Tujifunze kutafakari: Aliyekimbia toka Kigoma alitumiaje siku 22 umbali wa 1400KM?

Tujifunze kutafakari: Aliyekimbia toka Kigoma alitumiaje siku 22 umbali wa 1400KM?

Umbali wa kutoka Kigoma kwenda Dar ni almost 1400KM

Ili ufanikiwe kutoka Kigoma kwa kukimbia inabidi at most ukimbie kwa Speed ya 5km/hr ili kumaintain stability na pumzi! Kwa maana hiyo, ili kupata mda sahihi ukichukua umbali 1400 gawa kwa mwendo 5 utapata majibu ya 280 ambayo ni idadi ya masaa kwa umbali huo mfululizo NON STOP ( Yaani hakuna kukojoa wala kula)

Masaa 280 ukichukulia alikimbia mchana NON STOP 12 Hours maana yake (280/12) ni sawa na siku 23 na masaa mawili (23.3) NON STOP

Hivyo basi, speed ya 5Km/hr kwa masaa 12 mfululizo bila kupumzika, bila kukojoa,Bila kula na kunywa, bila kuchimba dawa yaani kila sekunde na hatua, tunatarajia mtu angetumia siku 23.3 (JAMBO AMBALO HALIWEZEKANI BINADAM Kukimbia 12hrs bila kusimama)

Kama kwa gari tu ni ngumu kukimbia 12hrs pasipo kuchimba sawa, iweje kwa mkimbia kwa mguu?

Huyu jamaa kawezaje kukimbia kwa siku 22 kutoka Kigoma hadi Dar wakati kiuhalisia 12hrs NON STOP ni siku 23?

Ina maana huyo jamaa alikatiza misitu ya hatari huko Nyakanazi, na kupandisha milima pasipo KUSIMAMA 12 hours kila siku hadi atangazwe katumia siku 22?

Tunaambiwa alianza safari tarehe 15 April mchana, na kufika Dar tarehe 7 may! Amewezaje kutumia mda huo ambao ni mchache zaidi ya uhalisia?

JE, hakusimama kula, kuchimba dawa, kukojoa wala n.k Mbona sayansi inagoma?

AU NDO TUAMINI ULE MSEMO kuwa alikimbia mijini, inje ya mji alidandia maroli?
Au hii hesabu ikoje?

View attachment 1782115View attachment 1782116View attachment 1782117
Achana na hiyo stori, mi nipo hapo unapotenganisha kuchimba dawa na kukojoa....kwani kukojoa sio kuchimba dawa? Kuchimba dawa unakozungumzia hapa ni nini kwa mawazo yako?
 
Umbali wa kutoka Kigoma kwenda Dar ni almost 1400KM

Ili ufanikiwe kutoka Kigoma kwa kukimbia inabidi at most ukimbie kwa Speed ya 5km/hr ili kumaintain stability na pumzi! Kwa maana hiyo, ili kupata mda sahihi ukichukua umbali 1400 gawa kwa mwendo 5 utapata majibu ya 280 ambayo ni idadi ya masaa kwa umbali huo mfululizo NON STOP ( Yaani hakuna kukojoa wala kula)

Masaa 280 ukichukulia alikimbia mchana NON STOP 12 Hours maana yake (280/12) ni sawa na siku 23 na masaa mawili (23.3) NON STOP

Hivyo basi, speed ya 5Km/hr kwa masaa 12 mfululizo bila kupumzika, bila kukojoa,Bila kula na kunywa, bila kuchimba dawa yaani kila sekunde na hatua, tunatarajia mtu angetumia siku 23.3 (JAMBO AMBALO HALIWEZEKANI BINADAM Kukimbia 12hrs bila kusimama)

Kama kwa gari tu ni ngumu kukimbia 12hrs pasipo kuchimba sawa, iweje kwa mkimbia kwa mguu?

Huyu jamaa kawezaje kukimbia kwa siku 22 kutoka Kigoma hadi Dar wakati kiuhalisia 12hrs NON STOP ni siku 23?

