Tujifunze kutafakari: Aliyekimbia toka Kigoma alitumiaje siku 22 umbali wa 1400KM?

1400/22=63

Haiwezekani kwa siku binadamu atembee kilomita 63.Never!
Km 63 akikimbia kilomita 5 kwa saa anahitaji masaa 13 maximum wewe unasema haiwezekani ?
Full Marathon huwa ni km ngapi na watu kutumia masaa mangapi ?
 
Kilomita tano ni safari ya 45 minutes kwa kutembea
 
Jamaa anashangaza sana mtu akimbie 5km tu per hour ?
Kukimbia 5km/h ni sawa na 12m/km. Hii ni pace ndogo sana, hata anayetembea kwa haraka anaweza fanya hivyo. Shida ni kwamba ana nguvu za kufanya hivyo kwa siku 22 mfululizo kwa umbali mrefu?

 
Ni jambo la kawaida tu hata kama alikuwa anasimama na kupiga story ni sawa na usikariri sidhani kama alipitia hiyo njia ya nyakanazi ni ndefu mno huyu alipasua tabora ila ni kawaida mimi tu nakimbia zaid ya km 15 ndani ya saa 1 na dakika 17
 
Mambo mengine hua tuna yaacha kama yalivyo
 
UMEONGEA POINT SANA BIG UP SANA
 
Wewe utakuwa mboga saba kukimbia kl 5 utumie saa nzima hapo utakuwa unatambaa wala syo hata kutembea
 
Ni kutembea pasipo masihara lakini kigoma isikie tu! Dreva yoyote anaijua ilivyo palefu halafu anatokea NGIDO MMOJA anasemaje amekimbia kwa mguu siku 22 tena anakwambia alipumzika morogoro siku 3 kwa homa ya tumbo
Sasa nyie wajuba mlikuwa mnatembea wastani wa 70km/h umbali wa 1400km ambapo mlitumia masaa 20, sasa mjuba katumia siku sio masaa, wazee mlifeli hesabu?
 
Binafsi naona kabisa inawezekana toka Kigoma mpaka Dar kwa hizo siku.

Umbali (Kigoma-Dar)/Muda (siku) alizotumia. = 1400/22 = 63.63km

Akikimbia masaa 10 kwa siku inamaana kwa kila saa anakimbia 6.4km. Akianza safari saa 10 alfajiri na akipumzika saa 12 jioni ukitoa masaa 2 ya breakfast na lunch yanabaki almost masaa 11. Yanatosha kukimbia hata km 70.

Kuna siku atakimbia nyingi zaidi na nyingine atakimbia chache. Kutokana na fatigue.

Ni jambo linawezekana kabisa.
 
Comments nyingi hazina reasoning.

Mtu wa mazoezi anafika dar ndani ya siku 16 straight.

Km 63 kwa siku hata watoto wa shule wanazi-cover.
 
Intelligent person
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…