliki.