Tujifunze kutafakari: Aliyekimbia toka Kigoma alitumiaje siku 22 umbali wa 1400KM?

Tulishafanywa vichwa wa wendawazimu ata mimi jana niliangalia habari nikawasikiliza nikawazoom nikawachekiii nikasema hiiiiiiiii yaaaaniii.
 
1400/22=63

Haiwezekani kwa siku binadamu atembee kilomita 63.Never!
Jamaa ameshakuambia hukimbia km43 kwa chini ya masaa3, maanayake akiamua kukimbia kwa masaa sita 86 km zitahusika! Hivyo 63km ni chai kwake!
Ila ukikaa utafakari inafikirisha sana i see🤔!
 
Ila yale mapori i see yanatisha sana! Huyu alikuwa ameamua kukomiti suisaide! Anatakiwa achukuliwe sheria kali ili liwe funzo kwa wengine wenye mawazo kama yake😡!
 
Jamaa ameshakuambia hukimbia km43 kwa chini ya masaa3, maanayake akiamua kukimbia kwa masaa sita 86 km zitahusika! Hivyo 63km ni chai kwake!
Ila ukikaa utafakari inafikirisha sana i see🤔!
Mambo ya kupumzika,afya ya binadamu,kuchoka,distabances za hapa na pale na kadhalika umeviangalia?
 
chukua km1400 gawanya kwa siku 22 ndio unapata alikuwa anakimbia km64 kila siku, ukigawa kwa masaa12 ya siku moja mchana tu, unapata kwa saa moja alikuwa anakwenda km5, ambayo ni kawaida kwa wakimbiaji, navojua alikimbia sana asubuhi na jioni wakati mchana alikuwa anatembea.
 
Mimi hutumia dakika 45 kutembea kwa mguu urefu wa kilometa 5.

Km 5 per hour hyo sio sahihi kwa binadamu
 
Si tulishakubaliana kuwa huyu jamaa alikua anapanda malori usiku
 
Watu wa Yanga kwa ujanja ujana tunawajua wala huwezi pata nao shida kiuhalisia it is imposible na Uongozi wa Utopolo walivyokuwa hawana akili eti wakamwita na kuamini kweli alitembea toka kigoma hadi Dar hilo jambo halikuwa kweli ilikuwa kiki tu kwa yanga na vile Yanga hawapati attention kubwa katika midia kama vile Simba na wao huwa wanatafuta attentiion ili wazungumzwe kama Simba hali kama hii inapelekea kufanya mambo ya ajabu kama haya yaana katika vitu navyochukia kupenda sifa katika jamii kwa jambo lisilowezekana
 
Jamaa ameshakuambia hukimbia km43 kwa chini ya masaa3, maanayake akiamua kukimbia kwa masaa sita 86 km zitahusika! Hivyo 63km ni chai kwake!
Ila ukikaa utafakari inafikirisha sana i see🤔!
Siyo rahisi kukimbia marathon mbili kwa chini ya masaa 6.
 
Amejenga mwili
Juzi me nlitembea km 15 kwa 1h 45min
 
Hili jambo linawekana tu kwa mpangilio mzuri- muda wa kukimbia kila siku,muda na mahali pa kupumzika,chakula na maji ,usalama wa mkimbiaji(wanyama wa pori,magari barabarani,majambazi) na la muhimu zaidi mazoezi ya kutosha kuhimili kupiga masafa marefu kila siku kwa siku 20+ mfululizo.
 
Oya mambo mengine mbona ni yakujiongeza tu wewe mwenyewe tumepigwa pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…