Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

Namba 12 nilijua ni mchaga mmoja tu mwenye makidai kumbe wako wengi.
Ninachowapendea zaidi wachaga wa kiume sio wachoyo. Wanajua kutafuta na kutumia pesa. Wajomba zangu shikamooni.
Sio wengi bana,ni baadhi tu tunaotokea maeneo ya marangu marangu huku.
 

Kwa majibu haya hakika namba 12 inakuhusu.
 
Kabila linalo ongoza kwa kufunguliwa sredi. Mnazidi kutuponza mjue.

Sijafanya utafiti katika hilo, ila unalosema kama lina ukweli kiasi,maana siku hizi wapo wengi ,tena wengine wana kazi za maana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…