Ina maana huyo jamaa alikatiza misitu ya hatari huko Nyakanazi, na kupandisha milima pasipo KUSIMAMA 12 hours kila siku hadi atangazwe katumia siku 22?

Tunaambiwa alianza safari tarehe 15 April mchana, na kufika Dar tarehe 7 may! Amewezaje kutumia mda huo ambao ni mchache zaidi ya uhalisia?

JE, hakusimama kula, kuchimba dawa, kukojoa wala n.k Mbona sayansi inagoma?

AU NDO TUAMINI ULE MSEMO kuwa alikimbia mijini, inje ya mji alidandia maroli?
Au hii hesabu ikoje?

View attachment 1782115View attachment 1782116View attachment 1782117
[/QUOT
Umbali wa kutoka Kigoma kwenda Dar ni almost 1400KM

Ili ufanikiwe kutoka Kigoma kwa kukimbia inabidi at most ukimbie kwa Speed ya 5km/hr ili kumaintain stability na pumzi! Kwa maana hiyo, ili kupata mda sahihi ukichukua umbali 1400 gawa kwa mwendo 5 utapata majibu ya 280 ambayo ni idadi ya masaa kwa umbali huo mfululizo NON STOP ( Yaani hakuna kukojoa wala kula)

Masaa 280 ukichukulia alikimbia mchana NON STOP 12 Hours maana yake (280/12) ni sawa na siku 23 na masaa mawili (23.3) NON STOP

Hivyo basi, speed ya 5Km/hr kwa masaa 12 mfululizo bila kupumzika, bila kukojoa,Bila kula na kunywa, bila kuchimba dawa yaani kila sekunde na hatua, tunatarajia mtu angetumia siku 23.3 (JAMBO AMBALO HALIWEZEKANI BINADAM Kukimbia 12hrs bila kusimama)

Kama kwa gari tu ni ngumu kukimbia 12hrs pasipo kuchimba sawa, iweje kwa mkimbia kwa mguu?

Huyu jamaa kawezaje kukimbia kwa siku 22 kutoka Kigoma hadi Dar wakati kiuhalisia 12hrs NON STOP ni siku 23?

Ina maana huyo jamaa alikatiza misitu ya hatari huko Nyakanazi, na kupandisha milima pasipo KUSIMAMA 12 hours kila siku hadi atangazwe katumia siku 22?

Tunaambiwa alianza safari tarehe 15 April mchana, na kufika Dar tarehe 7 may! Amewezaje kutumia mda huo ambao ni mchache zaidi ya uhalisia?

JE, hakusimama kula, kuchimba dawa, kukojoa wala n.k Mbona sayansi inagoma?

AU NDO TUAMINI ULE MSEMO kuwa alikimbia mijini, inje ya mji alidandia maroli?
Au hii hesabu ikoje?

View attachment 1782115View attachment 1782116View attachment 1782117
Umwtumia hesabu ngumu sana....

Issue ni hv..alitakiwa kwa wastani atembee km 50 per day...ambapo akianza kutembe mfano saa 11 alfajiri..mpaka saa kumi mchana kamaliza..atalala kesho anaendelea..

Je is it possible?
 
Wewe ulikuwa unakula makamasi kwenye vipindi vya hesabu siyo?
Km 1400 ukigawanya kwa siku 22 unapata km 63.3kwa siku. Inawezekana kabisa alikuwa anazimaliza ndani ya masaa 5 kwa siku na kuweza kupumzika vya kutosha. Inawezekana pia alikuwa anakimbia zaidi ya hizo kwa siku.
Hizo hesabu zako ni kama zile za Polepole kwa kweli.
Ila kusema kweli huyu jamaa alipoteza muda na nguvu zake tu kutaka umaarufu wa muda mfupi.
Mkuu Ni Route ya km 1253.... Kgm-Tbr-Itigi- Manyoni-Dom-Moro-Dar. Njiani Hakuna mapori Wala wanyama wa Kutisha sanasana Mbweha na Fisi wadogo Kati ya Tura na Manyoni... Inawezekana Kabisa Kukimbia Umbali Huo Tena kwa Wastani wa Km60 kwa Siku...
 
