Tujifunze softwares za music/audio production

Tujifunze softwares za music/audio production

Kwa mtu ambaye anasema hana soundcard, hadi kuamua kufanya muziki kama unataka kweli high quality sound ni bora ukanunua sound card safi kwa ajili ya kazi hiyo.

Sound card ni moja ya peripherals cheap kabisa $20 unaweza pata a very decent sound card, kutumia sound hardware ya kwenye motherboard inaharibu mziki unless unatumia motherboards zenye viwango which is something bongo sijaona.

Au tumia USB Port kama ur source of sound, zipo hardware nyingi ambazo zinatoa mziki kupitia kwenye USB, watu hutengeneza sorround sound siku hizi ambayo ni directional, mtu ukiisikia kwenye headphones za kiwango au sorround sound speakers hutamani mziki uishe sababu ya quality tu.
 
Wadau nilikua nahitaji msaada hapa. Nimekuwa nikitengeneza beats za Hip hop trap na RnB. Sasa kuna kitu kimekuwa kikinitatiza nikitaka kutengeneza beats za Bongofleva. Naomba kuuliza nizingatie vitu gani ninapotengeneza hizo. Nikipata sample project itakuwa poa zaidi.

Cc Kram Billz na wadau wengine
 
Kwa mtu ambaye anasema hana soundcard, hadi kuamua kufanya muziki kama unataka kweli high quality sound ni bora ukanunua sound card safi kwa ajili ya kazi hiyo.

Sound card ni moja ya peripherals cheap kabisa $20 unaweza pata a very decent sound card, kutumia sound hardware ya kwenye motherboard inaharibu mziki unless unatumia motherboards zenye viwango which is something bongo sijaona.

Au tumia USB Port kama ur source of sound, zipo hardware nyingi ambazo zinatoa mziki kupitia kwenye USB, watu hutengeneza sorround sound siku hizi ambayo ni directional, mtu ukiisikia kwenye headphones za kiwango au sorround sound speakers hutamani mziki uishe sababu ya quality tu.

Yeah upo sahihi kabisa mkuu soundcard ndo source ya high quality sound kwa mtu ambaye anataka kufanya hii iwe kama sehemu ya kazi yake.

Lakini mimi ningeshauri kwa mtu ambaye ndo anaanza kabisa kujifunza audio production angetumia tu soundcard ile ile ya computer kutokana na wengi wetu hatuna uwezo wa kuafford external soundcard ambazo zina ubora wa kiwango fulani.

Ila kama mtu ame master everything concerning with audio production soundcard ni muhimu kwake ili kutengeneza kazi zenye ubora.
 
Yeah upo sahihi kabisa mkuu soundcard ndo source ya high quality sound kwa mtu ambaye anataka kufanya hii iwe kama sehemu ya kazi yake.Lakini mimi ningeshauri kwa mtu ambaye ndo anaanza kabisa kujifunza audio production angetumia tu soundcard ile ile ya computer kutokana na wengi wetu hatuna uwezo wa kuafford external soundcard ambazo zina ubora wa kiwango fulani.Ila kama mtu ame master everything concerning with audio production soundcard ni muhimu kwake ili kutengeneza kazi zenye ubora.
Mkuu umesema kweli lakini sisi wanafunzi inabidi tuzoee vitu vyenye ubora mapema, lakini mbali na hapo mfano mimi hizi intergrated sound card hazinz uwezo wa kuhimili condrnser au studio dynamic microphones hivyo umuhimu wa kupata external soundcard yenye fire wire hauepukiki
 
Kwa mtu ambaye anasema hana soundcard, hadi kuamua kufanya muziki kama unataka kweli high quality sound ni bora ukanunua sound card safi kwa ajili ya kazi hiyo.

Sound card ni moja ya peripherals cheap kabisa $20 unaweza pata a very decent sound card, kutumia sound hardware ya kwenye motherboard inaharibu mziki unless unatumia motherboards zenye viwango which is something bongo sijaona.

