Tujifunze: Niliuza simu na kuanzisha biashara

Tujifunze: Niliuza simu na kuanzisha biashara

Hongera mkuu, penye nia, penye uthubutu, penye ubunifu na moyo wa kuchapa kazi, pana mafanikio.
 
Habari wakuu,

Kutokana na ugumu wa maisha na ajira ndo hatuelewi kama zitakuja lini nilipata wazo la kuuza simu yangu pendwa Tecno W3 kwa laki moja na kuamua kufanya hivi;
672caaba08585eec183c0594f7474fbe.jpg

1d6d44d89cc7a41e16a162c54a8667dd.jpg

Kama muonavyo hapo juu, nilinunua Yebo aina na rangi mbalimbali, mifuko ya sulfate(kipindi cha mavuno hiki), chumvi, viberiti na sukari.

Nazunguka mitaa na meneo ya jirani napanga mizigo yangu kama muonavyo hapo juu nachopata kidogo Mungu anasaidia.

Nimeona nilete kwenu ili tuweze kupeana fursa zingine na mawazo mbadala, pia lazima tujue laki moja pia ni mtaji tosha tu tatizo ni uthubutu.

NB: Simu hii nimeazima na huwa naazima mara moja moja kwa wife kuangalia labda email imepotea njia huko.

Nawasilisha, matusi dharau ni mwiko
naomba niwakalibishe kwenye group la wafanyabiashara tz nicheki ntakuadd 0759500807
 
Habari wakuu,

Kutokana na ugumu wa maisha na ajira ndo hatuelewi kama zitakuja lini nilipata wazo la kuuza simu yangu pendwa Tecno W3 kwa laki moja na kuamua kufanya hivi;
672caaba08585eec183c0594f7474fbe.jpg

1d6d44d89cc7a41e16a162c54a8667dd.jpg

Kama muonavyo hapo juu, nilinunua Yebo aina na rangi mbalimbali, mifuko ya sulfate(kipindi cha mavuno hiki), chumvi, viberiti na sukari.

Nazunguka mitaa na meneo ya jirani napanga mizigo yangu kama muonavyo hapo juu nachopata kidogo Mungu anasaidia.

Nimeona nilete kwenu ili tuweze kupeana fursa zingine na mawazo mbadala, pia lazima tujue laki moja pia ni mtaji tosha tu tatizo ni uthubutu.

NB: Simu hii nimeazima na huwa naazima mara moja moja kwa wife kuangalia labda email imepotea njia huko.

Nawasilisha, matusi dharau ni mwiko
Nakupongeza sana kaka kwa kuamua haya
 
Sio kweli, japokua inawezekana....umetengeneza story.. Ila kama ulikua unasita kuchukua hatua, nakutia moyo, anza kufanya hivyo..
Najua ni vigumu watu wengi hasa graduates kuamini kama mtu anaweza kufanya hiv kwakuwa wengi huwa wanaona aibu flan, classmate akiniona itakuwaje ...lkn binafsi niliuza PC yangu baada ya kumaliza chuo nikanunua mashine ya juice ya miwa nikatafuta chance hapo songas ubungo(walipo machinga) nasimamia show mwenyewe,,, nachukua miwa tandale (kwa guta) naleta ubungo napiga kazi sijawahi kupata chini ya 20,000 per day classmate wanapita pale na bahasha zao wanashangaa(yan unafanya hiki??) wanaenda wanarudi mm nasonga mbele nimefanya kama miezi minne nikapata mtaji...niko mikoani huku staki hata kusikia mambo ya kuajiriwa.
 
Sio kweli, japokua inawezekana....umetengeneza story.. Ila kama ulikua unasita kuchukua hatua, nakutia moyo, anza kufanya hivyo..
sio kwel vipi mkuu? ckulazmish kuamin mkuu
 
Ukweli ni mchungu ila inabidi usemwe tu maana waweza kuwa na msaada.
Katika zama hizi kukosa simu ni kupunguza wigo wa mawasiliano yenye tija kwa zaidi ya asilimia 80.simu ni nyenzo kwa maana kule ulipoomba kazi umeacha namba ya simu na e-mail kwa hyo unaweza kupigiwa simu ukawa hupatkan ikala kwako na pia wanaweza kuku-email ukaja ukaona ujumbe kwa muda uliochelewa hvyo utakuwa umepoteza. Pia waswahili wanasema ongea na watu upate viatu, hii ina maana kwamba kile kitendo cha kuwasiliana na wenzako uliomaliza nao chuo na mkapeana update ya kile kinachoendelea mtaani na kujulishana michongo ingesaidia ww kuwa na mawazo mapya kila uchao. Na kwa ujumla simu ni nyenzo kubwa sana kwa mtu ambaye anatafuta.cha kukushauri ungenunua hata simu ya button ya elf 15 ukawa unaunga sms za elf 2 za mwezi hyo hela iliyobaki ungeanza biashara zako.mwisho naomba uchukue hii "uwekezaji wowote ni mzuri unapofanyiwa uchunguzi na unapoandaliwa mazingira yakuleta tija kinyume na hapo utakuja kujuta kwann uliuza simu"
nna sim ndogo nokia ya torch mkuu zen mda mwingne naazma ya wife na pia km hapa natumia ya dogo mlimpa baada ya kununua hyo nloiuza
kiufupi sijaathirika kwa chochote baada ya kuiuza hyo cm na sio mda ntaleta mrejesho nmefikia wap na mengne mengi
 
Najua ni vigumu watu wengi hasa graduates kuamini kama mtu anaweza kufanya hiv kwakuwa wengi huwa wanaona aibu flan, classmate akiniona itakuwaje ...lkn binafsi niliuza PC yangu baada ya kumaliza chuo nikanunua mashine ya juice ya miwa nikatafuta chance hapo songas ubungo(walipo machinga) nasimamia show mwenyewe,,, nachukua miwa tandale (kwa guta) naleta ubungo napiga kazi sijawahi kupata chini ya 20,000 per day classmate wanapita pale na bahasha zao wanashangaa(yan unafanya hiki??) wanaenda wanarudi mm nasonga mbele nimefanya kama miezi minne nikapata mtaji...niko mikoani huku staki hata kusikia mambo ya kuajiriwa.
watu haawaamin haya lakin huwez walazmisha wakiamin na nd maan nkaleta humu tushee,
mi pia skuwah waza km ntakuja fanya hii
 
Back
Top Bottom