Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

nikupe angalizo tu ukitaka fanya biashara kitu cha kwanza angalia kama hio biashara kuna mchaga anafanya maeneo huyo kama hayupo usiangaike kuifanya maana haina faida.
Kama unataka ishi sehemu ukakosa mchaga basi tambua hio sehemu haifai ishi kamwe
kihistoria
wachaga walitakaga kudai Uhuru wao wakiunganisha mikoa yote ya kaskazini yaani Kilimanjaro arusha tanga na manyara ila ujanja wa Nyerere akamzidi mzee wake free man maana yaaminika nyumba nyingi za block zenye bati zilikuwa kilim.
Kilimanjaro nyumba za kisasa tangu zaman MBNA
tangu 1986 hakuna nyumba ya nyasi KLM
n mkoa wa pili kwa naisha bora kwa mujibu wa takwimu za wizara ya feedha
 
nikupe angalizo tu ukitaka fanya biashara kitu cha kwanza angalia kama hio biashara kuna mchaga anafanya maeneo huyo kama hayupo usiangaike kuifanya maana haina faida.
Kama unataka ishi sehemu ukakosa mchaga basi tambua hio sehemu haifai ishi kamwe
kihistoria
wachaga walitakaga kudai Uhuru wao wakiunganisha mikoa yote ya kaskazini yaani Kilimanjaro arusha tanga na manyara ila ujanja wa Nyerere akamzidi mzee wake free man maana yaaminika nyumba nyingi za block zenye bati zilikuwa kilim.
Well said
 
Hata hivyo mlibebwa sana tangu mwalimu hadi kikwete. Karibu utawala wore hamjawahi kukosa Waziri mkuu. Mmetake hiyo advantage ya fursa kumiliki uchumi na kujifanya wajanja. Sasa hivi mnasema mnaonewa?? Makabila mengine mbona walikuwa hawalalamiki?
Mchaga gani aliwahi kuwa Waziri Mkuu?
 
Biashara matangazo. Namba 2 na 10 ni lengo la uzi
nilikimbiaga bomang"ombe baada ya kupata dem mkaali wa kimachame af wadau wakanisanula kuhusu hao jamaa ah ah
 
nikupe angalizo tu ukitaka fanya biashara kitu cha kwanza angalia kama hio biashara kuna mchaga anafanya maeneo huyo kama hayupo usiangaike kuifanya maana haina faida.
Kama unataka ishi sehemu ukakosa mchaga basi tambua hio sehemu haifai ishi kamwe
kihistoria
wachaga walitakaga kudai Uhuru wao wakiunganisha mikoa yote ya kaskazini yaani Kilimanjaro arusha tanga na manyara ila ujanja wa Nyerere akamzidi mzee wake free man maana yaaminika nyumba nyingi za block zenye bati zilikuwa kilim.
Mkuu baba yake Mbowe ndiye aliteam na Nyerere kuwaingiza Wachaga kwenye huko kudai uhuru. Baba yake Mbowe alikuwa na ushawishi mkubwa kwa wamachame.

Kilichotokea ni kwamba baada ya Mangi Shangali wa Machame kuukosa u Paramount Chief, yaani Mangi Mkuu wa Uchagga na Mangi Marealle wa Marangu ndiye aliyeshinda, elites clan za Machame hazikukubaliana na kutawaliwa na wamarangu hasahasa Marealle ambaye pia walikuwa wakatoliki na wamachame ni walutheri. Hapo ndipo elites clan za Machame zikaamua kuungana na Mwl Nyerere wakati tayari chief Marealle alishaenda nae kudai uhuru kwa Malkia.
 
nilikimbiaga bomang"ombe baada ya kupata dem mkaali wa kimachame af wadau wakanisanula kuhusu hao jamaa ah ah
You are totally weak, yani huyo dadangu ni lazima angekukata kichwa. Mwanaume wa ovyo ovyo hawezi oa mchaga hata siku moja..

Yaani wewe unaishi kulingana na opinions of others? Maisha yako yanaendeshwa kwa story za vijiweni!! Yaani hao wadau ndio wanakupangia wa kumuoa? Na ulivyo mjinga mpaka unapoishi ukakimbia kisa tu hearsay za wadau..

Rubbish!!
 
Namba 13 ndio kauli mbiu.pesa itapatikana tu,itake isitake
 
Moshi ni miongoni mwa miji maarufu sana wa kitalii Tanzania na Duniani kote uliopo Mkoani Kilimanjaro, Kaskazini mwa Tanzania. Umaarufu wa Mji huu unatokana na kuingia kwa wageni kutokana na Mlima Kilimanjaro. Mji huu una kabila maarufu sana liitwalo Wachaga. Kuna Wamachame, Wakibosho na Wamarangu. Warombo nao hawajambo!

Pamoja na kwamba mm natoka Mkoa wa Bara, yafuatayo ni mambo muhimu ya kujifunza toka kwa Wachaga:-

1. Wana uzalendo mkubwa sana na Mkoa wao.

2. Wanapenda kusaidiana sana wao kwa wao. Ukioa kwao umeula.

3. Wanawake wanafanya biashara sana kuliko wanaume. Wanawake wanatembeza vitu mtaani (Machinga) kuliko wanaume.

4. Wachaga wana wivu sana wa kimaendeleo. Muda wote wao huwaza kuwa zaidi na zaidi.

5. Wachaga si wepesi wa kukata tamaa. Hata apate hasara vipi,atang'ang'ana kama kupe mpaka atatoboa.

6. Wachaga wana nidhamu sana na pesa.Siyo wepesi wa kufuja hela. Wazuri wa kutunza na kulundika hela.

7. Mchaga hakatai pesa,hata kama kidogo anachukua.Nyingine utamalizia baadae

8. Wachaga wanapenda sana kilimo cha umwagiliaji,hasa ndizi kahawa migomba na mbogamboga za majani. Na wanapenda sana kufuga nguruwe.

9. Wachaga si wepesi wa kudhulumu mtu,mpk mtofautiane sana. Ni watu ambao mkishakubaliana terms mmeshamaliza,na hata akila,hali chote.

10. Ukioa mchaga umewin. Mwanamke kila dakika anawaza pesa na ni wazuri wa kusimamia miradi.

11. Wachaga wanakula sana pombe ila kwa malengo na ni weekend

12. Wachaga wanapenda majidai sana na wana fujofujo za kujisikia (hawawafikii Wahaya)

13. Kwa mchaga hela itapatikana tu,kwa namna yoyote ile



Aikambe

Aikasa

Aikama
Ukijumlisha na haya yangu kweny hii picha
5accd2042d467f1cc31a9cd22fbe5b1e.jpg
 
Back
Top Bottom