Au tumia USB Port kama ur source of sound, zipo hardware nyingi ambazo zinatoa mziki kupitia kwenye USB, watu hutengeneza sorround sound siku hizi ambayo ni directional, mtu ukiisikia kwenye headphones za kiwango au sorround sound speakers hutamani mziki uishe sababu ya quality tu.
Mkuu, wewe upo mamtoni au upo bongo? Na hizo sound card ulizotujulisha zinapatikana bongo? Na kwa kuwa umeweka bei ya dollar yawezekana zikawa zipo mamtoni, kama ndivyo basi ni kampuni gani inauza na je wana uwezo wa kufanya shipping huku kizani na kwa garama gani?

Mkuu ni muhimu sana kupata jibu kwani ninahitaji saana soundcard ila badget inabana. Ningetamani sana kununua MA-AUDIO zilizotangazwa hapo juu na kristian lakini ndio hivyo tena mfuko na kwa sababu umekuwa mzalendo kuja na alternative tupe data kamili mkuu kuhusu upatikanaji wake
 
Wadau nilikuwa nahitaji msaada hapa.
Nimekuwa nikitengeneza beats za Hip hop trap na RnB. Sa kuna kitu kimekuwa kikinitatiza nikitaka kutengeneza beats za Bongofleva.
Naomba kuuliza nizingatie vitu gani ninapotengeneza hizo.
Nikipata sample project itakuwa poa zaidi.

Cc Kram Billz na wadau wengine

Muziki aina ya Bongo Fleva kwa mimi ninaweza nikauita ni New Version of Zouk. Hii ni kwasababu instruments na samples nyingi zinazotumika katika aina mbili hizi za muziki ni zilele. Tofauti yake kubwa ni tempo kwamba muziki wa zouk unakuwa na low tempo ila Bongo Fleva nyingi huwa zinakuwa na high tempo ila zipo tofauti nyingine nyingi ila hapo nimekupa kama moja wapo.

Kwa maelezo hayo ya awali na kama ukifuatilia vizuri muziki wa zouk ni huwa unatumia instruments ambazo zina live impression kwasababu ni unakuwa maalum kwa live performance kwa hiyo instruments hizo hizo ndio zinazotumika katika Bongo Fleva music ila zinakuwa zinapigwa katika melody za aina yake ambazo zimechangamka kidogo.Mfano wa hizo instruments ni kama pianos,guitars,brass,saxophones,leads etc.

Ukitaka ufahamu vizuri aina hii ya muziki nakushauri uwe unasikiliza sana muziki aina ya zouk za zamani kama za kina kanda bongo man, mbilia belle, oliva mutukuzi etc. hapo utaelewa vizuri aina hii ya muziki na itakupa njia sahihi za kupita wakati wa kutengeneza Bongo Fleva.

Kingine ni muziki wa Bongo Fleva ambao unausikiliza wewe kwenye Radio unakuchanganya kwasababu mara nyingi aina hii ya muziki baada ya kutengeneza beat na msanii akarecord huwa beat inafunguliwa tena na kufanyiwa editing tena na katika hizi final editing huwa producer anatengeneza beat kwa kufuata melody ya msanii aliyoimba kwahiyo melody ya beat huwa inamfuata msanii jinsi alivyoimba ndio maana unakuta muziki wa bongo fleva melody kujirudia katika nyimbo tofauti ni ngumu labda producer aamue kufanya hivyo kwa makusudi.

Cha kuongezea kama una idea kidogo ya kuimba hii itakusaidia kucompose melody ya beat yako kwa kufuata wewe jinsi unavyoimba. Kingine ni jaribu kutumia live instruments na drumkits ambazo zinapatikana katika plugins zako na avoid kutumia instruments na samples zenye makelele.

Hayo ni baadhi ya maelezo kama kuna sehemu haujaelewa vizuri usisite kuuliza.
 