Huyo jamaa kakimbia bhana tuache mambo zetu akimbie nani ndio utaamini...
 
Mkuu mijitu mijinga km hii mimi huwa siisikilizi kabisa. Logically jambo km hilo tena kwa jiografia ya nchi yetu ni impossible.
Alitaka afanye tu kituko ili atrend.
You guys inatakiwa mje na uthibitisho wa gari, pikipiki au guta lililombeba popote pale kuanzia Kigoma hadi Dar es salaam. Vinginevyo itakuwa ni wivu tu. Yaani kwa jogging ya kawaida anaweza kimbia umbali huo kwa siku 18 tu.
 
1400/22=63

Haiwezekani kwa siku binadamu atembee kilomita 63.Never!
Km63 ni Ubungo Flyover to Kibaha Maili moja then return to Ubungo Flyover.

Au tufanye hivi, kwa dakika 1 ukitembea mita 100 (urefu wa goli hadi goli), basi kwa dakika 60 utatembea mita 6000.

Na Kama kwa dakika 60 hizo (saa 1) ukitembea hizo mita 6000 (6km), basi kwa masaa 10 utatembea hizo kilomita 60.

Hapo juu ni mfano wa mtu anaetembea. Sasa kwa anaekimbia atachukua muda mfupi zaidi, na hapo ndipo unapopatikana muda wa kukojoa, kula, haja kubwa, etc
 
Umbali wa kutoka Kigoma kwenda Dar ni almost 1400KM

Ili ufanikiwe kutoka Kigoma kwa kukimbia inabidi at most ukimbie kwa Speed ya 5km/hr ili kumaintain stability na pumzi! Kwa maana hiyo, ili kupata mda sahihi ukichukua umbali 1400 gawa kwa mwendo 5 utapata majibu ya 280 ambayo ni idadi ya masaa kwa umbali huo mfululizo NON STOP ( Yaani hakuna kukojoa wala kula)

Masaa 280 ukichukulia alikimbia mchana NON STOP 12 Hours maana yake (280/12) ni sawa na siku 23 na masaa mawili (23.3) NON STOP

Hivyo basi, speed ya 5Km/hr kwa masaa 12 mfululizo bila kupumzika, bila kukojoa,Bila kula na kunywa, bila kuchimba dawa yaani kila sekunde na hatua, tunatarajia mtu angetumia siku 23.3 (JAMBO AMBALO HALIWEZEKANI BINADAM Kukimbia 12hrs bila kusimama)

Kama kwa gari tu ni ngumu kukimbia 12hrs pasipo kuchimba sawa, iweje kwa mkimbia kwa mguu?

Huyu jamaa kawezaje kukimbia kwa siku 22 kutoka Kigoma hadi Dar wakati kiuhalisia 12hrs NON STOP ni siku 23?

Ina maana huyo jamaa alikatiza misitu ya hatari huko Nyakanazi, na kupandisha milima pasipo KUSIMAMA 12 hours kila siku hadi atangazwe katumia siku 22?

Tunaambiwa alianza safari tarehe 15 April mchana, na kufika Dar tarehe 7 may! Amewezaje kutumia mda huo ambao ni mchache zaidi ya uhalisia?

JE, hakusimama kula, kuchimba dawa, kukojoa wala n.k Mbona sayansi inagoma?

AU NDO TUAMINI ULE MSEMO kuwa alikimbia mijini, inje ya mji alidandia maroli?
Au hii hesabu ikoje?

View attachment 1782115View attachment 1782116View attachment 1782117
Mbio zirudiwe,
Mbio zirudiwe,

Sababu mechi haijachezwa Mbio zirudiwe,
(In yule jamaa's voice)
 
Back
Top Bottom