Mkuu umesema kweli lakini sisi wanafunzi inabidi tuzoee vitu vyenye ubora mapema, lakini mbali na hapo mfano mimi hizi intergrated sound card hazinz uwezo wa kuhimili condrnser au studio dynamic microphones hivyo umuhimu wa kupata external soundcard yenye fire wire hauepukiki

Ni kwel mkuu kama unaweza kuafford kununua pia haina tatizo shida inakuja kama pesa ya kununua haitoshi.
 
Kram Billz,

Nashukuru kaka kwa ushauri! Em nitengeneze sample beat moja afu unisahihishe!
 
Last edited by a moderator:
Swali langu ni, tempo zipi zinazotumika sana kwa muziki wa bongo fleva?
 
Program za muziki kubwa hujaziweka mixcraft, sony acidic na magix musix maker nadhani hizi ni most popular kuliko hata cu base. Pia wale mac fans wanaongozwa na Garage band
 
Swali langu ni, tempo zipi zinazotumika sana kwa mziki wa bongo fleva?

Hapo inategemea na maamuzi ya producer mwenyewe kwasababu mtu anaweza akatengeneza beat na tempo 90 na mwingine anaweza akatengeneza beat na tempo 180 na zote zikawa na speed moja hapo unaweza ukaamini?

Ni simple Mathematics ambazo zinatumikaga hapo mfano 180 ukigawanya kwa 2 jibu 90 so mtu anaweza akatumia 90 au 180 na speed ikawa sawa ila song arrangement na melody composition kama zikitofautiana tofauti inaweza ikajitokeza.

Kinachowafanya watu kutumia tempo kubwa na ndogo ni mazoea ya mtu tu binafsi kama mtu ametengeneza beat ina tempo 120 na wewe haujazoea kutumia tempo ndogo basi zidisha *2 ya ile tempo basi mnaweza mkafanya kitu kimoja kama mkizingatia mfanano wa kazi na hii vile vile kama umezoea tempo ndogo basi utagawanya kwa 2 na utakuwa umeenda naye sawa.
 
Pamoja #kram ujue kwenye bongo beats kuna ala/flutes za ajabu ajab ambazo hata kwenye fl sizipat naskia zipo kwenye MIDI keyboard tu, mfano kuna ala naitafuta sana imetumika kwenye wimbo wa diamond - ntarejea, pale wimbo unapoanza kuna mluzi flan iv unapiga kwa hisia..sijui unaitwaje ule? mshaujua wakuu?
 
Pamoja #kram ujue kwenye bongo beats kuna ala/flutes za ajabu ajab ambazo hata kwenye fl sizipat naskia zipo kwenye MIDI keyboard tu, mfano kuna ala naitafuta sana imetumika kwenye wimbo wa diamond - ntarejea, pale wimbo unapoanza kuna mluzi flan iv unapiga kwa hisia..sijui unaitwaje ule? mshaujua wakuu?

hizo flute/leads zipo hata katika purity na hypersonic
 
Kwa mtu ambaye anasema hana soundcard.. hadi kuamua kufanya mziki kama unataka kweli high quality sound ni bora ukanunua sound card safi kwa ajili ya kazi hiyo.. sound card ni moja ya peripherals cheap kabisa $20 unaweza pata a very decent sound card, kutumia sound hardware ya kwenye motherboard inaharibu mziki unless unatumia motherboards zenye viwango which is something bongo sijaona..

Au tumia USB Port kama ur source of sound, zipo hardware nyingi ambazo zinatoa mziki kupitia kwenye USB.. watu hutengeneza sorround sound siku hizi ambayo ni directional, mtu ukiisikia kwenye headphones za kiwango au sorround sound speakers hutamani mziki uishe sababu ya quality tu

Nimeona baadhi yao wanatumia mixer sijajua inasaidia kwa kiasi gani
 
Back
Top Bottom